Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

Marekani haijawahi kushinda vita. Ilinyanyaswa na Japan hadi ikaamua kutumia silaha za nyuklia mara mbili!! Juzi juzi tu Marekani ilikimbia toka Afghanistan hadi ikaacha nyuma malundo ya silaha baada ya kushindwa vibaya na Taliban, pia NATO yote ilikuwa huko Afghanistan!! Marekani iliwahi kukimbizwa Somalia, ilinyanyaswa Vietnum nk. Urusi inapigana na NATO yote kwa kutumia mikono na damu ya waukraine!!

Kwa taarifa yako Marekani imeanzisha mazungumzo ya siri na Urusi ya kuomba po!!! Wameona yafuatayo:
1. Urusi haijateteleka kiuchumi pamoja na kuiwekea vikwazo zaidi nya 6000 vya kiuchumi. Kinyume chake uchumi wa nchi za magharibi ndio umeathirika!!
2. UWEZO WA NCHI ZA MAGHARIBI KUENDELEA KUGHARIMIA VITA VYA UKRAINE unaelekea ukingoni,
3. Wananchi wa nchi za magharibi wamechoshwa na athari za vita na kila leo wanafanya maandamano ya kuzipinga nchi zao, hii inahatarisha nafasi za walioko madarakani!!
4. Wamegundua kuwa Urusi ina Silaha nyingi sana kuliko walivyotegemea, na imeweza kutengeneza drones kwa kuzitengeneza upya na kuziboresha hizo za Iran na hilo limewatisha sana NATO.
5. Mwaka ujao nchi za ulaya magharibi hazitakuwa na uwezo wa kulimbikiza akiba ya gesi ili kukabiliana na kipindi cha baridi mwakani, Kwa mwaka huu tayari walikuwa wameshalimbikiza. Kwa hiyo mahesabu yao ni kumaliza mgogoro mapema kwa maslahi ya mwakani!!

Hayo yote wamerekani wa mbagala hawayajui!! Tunapoongea mazungumzo ya kuomba po yanaindelea nchini uturuki!!
Hii hoja ya kwamba Japan iliinyanyasa US WW 2 hadi US akatumia atomic bomb haiondoi ushindi wa US kwenye Vita hiyo. Nani alimshikilia Japan asitumie atomic bomb dhidi ya US kama alikuwa nazo?, na kutokuwa nazo/kutokuzitumia ndo uinferior wenyewe ndugu yangu.
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
He umelishwa propaganda kiasi hichi? Lavrov anahojiwa anasema sasa wanaondoa vikosi kukimbia maafa zaidi kwa jeshi lake lakini pia raia, na wametaja wanajeshi 30,000 ambao wangeenda na maji., na kaulizwa vipi sasa na mulipiga kura Kherson kuipeleka Russia akajibu ndio Kherson na mipaka yake niyetu. ni kama vile Zanzibar wanavyodai mombasa ni ya kwao lakini ikawa hakuna namna

Unatakiwa ufahamu Kherson ndio mji No.1 urusi ilipovamia Ukraine kuuchukua kutokana ndio mji ambao ni gat away ya Crimea lakini mto Dinipro wakae tu waachie na kutelekeza vifaa vyao na mitambo iliyokuwa ata idadi haina?

Rudi nyuma emu kiduchu Putini alisema miji aliyopiga kura atailinda kwa nuclear sasa mji ulikuwa binded kulindwa kwa nuclear leo waweze ku-retreat hivihivi? unapaswa kukubali tu mwenye nguvu apishwee.
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.


Hiyo ni strategic retreat.
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
andika upya ueleweke
 
The Allied Powers won the war. The USA was one of the Allied Powers, and Russia was part of the Soviet Union, which also fought with the Allied Powers. So, you could say that both the USA and Russia won World War 2. Hii ndio sababu ya USSR kuchukuwa share yake East na US akachukuwa west.
ndo msiitumie WW2 kusema mtampiga NATO wkt USA pekee ndo waliwabeba hao Urusi lasivyo Hitler angekuwa ndan ya Moscow
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
Mrusi kawa mbwa koko. Anajitapikia na kujiharishia. Na bado.
 
Sasa mwenye 30% na 70% nani ana control mbona unajitoa ufahamu
nan kaizungumzia 70% wenzio wanazunguzia eneo alilokimbia Putin na sio huko alikoenda jificha
 
Kwanza nadhani wewe ungesema team gani mimi nikatika watu siamini chochote kwenye taarifa za habari sababu najuwa wote waongo hakuna ukweli 50% ukweli na 50% ni chumvi na sukari
acha unafiki
 
Bahati nzuri nashukuru hao Russia hawajahi kutawala koloni lolote sasa hao unaowapigia debe ndio walikutawala.
akil zako zipo sawa kwel ? unashabikia Urusi kisa hajawai kukutawala au unashabikia Urusi kisa tabia ya kutaka kuya colonize maeneo ya Ukraine ni sawa ? ukiitwa chimpazeeey sitokuteteaa maana hujui moja huzaa mbili
 
While Westerners tend to see the war through the lens of events such as D-Day or the Battle of Britain, it was a conflict largely won by the Soviet Union. An incredible eight out of 10 German war casualties occurred on the Eastern Front. As German chancellor Angela Merkel said in 2015 “the Red Army played the decisive role in liberating Germany.”
[emoji23][emoji23] ndio maana mkiitwa vichwa vya kuku huwq sikatai , West wajanja sana hawatak kutunza historia zitakazo tunza visas baadae ila Urusi hana akili hiyo na hata anavyoish na majiran zao unaona kbs kuwq Urusi huwa hawafikirii kesho , aliokuwa nao kweny Soviets leo % kubwa hawamtak ila makolon ya Ungereza karib yote yapo beneti na Uingereza mpk leo i.e USA ,
& CANADA etc hii inaitwa ART OF LIFE urusi anaikosa hii , USA haters ndo wanamueka Urusi mjin
 
