Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

Zelensky anafurahia majeshi yake kuingia Kherson: Ukweli ni kwamba hawajaukomboa lakini Urusi imeamua kuuachia

Vita gani hao unaowataja walishinda? ushindi wa wazi. Iraq tu hakwenda peke yake hapa Syria wameenda mpaka alipoingilia Russia aka balance power jamaa mpaka leo yupo. USA ana kila kitu lakini hata yeye weka history yake vita vingapi alishinda hapo Afghan tu kawarudisha walewale Taliban
huyo Urusi wako Bila USA mpk 1942 HITLER alipanga kufanya happy birthday yake huko Moscow , sio winter wala bibi ake Stalin , Walikuwa hoi bin taaban ujio wa USA kweny WW2 unamfanya Hitler apunguze nguv kwa Urusi ambae aliamin vita ameshinda maana alikuwa ndan ya Urusi tyr krb na Moscow , Ujio wA USA unamfamya Urusi apumue maana alikuwa anapigea mtungo Ujeruman na Japan , so Japan alipoona pressure ya USA akrud nyuma kumkabili USA pia Ujeruman alirudisha majeshi nyuma kumkabili USA , Urusi huenz huu ushind maana hakuwai pigana na taifa kubwa lolote huko nyuma , pia USA kajitahid kuboresha ukaribu na wale washirika wa Ujeruman pamoja na ujeruman na hii ilisaidia mpk leo kutofikiria kulipiza kisas , USA wana akili sana sio kama Urusi
 
Jeshi la pili kwa uwezo wa kivita [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23] Wahuni hao wapenda kiki za kijinga , tuwape JKT wawashughulikie hao mbwaa
 
Marekani haijawahi kushinda vita. Ilinyanyaswa na Japan hadi ikaamua kutumia silaha za nyuklia mara mbili!! Juzi juzi tu Marekani ilikimbia toka Afghanistan hadi ikaacha nyuma malundo ya silaha baada ya kushindwa vibaya na Taliban, pia NATO yote ilikuwa huko Afghanistan!! Marekani iliwahi kukimbizwa Somalia, ilinyanyaswa Vietnum nk. Urusi inapigana na NATO yote kwa kutumia mikono na damu ya waukraine!!

Kwa taarifa yako Marekani imeanzisha mazungumzo ya siri na Urusi ya kuomba po!!! Wameona yafuatayo:
1. Urusi haijateteleka kiuchumi pamoja na kuiwekea vikwazo zaidi nya 6000 vya kiuchumi. Kinyume chake uchumi wa nchi za magharibi ndio umeathirika!!
2. UWEZO WA NCHI ZA MAGHARIBI KUENDELEA KUGHARIMIA VITA VYA UKRAINE unaelekea ukingoni,
3. Wananchi wa nchi za magharibi wamechoshwa na athari za vita na kila leo wanafanya maandamano ya kuzipinga nchi zao, hii inahatarisha nafasi za walioko madarakani!!
4. Wamegundua kuwa Urusi ina Silaha nyingi sana kuliko walivyotegemea, na imeweza kutengeneza drones kwa kuzitengeneza upya na kuziboresha hizo za Iran na hilo limewatisha sana NATO.
5. Mwaka ujao nchi za ulaya magharibi hazitakuwa na uwezo wa kulimbikiza akiba ya gesi ili kukabiliana na kipindi cha baridi mwakani, Kwa mwaka huu tayari walikuwa wameshalimbikiza. Kwa hiyo mahesabu yao ni kumaliza mgogoro mapema kwa maslahi ya mwakani!!

Hayo yote wamerekani wa mbagala hawayajui!! Tunapoongea mazungumzo ya kuomba po yanaindelea nchini uturuki!!
Nan superpower mpk sasa ,usuperpower unaokotwa ?
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
NYANI KATEMA BUNGO
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
Sasa mkuu,kama ingekuwa ni hivyo kama unavyotaka kuwaaminisha watu,wasingeacha shehena ya silaha kiasi kile,walichokiacha,kuna maghara mengi sana yamejaa silaha,zao, kama lilikuwa ni suala hilo,wangekuwa na muda mrefu tu wa kuhamisha hizo silaha.
 
