jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Upo unaupiga mwingi zenji..vipi mafuta ya nguruwe unatumiaga nasikia..ila nguruwe hulagi.Rudini kwenu Bara mkalime nyie
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo unaupiga mwingi zenji..vipi mafuta ya nguruwe unatumiaga nasikia..ila nguruwe hulagi.Rudini kwenu Bara mkalime nyie
Kivipi??Kwanza Kwa idadi hata Bara waislam ndiyo wengi Kuliko dini nyingineMakafiri oyeee!Warudi kwao eti?Tukiamua kufanya ubaguzi ninyi visogo-chapati mtapona?😂😂😂😂
Hawa wazanzibar walioko uku bara tuwatimue warudi kwao
Dini bora haigopi competition wala kupiganiwa ujipigania yenyeweWarudi kwao eti?Tukiamua kufanya ubaguzi ninyi visogo-chapati mtapona?😂😂😂😂
Kwa nini wanawapangia watu wale vifichoni?Ili tukujue umefunga kwa nia njema unapaswa kuvuka mitihani ya kuwaona wengine wakila bila weye kupata sonona.Hawajazuia kula
Ukiwa na chakula chako nyumbani kwako hakuna atakayekufuata
Sasa mbona wabara wanakuja kulialia hukuBora warudi bara...nashangaa unapapendaje Zanzibar wakati ni mji uliokufa kama kilwa, bagamoyo e.t.c Hii ni miji ilitakuwa ibaki kuwa makumbusho tu.
Kama Zanzibar nchi lakini haija hata lift moja inayofanya kazi. Watu wananing'inia kwenye magorofa mabovu na yananuka Dunia nzima.
C'moooon Kama Kuna mbara anakomalia Zanzibar namuonea huruma. Bora niende Uganda kutafuta maisha na kuishi kuliko kukaa kwenye kisiwa chenye magofu Kama Bagamoyo au Kilwa tu.
Sikai jumba la makumbusho hata siku moja Mimi.
Wazanzibar wabaguzi saana Yani mtu akisikia wewe ni dini tofauti na yeye anakuona Kama hutoboi mbinguni na usikae nae karibu... Kafir mkubwa.Warudi kwao eti?Tukiamua kufanya ubaguzi ninyi visogo-chapati mtapona?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bila fukwe na hoteli za kitalii..hakuna mji mbovu kama zenji..bora mtu ukaishi hata mafia huko ama chiwata...pamenyata sana.Bora warudi bara...nashangaa unapapendaje Zanzibar wakati ni mji uliokufa kama kilwa, bagamoyo e.t.c Hii ni miji ilitakuwa ibaki kuwa makumbusho tu.
Kama Zanzibar nchi lakini haija hata lift moja inayofanya kazi. Watu wananing'inia kwenye magorofa mabovu na yananuka Dunia nzima.
C'moooon Kama Kuna mbara anakomalia Zanzibar namuonea huruma. Bora niende Uganda kutafuta maisha na kuishi kuliko kukaa kwenye kisiwa chenye magofu Kama Bagamoyo au Kilwa tu.
Sikai jumba la makumbusho hata siku moja Mimi.
Dini hizi zinawazubaisha sana.Kivipi??Kwanza Kwa idadi hata Bara waislam ndiyo wengi Kuliko makafiri
Naona tayari sensa ya makazi ushaifanya na takwimu unazo.Kivipi??Kwanza Kwa idadi hata Bara waislam ndiyo wengi Kuliko makafiri
SawaHawajazuia kula
Ukiwa na chakula chako nyumbani kwako hakuna atakayekufuata
Mzee ukienda hospital huulizwagi Dini yako kwenye kadi?Naona tayari sensa ya makazi ushaifanya na takwimu unazo.
Tupe asilimia ngapi huko..ukitoka pitia Google uje na mjibu.
#MaendeleoHayanaChama
Nawashangaa saana wale. Mimi kabisa niende Zanzibar nikazamie huko?Sasa mbona wabara wanakuja kulialia huku
Wengi wa aina hiyo..hawana exposure pia ni vilaza kichwani.Wazanzibar wabaguzi saana Yani mtu akisikia wewe ni dini tofauti na yeye anakuona Kama hutoboi mbinguni na usikae nae karibu... Kafir mkubwa.
Wanamuona Mungu kama anawajua kwa majina kwa wao kuamua kuwa wasilamu.
Wanakera saana.
Naona tayari sensa ya makazi ushaifanya na takwimu unazo.
Tupe asilimia ngapi huko..ukitoka pitia Google uje na mjibu.
#MaendeleoHayanaChama
Ndiyo maana wamebarikiwa "akili" sana.Hivihivi,hii dunia isingekalika.Wazanzibar wabaguzi saana Yani mtu akisikia wewe ni dini tofauti na yeye anakuona Kama hutoboi mbinguni na usikae nae karibu... Kafir mkubwa.
Wanamuona Mungu kama anawajua kwa majina kwa wao kuamua kuwa wasilamu.
Wanakera saana.
Bila fitna Za wakoloni wa CCM Zanzibar ingekuwa QatarNawashangaa saana wale. Mimi kabisa niende Zanzibar nikazamie huko?
Kwanza hupati hata hela watu hawana hela na mzuguko ni mdogo muda wote wamelala masjid.. jioni wanakula chapati moja na chai wanaenda kulala watu maskini balaa
Waze wa kubonyeza visogo watoto ili vibaraghasia vikae sawa.Bila fukwe na hoteli za kitalii..hakuna mji mbovu kama zenji..bora mtu ukaishi hata mafia huko ama chiwata...pamenyata sana.
Sema nink tunadumisha muungano
#MaendeleoHayanaChama