data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Msikie hapa..
Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.
My Take...
Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.
Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.
Zari .. Strong woman.
Hana shida na mtoto wa Mobeto..makosa ya wazazi si makosa ya mtoto. Yuko tayari kumpokea mtoto.
My Take...
Huyu mwanamke nafikiri akili zake si za Africa. Ana akili kubwa sana. Na sioni Mobeto kama anakaribia hata moja ya tatu.
Diamond karuhusiwa aendelee 'kuwatembezea' kama alivyomshauri mwanae akue aje afanye hivyo.
Zari .. Strong woman.