huyo Urusi wako Bila USA mpk 1942 HITLER alipanga kufanya happy birthday yake huko Moscow , sio winter wala bibi ake Stalin , Walikuwa hoi bin taaban ujio wa USA kweny WW2 unamfanya Hitler apunguze nguv kwa Urusi ambae aliamin vita ameshinda maana alikuwa ndan ya Urusi tyr krb na Moscow , Ujio wA USA unamfamya Urusi apumue maana alikuwa anapigea mtungo Ujeruman na Japan , so Japan alipoona pressure ya USA akrud nyuma kumkabili USA pia Ujeruman alirudisha majeshi nyuma kumkabili USA , Urusi huenz huu ushind maana hakuwai pigana na taifa kubwa lolote huko nyuma , pia USA kajitahid kuboresha ukaribu na wale washirika wa Ujeruman pamoja na ujeruman na hii ilisaidia mpk leo kutofikiria kulipiza kisas , USA wana akili sana sio kama Urusi
The Allied Powers won the war. The USA was one of the Allied Powers, and Russia was part of the Soviet Union, which also fought with the Allied Powers. So, you could say that both the USA and Russia won World War 2. Hii ndio sababu ya USSR kuchukuwa share yake East na US akachukuwa west.
 
ww timu Urusi unajitis huruma sasa ila zikiletwa habari za Urusi ku advance neno propaganda utaliweka mfukon
Kwanza nadhani wewe ungesema team gani mimi nikatika watu siamini chochote kwenye taarifa za habari sababu najuwa wote waongo hakuna ukweli 50% ukweli na 50% ni chumvi na sukari
 
kuzungumzq yote na kuwaacha RT inaonesha waz ww ni timu Putin , kama ww ni muafrika nakuona kama kichaa , Babu zako walipigana dhidi ya Ukoloni ila leo ww unshabikia mtu anarudisha element za ukolon , yaan ameze majimbo ya watu achukue warusi kutokea Urusi waende kuwa watawala wawakilishi wa majimbo tekwa , hlf jinga moja linashbikia huu uchaf , Siku Putin akiwa Superpower anaeza tenda uozo kara 100 ya USA maana wao wanaamin kweny mabav kuliko diplomasia
Bahati nzuri nashukuru hao Russia hawajahi kutawala koloni lolote sasa hao unaowapigia debe ndio walikutawala.
 
huyo Urusi wako Bila USA mpk 1942 HITLER alipanga kufanya happy birthday yake huko Moscow , sio winter wala bibi ake Stalin , Walikuwa hoi bin taaban ujio wa USA kweny WW2 unamfanya Hitler apunguze nguv kwa Urusi ambae aliamin vita ameshinda maana alikuwa ndan ya Urusi tyr krb na Moscow , Ujio wA USA unamfamya Urusi apumue maana alikuwa anapigea mtungo Ujeruman na Japan , so Japan alipoona pressure ya USA akrud nyuma kumkabili USA pia Ujeruman alirudisha majeshi nyuma kumkabili USA , Urusi huenz huu ushind maana hakuwai pigana na taifa kubwa lolote huko nyuma , pia USA kajitahid kuboresha ukaribu na wale washirika wa Ujeruman pamoja na ujeruman na hii ilisaidia mpk leo kutofikiria kulipiza kisas , USA wana akili sana sio kama Urusi
While Westerners tend to see the war through the lens of events such as D-Day or the Battle of Britain, it was a conflict largely won by the Soviet Union. An incredible eight out of 10 German war casualties occurred on the Eastern Front. As German chancellor Angela Merkel said in 2015 “the Red Army played the decisive role in liberating Germany.”
 
Mimi sijaongelea Kherson peke yake clip inayotembea inaonesha watu wanashangilia na bendera hilo ndio wanataka watu kuliona na suala la Kherson kwani hilo linakushangaza wewe leo? mbona hili wiki mbili zilizopita Russia walisema wanaondoka hapo kwa hiyo wewe unaamini kuwa wamepigana hapo? suala lakujuwa kwanini Russia walitangaza kuondoka hilo hutasikia anakuja mtu anajipiga picha na kusema tumekomboa. Vita sio nguvu tu ni mipango
Hueleweki
 
Mkuu usijidanganye eti Urusi inapigana na Nato, hapo Nato inachokifanya ni kumsaidia Ukraine silaha tena silaha kiduchu na za kiwango cha chini.

