Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Zari amlipua Diamond kwamba hatoi hela ya matunzo ya watoto wake baada ya kutangaza kulipa kodi za kaya 500

Sasa hii hbr inahusikaje na jukwaa la siasa?
 
Huyu Sidhani Kama Ni Zari,
Zari Gani Hajui Grammer?
Akaunti Ya Zari Haina Blue Tick????

Mwanamama mrembo na mjasiliamali Zari the Bosslady aliyezaa watoto 2 na Diamond Platnumz amemlipua mzazi huyo mwenzie baada ya kutangaza kulipia makazi kata 500 wakati hajua watoto wake wamekula Nini wala wamelala vipi.

Zari anamwambia Diamond huwezi furahisha dunia wakati wakwako hawana furaha na wewe wala kuwajali.

View attachment 1430809

Sent using Jamii Forums mobile app




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Licha ya Bwana Diamond kutangaza ktaka kutoa mamilioni ya pesa kwa kulipia kodi wananchi wananchi..Zari kamchana alipie gharama za kuwatunza watoto wawili waliopo SouthA Africa,

Moderators wa hovyo wa JF of GT kwenu nyie hii ni SIASA! Na jukwaa lake ni hili, tunaposema JF of GT imeingiliwa na mods wa hovyo haijawahi kutokea..
 
We mbwa usinitag kama unanyonya magugu ya domo hyo ni wewe, nitolee Shobo zako.. nenden Uko mkalipiwe kodi Mpewe na mimba, mxieew mwana mjaalana uliyekosa laana mxiee


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwambie zari apambane na Hali yake aache kutafuta Kiki za kipuuzi yeye si ajiita boss lady na jeuri
 
Naye ni mama wa watoto awalee tu wakikua watakuwa wakwake, Usawa ule wa 50/50 wanaotaka ndio huo sasa.. Baba akizingua kuleta matumizi mama unalea tu au ukiona vipi unambwagia watoto wake awalee wenyewe..

Tatizo la Wanawake aka Mama zetu wakizaa wanaona wamemaliza kila kitu na Baba sasa ndio muwajibikaji hapana tambueni kuzaa ni uumbaji tu na majukumu Mungu aliyowapa kama sisi tulivyopewa majukumu ya kumwaga mbegu za uzazi..
 
Naye ni mama wa watoto awalee tu wakikua watakuwa wakwake, Usawa ule wa 50/50 wanaotaka ndio huo sasa.. Baba akizingua kuleta matumizi mama unalea tu au ukiona vipi unambwagia watoto wake awalee wenyewe..

Tatizo la Wanawake aka Mama zetu wakizaa wanaona wamemaliza kila kitu na Baba sasa ndio muwajibikaji hapana tambueni kuzaa ni uumbaji tu na majukumu Mungu aliyowapa kama sisi tulivyopewa majukumu ya kumwaga mbegu za uzazi..
Huyo ni mjeuri tofauti na wengine na mpenda Kiki kwanza kawabadilisha watoto uraia bila hata kumjulisha Diamond kamzuia diamond kuonana na watoto wake kisa wameachana ukiachana na Hilo amekuwa alitoa kauli chafu kwa diamond, Tufanye wewe Ni diamond unafanyaje kwa mwanamke jeuri Kama huyu.Kuna wanawake wengine wapo Safi unaweza ukaachana nao lakini Hilo alizuii kuzuia watoto kuwasiliana na baba yao na wanatoa ushirikiano wakutosha tu kwa mzazi mwenza.
 
😂😂😂
Diamond anavuliwa nguo.
Yeye ndio anajivua nguo kwasababu kwanza kambock mzazi wake watoto kawabadilisha uraia,baba muislamu watoto anawapeleka kanisani,kawazuia watoto kuja Tanzania mwisho kabisa alisema hategemei child support ana hela zakutosha za kulea watoto bila baba kwa kauli hii ya leo watu watamuelewaje?
 
Yeye ndio anajivua nguo kwasababu kwanza kambock mzazi wake watoto kawabadilisha uraia,baba muislamu watoto anawapeleka kanisani,kawazuia watoto kuja Tanzania mwisho kabisa alisema hategemei child support ana hela zakutosha za kulea watoto bila baba kwa kauli hii ya leo watu watamuelewaje?
Hili jambo watalimaliza wenyewe, maana sisi hatuwezi kuujua ukweli kushinda wao.
Diamond afanye kutulipia hizo kodi tu, yeye na mzazi mwenzake watamalizana kimyakimya.
😂😂😂😂
 
Wanaume wengine bwana😏
Nyie wanamke mna matatizo yenu Kama kweli zari ana Nia ya dhati ya anacho lalamikia anatakiwa kutengeneza mahusiano mazuri na diamond na pia awaruhusu watoto wake waje Tanzania na kuweka mazingira rafiki kwa watoto kuwasiliana na baba yao hapa atafanya Jambo la msingi na Kama diamond atasaidia malalamiko yake yatakuwa sahihi tofauti na hapo atakuwa anatafuta Kiki kwa pikipiki.
 
Nyie wanamke mna matatizo yenu Kama kweli zari ana Nia ya dhati ya anacho lalamikia anatakiwa kutengeneza mahusiano mazuri na diamond na pia awaruhusu watoto wake waje Tanzania na kuweka mazingira rafiki kwa mzazi wake kuwasiliana na baba yao hapa atafanya Jambo la msingi na Kama diamond atasaidia malalamiko yake yatakuwa sahihi tofauti na hapo atakuwa anatafuta Kiki kwa pikipiki.
Sawa zari atalifanyia kazi tamko lako.
 
Back
Top Bottom