Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
 
Tens NI upande mmoja wa jiji hill upande mwingine bado upon chini ya urusi . Ukraine inakibarua kigumu cha kuvuka MTO dnopro kuja upande wa pili wa jiji LA Kherson ambalo unakaliwa na urusi tangu Jana majeshi ya kraine yalikuwa yanavuka MTO kuja upande wa pili unao kaliwa na urusi. warusi wakawa wanawazamisha kwenye maji.



Urusi inataka kufanya kitu kinachoitwa death from above hapo Kherson NI mwendo wa kushusha mabomu mazito tu.

Huko mji warusi wataurudia maana ndo njia ya kwenda mykolaiv na oddesa
 
Rudi milembe maana akifika huko utasema pia bado Crimea na wakifika Crimea utasema waje Urusi wakienda Urusi utasema Urusi kavamiwa dunia ikemee , kichaa hakosi sabab na ndio maana anabaki kuwa maana hajifunz daima
 
hawa Pro Russia ni burudani kwa kweli mji mlio ahidi kuulinda kwa Nyuklia mme kimbizwa uko mnasema mme uachia Popote pale mtakapo kua kwenye eneo la ukraine kipigo kitawashukia tu hakuna namnaa
 
Ukraine wamepania kweli na hawamwogopi Mrusi ata chembe na wamesema hawataacha ata mt moja ya ardhi yao ichukuliwe na Mrusi.

Kwa vile Russia bado amekalia maeneo ya wanaume basi usiwe na haraka kuandika bali jipe muda na ukweli utauona
 
Vita ni propaganda na ni moja ya silaha ya kivita pia, lakini naya kuliko yote siku hizi hakuna chombo hata kimoja cha habari duniani hawana agenda zao, hata wale tuliokuwa tunawaamini zamani kama CNN, BBC au Aljazeera nao wana report kile wanachosimamia kama agenda ya kituo.

CNN kwa sababu hawampendi Trump basi wote watashambulia republican, kwakuwa hawampendi Putin basi wataita hata wapinzani wa Russia kuwapa airtime ni kama TBC hata siku hawawezi kuwapa airtime wapinzani wa CCM muhimu list ndefu na hii imesababisha kuwa makini unasikiliza kituo gani?

Nini sera ya kituo hicho bahati mbaya sana hapa ndio tulipo na vituo biashara tu wewe lipa pesa nzuri utapambwa hata kama wewe kichaa unajulikana na wote. Vita ni propaganda ukweli hatutaweza kuja kujuwa nini hasa kinatokea ila tutalishwa wanachotaka kutulisha.

Kitu kimoja muhimu hata uwe na nguvu namna gani kushinda kwa nguvu ni ngumu mwisho wa kila vita watu watakaa na kukubaliana lakini watu wameshakufa wengi ila wanasiasa hawajali hata hii vita watakaa wataongea na yataisha, lini? sijui
 
Tens NI upande mmoja wa jiji hill upande mwingine bado upon chini ya urusi . Ukraine inakibarua kigumu cha kuvuka MTO dnopro kuja upande wa pili wa jiji LA Kherson ambalo unakaliwa na urusi tangu Jana majeshi ya kraine yalikuwa yanavuka MTO kuja upande wa pili unao kaliwa na urusi. warusi wakawa wanawazamisha kwenye maji.



Urusi inataka kufanya kitu kinachoitwa death from above hapo Kherson NI mwendo wa kushusha mabomu mazito tu.

Huko mji warusi wataurudia maana ndo njia ya kwenda mykolaiv na oddesa
Endelea kujipa moyo
 
Mimi sijaongelea Kherson peke yake clip inayotembea inaonesha watu wanashangilia na bendera hilo ndio wanataka watu kuliona na suala la Kherson kwani hilo linakushangaza wewe leo? mbona hili wiki mbili zilizopita Russia walisema wanaondoka hapo kwa hiyo wewe unaamini kuwa wamepigana hapo? suala lakujuwa kwanini Russia walitangaza kuondoka hilo hutasikia anakuja mtu anajipiga picha na kusema tumekomboa. Vita sio nguvu tu ni mipango
Kaondoka kwa mapenzi take!!!!
Sikiza ndugu..njia zote za usambazaji silaha kwa kikosi cha urusi kwenye hayo maeneo zilikatwa..njia pekee iliyosalia ni Russia kujiondoa hayo maeneo.
Ukraine anapigana kichanja...anakata supply lines
 
Kaondoka kwa mapenzi take!!!!
Sikiza ndugu..njia zote za usambazaji silaha kwa kikosi cha urusi kwenye hayo maeneo zilikatwa..njia pekee iliyosalia ni Russia kujiondoa hayo maeneo.
Ukraine anapigana kichanja...anakata supply lines
But even as locals rejoiced, the evidence of Russia's ruthless occupation was all around, and Russian forces still control some 70% of the wider Kherson region. Russian forces are less than a mile from the city, across the Nieper River, where they blew up the bridge after retreating.
 
