Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote mkataa pema pabaya huwa panamwitaMmmh Diamond bora angetulia na huyo Mganda hatopata demu mwenye mtizamo na upeo km huyo
Hakuolewa nae,alizaa naeHuyu mwanamke Alikosea sana kuolewa na Yule dogo, dogo bado mshamba wa mademu anahitaji Kula wengi atosheke ndipo aoe!
Ni mkewe yule kwa sheria za nchi yetu.Hakuolewa nae,alizaa nae
= Smelt...not smelledI smelled this before if real it is! Kwa uroho na ujana wa Diamond ni vigumu kuishi na bibi mmoja bila kucheat. Zari pia ana moyo wa nyama, anaumia!!!
Zigo la mavi sikuzote halibebeki mkuu, maana usipo lituwa kwa harufu basi utalishusha kwa uzito wake....[emoji13] [emoji13] [emoji13]Enough is enough. The Bosslady kaamua kubwaga manyanga. Kavumilia alivyoweza kaona isiwe tabu kaamua kuachana na Diamond. Naamuunga mkono na ninamsifu kwa uvumilivu...gooo goo Zari goooooo kisicho riziki hakiliki. Haya kazi ni kwa wale watafutaji nafasi iko wazi.
Nenda jukwaa la siasa kuja huku ni kiherehere chakoWabongo bhana baada ya kukaa tukajadili namna ya kummaliza adui wa taifa letu ambaye ni CCM nyie mmekaa kujadili umbeya tu hao Zari na Mond wakiachana nyie mnaongezewa nini au mnapungukiwa nini acheni Ukuda
I even you bro, kwa sababu ya kitanda.Daby Nakubaliana na WEWE KUWA, KUCHEAT KWA MWANAUME SIYO JAMBO LA AJABU NA WAPO WANAUME VIWEMBE KULIKO DIAMOND NA PIA DIAMOND INAVUMA KWA SABABU NI MTU MAARUFU
LAKINI...
UNAPOKUWA MAARUFU MAANA YAKE WEWE NI PUBLIC FIGURE, HVYO NI MUHMU UISHI KAMA KIOO CHA JAMII NA KUWA MTU WA MFANO.
KAMA ALISHNDWA KUJIZUIA BASI ANGECHEPUKA KWA STAHA ILI KULINDA HESHMA YA MKEWE IKIWEMO
1. KUEPUKA KUZAA NJE
2. KUTOGEUZA NYUMBA WANAYOISH NA MKEWE GUEST HOUSE
HATA WEWE Daby HAKUNA KTU KIBAYA KAMA KUJUA MKEO ANACHEPUKA KWENYE KTANDA MNACHOLALIA SKU ZOTE..
MFANO: UHUSIANO WA NAHREAL NA HAIKA, NI UHUSIANO WA MFANO, INAWEZEKANA NAHREAL ANA MADEMU WENGNE LAKN ANALINDA HESHMA YA MKEWE.. SASA HUYU MOND YEYE ANACHEPUKA SHAGHALABAGHALA MPK MKE ANADHARAULIKA.
= Sounds...not soundIt sound to me as though she's extremely frustrated with the way everything in her life is going/was going..especially love life.
Probably, Mond was a causative.
Huyu mtandale kazidi kujionesha wasanii mbona wengi kuna nahreel, jux.... wote wapo kwenye level ya kupata wadada anytime mbona hawavumi kama yeyeKuwa superstar kuna changamoto zake vbbgfg zinajileta usipokuwa makini utageuka hivyo.
Diamond yupo kwenye age ya kuruka, Zari yeye yupo kwenye age ya kutulia na kufarijiana You can guess the qoncequence...
Kwangu nadhani tutamwita jamaa malaya kwasababu anajulikana kutuzidi... ila kuwa side vbbgfg lipo saana mitaani...
Sipo vizuri kufuatlia maisha ya wasanii ila mahusiano mengi yanakuwa rooted na kazi.. na ya Mond naweza kuyaweka asilimia kubwa yalikuwepo kwasababu ya kazi zao na si upendo.
Pochi manyoya.The good thing ni kwamba Diamond ataendelea kula mzigo, cause through my fuc**ng experience mwanamke uliyezaa nae HANA ujanja wa kukunyima gegedo
Nikipata kabinti nitakaita Zoe 😀Wote majina yao yanaanzia na herufi Z wametisha mwanamke kujiamini bwana
Kama alipata wakati walisha achana nayo imekaa vipi asilaumiwe dada wawatu maisha ya ndoa hapana chezea ukikuta watu 10yrs mmeishi pamoja ni pongezi sana wengine mwezi hakuna ndoaYaani zari alidhani dhambi ya kumuacha mume na kuchepuka na dogodogo ingemuacha salama? Machozi ya Ivan hayo bora angetulia na familia yake