Zari: Siko tayari kuzaa tena, I am Tired. Diamond azae tu hata watoto 20

Zari: Siko tayari kuzaa tena, I am Tired. Diamond azae tu hata watoto 20

data

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2011
Posts
26,858
Reaction score
23,768
Msikie hapa..


Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.

My Take...

Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.

Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.

Zari .. Strong woman.
 
Msikie hapa..


Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.

My Take...

Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.

Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.

Zari .. Strong woman.

mwanamke anayempenda mume wake, kamwe hawezi kumruhusu awatembezee wanawake wengine nje..
 
Msikie hapa..


Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.

My Take...

Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.

Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.

Zari .. Strong woman.

sijui lini nita pata pesa.nifanye nayo yataka
 
Back
Top Bottom