Kaondoka kwa mapenzi take!!!!
Sikiza ndugu..njia zote za usambazaji silaha kwa kikosi cha urusi kwenye hayo maeneo zilikatwa..njia pekee iliyosalia ni Russia kujiondoa hayo maeneo.
Ukraine anapigana kichanja...anakata supply lines
Usiseme Ukraine anapigana sema NATO tusijifanye hatujui kulishwa na uwongo kila mtu anajuwa NATO wako
 

Russia reports on military advances in Donbass​

Moscow’s forces have liberated several key locations in Donetsk Region, pushing back Ukrainian troops
Russia reports on military advances in Donbass

FILE PHOTO. © Sputnik
The strategic village of Pavlovka, southwest of Donetsk city, has been liberated and cleared of Ukrainian troops, the Russian military announced on Monday.

“On November 14, after heavy fighting, Russian troops completely liberated the settlement of Pavlovka of the Donetsk People’s Republic (DPR),” the Defense Ministry said in a statement.

The village, located on a key crossroads, has seen intense fighting in recent weeks. Kyiv’s forces sustained heavy casualties in the battle, the ministry said last week, losing some nine soldiers to one Russian.
 

Russia reports on military advances in Donbass​

Moscow’s forces have liberated several key locations in Donetsk Region, pushing back Ukrainian troops
Russia reports on military advances in Donbass

FILE PHOTO. © Sputnik
The strategic village of Pavlovka, southwest of Donetsk city, has been liberated and cleared of Ukrainian troops, the Russian military announced on Monday.
“On November 14, after heavy fighting, Russian troops completely liberated the settlement of Pavlovka of the Donetsk People’s Republic (DPR),” the Defense Ministry said in a statement.
The village, located on a key crossroads, has seen intense fighting in recent weeks. Kiev’s forces sustained heavy casualties in the battle, the ministry said last week, losing some nine soldiers to one Russian.
Cheki uyu nae
 
Usiseme Ukraine anapigana sema NATO tusijifanye hatujui kulishwa na uwongo kila mtu anajuwa NATO wako
Mkuu usijidanganye eti Urusi inapigana na Nato, hapo Nato inachokifanya ni kumsaidia Ukraine silaha tena silaha kiduchu na za kiwango cha chini.

Nakwambia hii vita ingekuwa ni Russia Vs Nato kwanza isingefika leo bila vita kuisha. Nani asiyejua kuwa kanuni ya USA ni kudominate Anga na bahari?
Mpaka muda huu umeshazion F16, F22, F35 au mambo ya B2 ?

Ebu tuache utani kwa kusema Russia anapigana dhidi ya Nato.

Russia mwenyewe alishasema kuwa yeyote atakayeingilia hii vita basi atamshambulia. Ina maana wewe ndio mwenye taharifa kuwa Nato inapigana na Russia pasipo Russia kulijua hilo?
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
Insha ndefu upupu mtupu kila hatua anayopiga ukraine mnadai mmeamua kuachia.
Mmeamua wakati mmepoteza millitary personel & equipments nying .
Mmeamua wakati mmeona mnazungukwa pande zote mkaamua kuondoka
Yan mmeamua kuacha makao makuu
Ni kama mlivyokimbia kyv mlitoa sababu hizohizo za kipropaganda ila mlikula za uso nyingi.
Embu acha kutufanya sisi wakuja aisee
 
Tens NI upande mmoja wa jiji hill upande mwingine bado upon chini ya urusi . Ukraine inakibarua kigumu cha kuvuka MTO dnopro kuja upande wa pili wa jiji LA Kherson ambalo unakaliwa na urusi tangu Jana majeshi ya kraine yalikuwa yanavuka MTO kuja upande wa pili unao kaliwa na urusi. warusi wakawa wanawazamisha kwenye maji.



Urusi inataka kufanya kitu kinachoitwa death from above hapo Kherson NI mwendo wa kushusha mabomu mazito tu.

Huko mji warusi wataurudia maana ndo njia ya kwenda mykolaiv na oddesa
Asilimia 70 urussi kabaki nayo
 
Back
Top Bottom