LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
hiyo dini ni nira na kongwa zito, wengi hawaitaki kwa dhati wanaona ni mzigo tu hawana namna ya kuikimbiaWamejaa udini sana, wakiweka uhuru wa dini ,wengi wataujua ukweli watailimbia hiyo dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo dini ni nira na kongwa zito, wengi hawaitaki kwa dhati wanaona ni mzigo tu hawana namna ya kuikimbiaWamejaa udini sana, wakiweka uhuru wa dini ,wengi wataujua ukweli watailimbia hiyo dini
Nashangaa mpaka mabalozi wa nchi wao wapoTukiwaambia zanzibar ni nchi huru sisi tanganyika tunalazimisha tu muungano mnakataa. ZBC ni ya nini wakati tuna TBC,rais wa nini wakati tuna rais wa muungano, ZFF ni ya nini wakati tuna TFF nk, Sisi watanganyika tunaforce muungano wakati wazanzibar hawautaki,na kwa taarifa tu waziri mkuu,na mawaziri wote utendaji kazi wao/mamlaka yao yanaishia bara tu wakati ni mawaziri wa jamhuri ya muungano,hata rais wa jamhuri ya muungano nae hana mamlaka kiviile kiutendaji kuihusu Zanzibar. Muungano huu unahusu nini sasa? muungano huu ni wa kisiasa tu na chama cha mapinduzi tu. OVER.
Kuna ZBC 2 hii ni ya Azam TV na imewekwa special kwaajili ya Dini tu, na kuna ZBC hii inamilikiwa na SMZ hii inajumuisha mambo yote taarifa ya habari, Ngoma, Dini, michezo, mpaka Dini yenu ya kikafiri wana vipindi vyao humo, Wacha kulalamika Kafiri Waheed we
Madrasa zimejaa kila konaWamejaa udini sana, wakiweka uhuru wa dini ,wengi wataujua ukweli watailimbia hiyo dini
Kuna sheikh yupi kafanikiwa?mzazi mwingine ana mentality watoto wake kuwa masheikh
Isiwe upande mmojaKuna ubaya gani kuzidisha Mambo ya Mungu
waasisi wa muungano huu hasa nyerere kuna kitu walichanganya kwenye ule udongo wa kutufanya watanganyika tuogope kuvunja muungano. Kongole kwakeNashangaa mpaka mabalozi wa nchi wao wapo
kituko!!! Wakifanya mitihani ya NECTA wanaburuza mikia balaa na hawashituki kuwa wanaathiriwa na madrasaMadrasa zimejaa kila kona
hakunaKuna sheikh yupi kafanikiwa?
Nadhani unayozungumzia ni ZBC 2, ipo chini ya Azam media,ila ZBC ni ya serikal na haina maudhui hayoNaomba kufahamishwa ilo ZBC nani mmiliki na kama serikali tunajua kuwa serikali haina Dini why iwe imejikita kwenye dini?
Tunaona TBC haijaegemea upande wowote zaidi ya upande wa serikali maudhui ya TBC sana sana kuonyenyesha miradi inayo endelea na mambo mengi ya serikali
Lakini kwa ZBC nitofauti kabisa ni dini mwanzo mwisho sijui kama kuna mfanya kazi pale ambaye ni mkristo
Ila ipo siku utavunjikawaasisi wa muungano huu hasa nyerere kuna kitu walichanganya kwenye ule udongo wa kutufanya watanganyika tuogope kuvunja muungano. Kongole kwake
wabalansi vipindi, la sivyo waanzishe ZBC chaneli ya kikristo tu ndio wataelewekaIsiwe upande mmoja
Kwao kawaida kabisa ndio maana kulekituko!!! Wakifanya mitihani ya NECTA wanaburuza mikia balaa na hawashituki kuwa wanaathiriwa na madrasa
Ila kazi kuendekeza unakutana na shekhe kanzu imeisha imekuwa na marinda wakati ilikuwa imenyookahakuna
Mkuu ujaifwatilia vizurNadhani unayozungumzia ni ZBC 2, ipo chini ya Azam media,ila ZBC ni ya serikal na haina maudhui hayo
Natania bwana kupigana siyo sawa ingawa unatakiwa ukienda sehemu uheshimu mila na tamaduni zaohuo utakuwa ni ushenzi kutandika watu bakora wanaokula mchana. Bara ukichapa mtu anaekula mchana utajibiwa vikali
Ukifanya hivyo watqkushughulikia tu huwezi kushindana na nchi utapotea tu kijanaSipo zenji ila ningekuwepo ningekuwa nakula tena njiani
Zanzibar ni nchi kabisa ,hata wakiamua wanaweza kufanya chochote ,wana timu ya taifa .Kwan zanzibar ni nchi nyingine?
Nan wakunigusa?Ukifanya hivyo watqkushughulikia tu huwezi kushindana na nchi utapotea tu kijana