Zanzibar yaridhia mwaka mpya wa kiislamu kuwa siku ya kitaifa

Mwaka mpya sio sikukuu ya Wakristo....sikukuu rasmi za wakristo ni kama Krismasi,Pasaka,Pentekoste.
Mapokeo ya wakatoliki,waanglikana na walutheri tu ndio husema kuwa mwaka mpya ni siku ya kupewa jina na kutahiriwa Yesu
Hao Wakatoliki wa nchi gani wanaosema mwaka mpya ni sikukuu ya kutahiriwa Yesu Kristo!? Sikukuu zote za Kikristo chimbuko lake ni Wakatoliki ila hiyo ya mwaka mpya kuwa sikukuu ya kutahiriwa ndo nimeisikia kwako pamoja na kuwa mimi ni Mkatoliki
 
Hiyo itakua sio secular state sasa. Mfano mbeya Kuna wasabato wengi wakiamua nao tarehe yao iwe siku ya mapumziko?
 
Wakristo wa Zanzibar tokea enzi na enzi hawana fujo na mtu , matatizo yameanza baada kuvamiwa na Tanganyika na kuanza kuletwa vijikanisa vya ajabu ajabu na hivi ndivyo vinaweza kujaribu kuleta chokochoko hiyo

 
Hao Wakatoliki wa nchi gani wanaosema mwaka mpya ni sikukuu ya kutahiriwa Yesu Kristo!? Sikukuu zote za Kikristo chimbuko lake ni Wakatoliki ila hiyo ya mwaka mpya kuwa sikukuu ya kutahiriwa ndo nimeisikia kwako pamoja na kuwa mimi ni Mkatoliki
Kamuulize Padre wako kwanini siku ya mwakampya hata kama sio jumapili huwa kunakua na misa

Angalia apa
 

Attachments

  • Screenshot_20230718-065225.jpg
    66.9 KB · Views: 3
Watajijua wenyewe na nchi yao.., Tanganyika wanahitaji warudishiwe uhuru wao uliouzwa kwa waarabu, basi
 
mbona mwaka wenu wa kikafir tunasherehekea, kwani hii nchi ya kikafir?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…