Marekani anajua kwanini Putin karetreat kutoka Kherson na kuacha 30% na sio eneo lote lakini Zelensky hawezi jua. May be the deal between US and Russian to satisfy the West. Mjinga huongea akipata muda lakini mwenye busara huongea inapobidi kuongea. Americans have no permanent enemy or permanent friend, but permanent interests
ww ni kichaa , mnasema marekan anapigana halaf ajue kitu asimwambie ZELE
 
Kwa hiyo Urusi ameamua kuikimbia mwenyewe au kakimbizwa Kherson?
Kwanini akimbie 'eneo lake' alilojimilikisha na kuapa kulilinda kwa nguvu zote?
 
Hii hoja ya kwamba Japan iliinyanyasa US WW 2 hadi US akatumia atomic bomb haiondoi ushindi wa US kwenye Vita hiyo. Nani alimshikilia Japan asitumie atomic bomb dhidi ya US kama alikuwa nazo?, na kutokuwa nazo/kutokuzitumia ndo uinferior wenyewe ndugu yangu.
vita ilipiganwa mlangoni wa Japan hlf kichaa mmoja anasema USA alinyanyaswa
 
Sa

Sababu za Urusi kuitandika Ukraine ziliwekwa wazi:
1. Kuizuia Ukraine isijiunge na NATO. Na hilo limefanikiwa!! Nato wenyewe hawana ubavu wa kukubali ombi hilo la ukraine.
2. Kuinyang'anya silaha Ukraine. Jambo hilo lilishafanikiwa. Silaha zote alizokuwa nazo ukraine karibu zote ziliharibiwa. Ukraine inategemea silaha za kupewa na NATO kila leo. Kama NATO leo wakisema hatupeleki silaha ukraine, ukraine itabaki mikono mitupu.
3. Kukomboa majimbo mawili mashariki mwa ukraine yajulikanayo kama DONBAS. Hilo limefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 90, na muziki bado unaendelea kumalizia asilimia zilizobaki.
4. Kuangamiza askari wa kinazi, Hili lilifanikiwa maana askari wa kinazi ndio waliokuwa wamejichimbia pale Mariuop. Waliuawa wengi na waliobaki walitekwa!!

MAFANIKIO YA ZIADA:
1. Majimbo mawili kusini mwa ukraine yametekwa na tayari yameshajiunga na urusi. Hii imesababisha kuunganisha Crimea kwa ardhi tokea urusi!! Hii asilimia 30% iliyoachiwa ni mkakati wa kijeshi tu kutokana na mpaka wa asili wa mto!

Hakuna hata moja lililofanikiwa

1. Ukraine ilipeleka tena ombi la kujiunga NATO baada ya Russia kufanya upuuzi wake wa Referendums kwenye ardhi ya watu. Ili ujiunge inahitajika nchi zote 30 zikubali,sio kwamba unajiunga tu kama unajiunga na kikundi cha bongo movies.

2.Demilitarisation
Nayo pia haijafanikiwa maana kwa sasa Russia ndie moja ya wachangiaji wakubwa wa silaha kwa Ukraine wakifatiwa na mabeberu. Kila ambako Russia hua anakimbizwa hua anaacha masilaha kibao ambayo yapo kwenye state nzuri ya kutumika tena mfano vifaru vya kisasa T-90 Ukraine ilividaka kule Kharkiv na sasa wanatumia dhidi ya Urusi wenyewe. Plus Ukraine bado ina stock ya silaha zake za Soviet mfano bado inatumia Grad missiles mpaka Leo,Buk Sam,S-300,Sam,ina Makombora yake ya kuzamisha Meli Neptune.

3. Majimbo ya Donbas nako hakuna hayo mafanikio ya 90%.

Kumbuka mji pekee ambao Russia ilikamata wote ni Kherson ambao ulidakwa mwanzoni mwa Vita. Huko Donbass Russia anashikilia 50% na Ukraine 50% sasa unasemaje ni mafanikio ya 90%?! Tena hiyo 50% hapo kuna maeneo alikua akiyashikilia kabla ya Vita kuanza. Luhansk Ukraine imekomboa baadhi ya vijiji na wiki hii wamekomboa tena 12 settlements,na kazi inaendelea.
Zaporizhzhia pia Russia hajaikamata yote mwezi wa 9 huu tunaelekea wa 10.

4. Moja ya propaganda ya Russia kuvamia Ukraine ni kuondoa Unazi,lakini cha ajabu tumeona kwenye mabadilishano ya wafungwa Russia imeachia hao iliowaita wanazi kibao ambazo wamerejea Ukraine. Sasa unasemaje unaangamiza unazi halafu unawaachia huru wanazi wenyewe?![emoji1745]

5. Hiyo Kura ambao ilipigwa ya maeneo kujiunga Urusi haitambuliki kimataifa ni North Korea na Urusi wenyewe pekee ndo wanatambua hata swahiba wao China na India hawatambui huo upuuzi. Hayo maeneo yamejiunga na Russia kwenye makaratasi ndio maana mpaka Leo bado yanashambuliwa na Ukraine na hakuna kitu Russia anafanya maana hata yeye anajua si sehemu yake halali.
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
Excuses nyiiingi,kilichowaondoa Ni kipi hasa?
 
Back
Top Bottom