ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

Tukiwaambia zanzibar ni nchi huru sisi tanganyika tunalazimisha tu muungano mnakataa. ZBC ni ya nini wakati tuna TBC,rais wa nini wakati tuna rais wa muungano, ZFF ni ya nini wakati tuna TFF nk, Sisi watanganyika tunaforce muungano wakati wazanzibar hawautaki,na kwa taarifa tu waziri mkuu,na mawaziri wote utendaji kazi wao/mamlaka yao yanaishia bara tu wakati ni mawaziri wa jamhuri ya muungano,hata rais wa jamhuri ya muungano nae hana mamlaka kiviile kiutendaji kuihusu Zanzibar. Muungano huu unahusu nini sasa? muungano huu ni wa kisiasa tu na chama cha mapinduzi tu. OVER.
Nashangaa mpaka mabalozi wa nchi wao wapo
 
Kafiri Mama yako
Kuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
 
Naomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?

Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali

Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Nadhani unayozungumzia ni ZBC 2, ipo chini ya Azam media,ila ZBC ni ya serikal na haina maudhui hayo
 
waasisi wa muungano huu hasa nyerere kuna kitu walichanganya kwenye ule udongo wa kutufanya watanganyika tuogope kuvunja muungano. Kongole kwake
Ila ipo siku utavunjika
 
huo utakuwa ni ushenzi kutandika watu bakora wanaokula mchana. Bara ukichapa mtu anaekula mchana utajibiwa vikali
Natania bwana kupigana siyo sawa ingawa unatakiwa ukienda sehemu uheshimu mila na tamaduni zao
 
Kama hiyo ZBC2 ipo chini ya azam, ni bora ikabadilishwa jina ili isionekane ni ya shirika la utangazaji la zanzibar, ZBC ni kama TBC haipaswi kurusha maudhui ya kiislam tu wakati kuna dini zingine nazo zinatakiwa vipindi vyao virushwe. TBC wanabalansi vipindi vya dini. Na kama ipo chini ya azam kwa nini irushe mambo ya kiislam tu wakati si taasisi ya dini kama tv imaan, quran tv? Basi kama ni hivyo azam aanzishe pia tv ya vipindi vya kikristo kama hiyo ZBC2, aanzishe ZBC3 yenye maudhui ya kikristo
 
Back
Top Bottom