Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

akil zako zipo sawa kwel ? unashabikia Urusi kisa hajawai kukutawala au unashabikia Urusi kisa tabia ya kutaka kuya colonize maeneo ya Ukraine ni sawa ? ukiitwa chimpazeeey sitokuteteaa maana hujui moja huzaa mbili
Wewe unaonekana una hasira na maisha tu fanya kazi
 
nan kaizungumzia 70% wenzio wanazunguzia eneo alilokimbia Putin na sio huko alikoenda jificha
Wewe unahitaji msaada wa haraka na uhakika kwa maandishi yako tu maisha yamekupiga na uhakika huna stable life ya kifamily ndio maana hasira nyingi bila sababu
 
Back
Top Bottom