Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam

Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam

Hii ni nzur kwa sababu haina riba ambayo humuongezea mchangiaji gharama ila kwa wenzangu wakatoliki huku bara sijui kama tutaelewa. Naomba iletwe tulio tayari tujiunge kuokoa gharama.
 
Mkanisa yanabomolewa

Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela

Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.
Kama nyinyi wagalatia mnavyowaona waisrael kuwa mabwana zenu
 
Mkanisa yanabomolewa

Mkristo akila kwenye ramadani anafungwa jela

Hawa hata wakitoka huko Zanzibar akili yao ipo kuutukuza uislam zaidi, tena ule wa kuwaona waarabu wote ni ndugu wa mtume, wakija kuongoza huku huwapa waarabu mbuga, bandari, misitu, n.k.

Sasa hata ungekuwa wewe ungekubali kweli uletewe yule sanamu la kizungu Kisha uambiwe ndie mungu wako aliekuumba na amekufa Kwa dhambi zako??

Unapiga moto tuh
 
Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:

Ni nini bima ya Takaful?

Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.

Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.

Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.

Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.

hanzo: https://chat.openai.com/
 
Nchi hii inashangaza sana, duh! Watu wametenganishwa kwa udini huku kila mmoja akisema dini yake ni bora kuliko nyingine. Chakushangaza, hata kwenye maslahi mapana ya taifa bado watu watajitenga na kutofautiana kwasababu ya udini, hii ni fedheha kubwa sana.

Taasisi za dini kila upande zilikuwa zikisaidia Tanzania kwa muda mrefu tu, si uislamu wala si ukristo na bila hata kubagua chakushangaza wanaosaidiwa ndio wanabaguana kidini.

Laana ya umasikini katika nchi ya ulimwengu wa 3 ni mbaya sana. Wananchi wanaishi chini ya dola moja, hawali milo 3, wanaafya duni, elimu yetu ni utoporo na nchi inajifia kwa kamali kwakuwa vijana hawana direction ila still watu wanapigania udini. Duh!

Usiyemuamshe aliyelala, utalala wewe. Every aspect of our country has failed, ila bado watu wanashindania dini. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tanzania tutabaki mkia mpaka mwisho wa dahari.
 
Hii ni nzur kwa sababu haina riba ambayo humuongezea mchangiaji gharama ila kwa wenzangu wakatoliki huku bara sijui kama tutaelewa. Naomba iletwe tulio tayari tujiunge kuokoa gharama.
Hiyo benki inapataje faida?
 

Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam​


Jionee mwenyewe:



Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:


Ni nini bima ya Takaful?

Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.

Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.

Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.

Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.

hanzo: https://chat.openai.com/

Hii imekaa vizuri sana
 
Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:


Ni nini bima ya Takaful?

Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.

Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.

Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.

Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.

hanzo: https://chat.openai.com/
Benki inapataje faida?
 
Tunaitaka haraka sana Tanganyika.

Kama ilivyoshamiri benki ya Kiislam mpaka benki zingine zikafunhguwa vitengo vya Islamic Banking basii ndiyo zaidi.

Mabroukin Zanzibar.
Hakuna Bima ya Kitimoto huko?
 
Hilo ni kanisa moja tu na lilijengwa zamani sana kabla hata ya mapinduzi.

Kwanini hawataki kutoa ushirikiano kuruhusu wakristo wajenge makanisa ya ziada ?
Yap ni moja ila makanisa makubwa ya kihistoria ni zaidi ya moja hata kabla ya kufikilia Zanzibar itakuwa nchi.

Hawataki kutoa ushirikiano to christian, wanajua watamezwa na kupotea, ukristo una nguvu sana that's why haupewi nafasi.
 
Bima ni bima hakuna ya Kikristu Wala ya kiislam principle za bima ndio hiyo hiyo ya third part kwenye doctrine of privity to contract.

Mikopo hata mkiita jina gani faida itokanayo na fedha ya mkopo ni riba tuu. Mengine ni kujitekenya na kucheka mwenyewe
 

Zanzibar yazinduwa mfumo wa bima ya kiislam​


Jionee mwenyewe:



Bima ya Kiislam uendeshwaji wake huitwa "Takaful: nikamuuliza AI ChatGPT anifafanunulie:


Ni nini bima ya Takaful?

Bima ya Takaful ni mfumo wa bima uliojikita katika misingi ya Kiislamu ambao unalenga kutoa ulinzi na usalama wa kifedha kwa wanachama wake. Tofauti na mfumo wa bima wa kawaida, ambapo kampuni ya bima ina jukumu la kubeba hatari zote za wanachama na kutoa fidia kwa madai yanayotokea, mfumo wa Takaful unafanya kazi kwa msingi wa ushirikiano na kugawana hatari kati ya wanachama.

Katika mfumo wa Takaful, wanachama hukubaliana kuweka michango ya kifedha katika mfuko wa pamoja, ambao unatumika kulipia madai ya wanachama wanaopatwa na hasara. Michango hii inatumika kujenga hazina ya Takaful ambayo inasimamiwa na kampuni ya Takaful. Ikiwa mwanachama anapata hasara, hulipwa fidia kutoka kwenye hazina hiyo.

Mfumo wa Takaful unazingatia misingi ya Kiislamu kama vile kugawana hatari, uwazi, ushirikiano, na kuepuka riba (riba ni haramu katika Uislamu). Pia, mfumo wa Takaful unazingatia maadili ya kijamii na kusaidiana katika jamii.

Kuna aina mbalimbali za bima ya Takaful, kama vile Takaful ya afya, Takaful ya gari, Takaful ya elimu, na nyinginezo. Lengo la bima ya Takaful ni kutoa ulinzi wa kifedha na usalama kwa wanachama wake wakati wa matukio ya hatari na hasara.

hanzo: https://chat.openai.com/
Takhbiiiiiirrr !!
 
Bima ni bima hakuna ya Kikristu Wala ya kiislam principle za bima ndio hiyo hiyo ya third part kwenye doctrine of privity to contract.

Mikopo hata mkiita jina gani faida itokanayo na fedha ya mkopo ni riba tuu. Mengine ni kujitekenya na kucheka mwenyewe
Vichwa vimeganda hili andiko watalipita kama hawalioni.
 
Back
Top Bottom