Kik tu inatafutwa hapo hamna lolote.
Nani aliyemshauri kuvaa hivyo? Viatu yes, the rest big NO!
Hivi kuna alichovaa zaidi ya hilo shati na viatu...
Wema anapendwa na watanzania?!
Kik tu inatafutwa hapo hamna lolote.
Nani aliyemshauri kuvaa hivyo? Viatu yes, the rest big NO!
Huyo akamwone rayc aanze doz y kuondoa sembe mwilini.huyu sugu aliokota wapi hiyo kichaaa
Hata sijui aisee! Mbaya zaidi kazaa nae.
Hizo ndio akili zenu wanaume lakini kwa kuwasema wanawake tu hamjambo.Nyie sijui mwalimu wenu alishakufa?
Mwalimu we2 mzima ila ndio hvyo mwenzenu kuachika ndio kumeleta wazimu n ukichaa,chezea kuachwa n muheshimiwa ila huyo dada lazma full kichwaa ndio mana anafanya ujinga iko cku atakutana n masela wamle mtungo ndio stress zitaisha
....... kama itakua bado lakini!