Zanzibar yaweka marufuku ya kuuza vyakula wakati wa Ramadhan

Zanzibar yaweka marufuku ya kuuza vyakula wakati wa Ramadhan

We kama una pesa nenda ukatembee majuu mbona unapapenda kwetu ? Wavivu nyie au sie ambao mnaogopa ata kuzalisha watoto wa5
Au familia za wazenji.unawapa kula ww?
Unajuaje kama hua siendi majuu? Mbona unababaika babaika tu na point zako, nyie mnakulaga nini huko? Urojo? Eti nyie mnazaa watoto wengi? Mzanzibari gani anao watoto walau 10 akiwa huko kwenu? Acheni kujidanganya, hamna uwezo huo nyie, ukitaka kujua hata watoto hamzai kama bara, jiulize swali dogo tu ambalo halihitaji hata elimu kubwa, miaka 10 iliopita Zanzibar na Pemba mlikuwa wangapi na sasa hivi mpo wangapi? Then njoo bara, miaka 10 iliopita tulikua wangapi na sasa tupo wangapi? Hauli chakula cha maana utazaa watoto wengi? Don't kid yourself brother
 
Zanzibar ikifika saa Kumi nambili jioni vituo vya kuuzia mafuta wanafunga wauzaji wanaenda kufutari na kusali

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu eti hawa ndio ingekua Qatar, washukuru sana muungano hawa watu, muungano ukivunjika hata Comoro watawazidi; unatoka Unguja kwenda kule pwani mchangani (kama 50 km kutoka mjini) utakutana ana aridhi yenye rutuba lakini wala hailimwi, yaani is a virgin land kabisa, wanashindwa hata kulima mchele/mpunga tu. Qatar ya Buza?
 
Kwahiyo wote wenye biashara ni wa Islam.
Better dress the person ulimueka hapo maana might defines you and i don't argue with these kind of people. All I do is praying for your guidance
 
Better dress the person ulimueka hapo maana might defines you and i don't argue with these kind of people. All I do is praying for your guidance
Kwenda huko,

Kwahiyo Unajiona wewe ndo mtakatifu mkamilifu kisa picha,....
Embu ni toleee unafki wako
 
Niko Zanzibar kikazi mtoni hapa pembezoni mbona chakula humu kambini kinauzwa frsh tu labda uko uraiani ns tunakula mchana frsh.
 
Unajuaje kama hua siendi majuu? Mbona unababaika babaika tu na point zako, nyie mnakulaga nini huko? Urojo? Eti nyie mnazaa watoto wengi? Mzanzibari gani anao watoto walau 10 akiwa huko kwenu? Acheni kujidanganya, hamna uwezo huo nyie, ukitaka kujua hata watoto hamzai kama bara, jiulize swali dogo tu ambalo halihitaji hata elimu kubwa, miaka 10 iliopita Zanzibar na Pemba mlikuwa wangapi na sasa hivi mpo wangapi? Then njoo bara, miaka 10 iliopita tulikua wangapi na sasa tupo wangapi? Hauli chakula cha maana utazaa watoto wengi? Don't kid yourself brother
Niulize mm kwnye familia ytu tumezaliwa wangapi?
 
Unajuaje kama hua siendi majuu? Mbona unababaika babaika tu na point zako, nyie mnakulaga nini huko? Urojo? Eti nyie mnazaa watoto wengi? Mzanzibari gani anao watoto walau 10 akiwa huko kwenu? Acheni kujidanganya, hamna uwezo huo nyie, ukitaka kujua hata watoto hamzai kama bara, jiulize swali dogo tu ambalo halihitaji hata elimu kubwa, miaka 10 iliopita Zanzibar na Pemba mlikuwa wangapi na sasa hivi mpo wangapi? Then njoo bara, miaka 10 iliopita tulikua wangapi na sasa tupo wangapi? Hauli chakula cha maana utazaa watoto wengi? Don't kid yourself brother
WaZanzibar hawana uwezo wakuzaa watoto wengi ila Wana oa wanawake wengi na kuacha kwatabia zao tungekuwa nazo Sisi wabara ya kuoa hovyo hovyo kama wao mwanaume mmoja angekuwa na watoto 200, utakuta mwanaume ana wanawake watatu anazaa watoto 12
 
WaZanzibar hawana uwezo wakuzaa watoto wengi ila Wana oa wanawake wengi na kuacha kwatabia zao tungekuwa nazo Sisi wabara ya kuoa hovyo hovyo kama wao mwanaume mmoja angekuwa na watoto 200, utakuta mwanaume ana wanawake watatu anazaa watoto 12
sasa wewe mtu dume zima la zenji linakula chapati 1 ,au urojo jicho linalegea analala atatoa wapi nguvu za kuproduce watoto...



Sent from my SM-M307F using JamiiForums mobile app
 
kwaio walokuwepo zenji wamezalishwa na nani? au wametolewa sayari nyengine?
Watoto waki Zanzibar hawana vichogo vichwa vyao vipo kama vya bata wazazi Wana waharibu watoto
 
Watoto waki Zanzibar hawana vichogo vichwa vyao vipo kama vya bata wazazi Wana waharibu watoto
we mbona hueleweki umeulizwa kingine unajibu kingine
 
We kafiri lete ushahidi wa uyasemayo
Mnaoa wanawake wengi halafu mnazaa nao kisha mna watelekeza wao na watoto Yani muislam akishatoa talaka tu kwa mkewe hiyo talaka inawakumba mpaka watoto wasiyo kuwa na hatia Wana kosa huduma
 
We kafiri lete ushahidi wa uyasemayo
Acha kupaniki..chukua hali ya maisha ya wnanchi wa miko yote ya ukanda wa pwani..ondoa dsm mana dsm imejengwa na wageni...angalia maisha na hali za kiuchumi kielimu na kijamii za watu wake.

Kisha fananisha na watu wa bara..uone wapi kuna hali nzuri ya kimaisha katika nyanja za kiuchumi..kijamii na kielimu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kupaniki..chukua hali ya maisha ya wnanchi wa miko yote ya ukanda wa pwani..ondoa dsm mana dsm imejengwa na wageni...angalia maisha na hali za kiuchumi kielimu na kijamii za watu wake.

Kisha fananisha na watu wa bara..uone wapi kuna hali nzuri ya kimaisha katika nyanja za kiuchumi..kijamii na kielimu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Uchumi wa kuishia kula ndizi kule uchagani na bukoba?
uchumi wa kunywa gembe kule Rombo?
uchumi wa kuishi maisha ya kukopa kopa?
uchumi wa kuwanyenyekea wenye nacho kma wamekuzaa?

Embu twambie ni uchumi gani huo?
 
Why Wana impose mtu kupata swahabu za Mora. Nazani ingekua ukifunga ni baraka lisingekua jambo la kushurutishana Bali lingekua ihari....

Tatizo ni dini za michongo
 
Back
Top Bottom