Zari avunja rasmi mahusiano yake na Diamond Platinumz sababu ya kukosekana kwa uaminifu katika mahusiano yao

Kwan walishawahi hata kulala kitanda kimoja hawa watu??
Maaana hata chata za watoto zinakataa kataa kabisa
Wot i can tel it was one of the big bang kick for busness
Wajanja washatengeneza pesa wanabeba note kwny magunia
 
Zigo la mavi sikuzote halibebeki mkuu, maana usipo lituwa kwa harufu basi utalishusha kwa uzito wake....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
I even you bro, kwa sababu ya kitanda.
 
Mmh chibu karuka mkojo Wa janaba kakanyaga Naniiii.......... Hivi nini vile?
 
Huyu mtandale kazidi kujionesha wasanii mbona wengi kuna nahreel, jux.... wote wapo kwenye level ya kupata wadada anytime mbona hawavumi kama yeye
 
Happy for her afadhali sasa lile zipu mbovu afe mwenyewe na umalaya wake kile kibibi kimchekee tu mtoto wake kwa ufuska wake tunasubiri ushangiliaji haya wema danga lako hiloo mpira umerudi kwa kipa tutusa uwezavo
 
Mm simjui Zarina Hassan.Diamond anamjua Zarinah Hassan ,hali kadhalika Zari anamjua vizuri Naseeb Abdul/Diamond.



MAISHA NI SKUNK N PRETTY
 
Yaani zari alidhani dhambi ya kumuacha mume na kuchepuka na dogodogo ingemuacha salama? Machozi ya Ivan hayo bora angetulia na familia yake
Kama alipata wakati walisha achana nayo imekaa vipi asilaumiwe dada wawatu maisha ya ndoa hapana chezea ukikuta watu 10yrs mmeishi pamoja ni pongezi sana wengine mwezi hakuna ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…