Nakwambia hii vita ingekuwa ni Russia Vs Nato kwanza isingefika leo bila vita kuisha. Nani asiyejua kuwa kanuni ya USA ni kudominate Anga na bahari?
Mpaka muda huu umeshazion F16, F22, F35 au mambo ya B2 ?

Ebu tuache utani kwa kusema Russia anapigana dhidi ya Nato.

Russia mwenyewe alishasema kuwa yeyote atakayeingilia hii vita basi atamshambulia. Ina maana wewe ndio mwenye taharifa kuwa Nato inapigana na Russia pasipo Russia kulijua hilo?
Najiuliza sana kama Ukraine ingepewa full support, ipewe ndege, MRLS za long range, Navy Support n.k hakika Ukraine ingeingia Moscow. Hii vita imemuacha mtupu sana Ukraine.
 
Marekani anajua kwanini Putin karetreat kutoka Kherson na kuacha 30% na sio eneo lote lakini Zelensky hawezi jua. May be the deal between US and Russian to satisfy the West. Mjinga huongea akipata muda lakini mwenye busara huongea inapobidi kuongea. Americans have no permanent enemy or permanent friend, but permanent interests
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.

YAANI pro putin the small wanapata shida sana ukrain kushangilia walitaka wakae kimya, sawa na simba iwafunge tmu kubwa kama Brazil halafu wasishangilie mashabiki wa simba. Alielazikika kukimbia KHERSON ni supa pawa, jeshi kubwa la pili dunian ana ma sattelite angani kibao na hizo hypersonic, Iskander na madude kibao. Lakini kafyata mkia. Na saizi anasema yuko tayari kwa mazungumzo
 
Urusi inatembeza kipigo huko Donbass usipime!!

CNN —
Russian forces are arguably having their best spell since the invasion of Ukraine began four months ago.

They have eliminated most Ukrainian defenses in the Luhansk region, consolidated control of a belt of territory in the south, improved their logistics and command structure and blunted the effectiveness of Ukrainian attack drones.

Within the last week, the Russians have been rewarded for their intense – some would say merciless – bombardments of the remaining parts of the Luhansk region held by Ukrainian forces, which have finally given up Severodonetsk and lost territory south of Lysychansk.

The head of the self-declared Luhansk People’s Republic, Leonid Pasechnik, predicted last Friday that Russian forces would completely encircle Lysychansk within two or three days. So far they haven’t, but the city is in imminent peril.

A column of Ukrainian army tanks rolls down a road near Lysychansk on June 19, 2022.

A column of Ukrainian army tanks rolls down a road near Lysychansk on June 19, 2022.
Justin Yau/Sipa USA/Reuters

Russian forces have also stepped up attacks in the Donetsk region, getting slightly closer to the belt of industrial towns in the region that runs south from Sloviansk through Kramatorsk to Kostiantynivka.

In Lysychansk and many of the towns studded across the meandering front lines that pass through five regions, the Ukrainians may well face a repeat of what happened in Severodonetsk, where they were bombarded into withdrawing. There was simply nothing left that could be defended.




Ad Feedback
The immediate dilemma for the Ukrainian military is whether it remains committed to defending Lysychansk, with the risk of losing troops and weapons if the city is encircled – and whether Ukraine’s political leadership will order a withdrawal to new defensive lines.

If so, can the units now in the pocket of territory held by Ukraine retreat without being decimated? Large sections of the highway from Lysychansk to Bakhmut are littered with wreckage, and Russian units are edging closer to Bakhmut itself.

Artillery shells hit the town of Bakhmut on the morning on June 26, 2022, damaging several homes and killing at least one person.

Artillery shells hit the town of Bakhmut on the morning on June 26, 2022, damaging several homes and killing at least one person.
Scott Olson/Getty Images

It appears the Russians are not currently making much progress from Izium in the north towards Sloviansk, despite repeated attempts to break through Ukrainian lines. Even so, Ukrainian officials cautioned Sunday that Russian forces were “accumulating” north of Sloviansk. The Russian military can quickly mobilize a handful of battalion tactical groups sitting across the border.

Some Russian military bloggers are not getting carried away with optimism. Yuri Kotyenok, for one, believes that Russian forces do not have enough manpower to encircle the heavily fortified cities of Slovyansk and Kramatorsk.

In the longer run, the Ukrainians’ best hope is that as they deploy more Western weaponry capable of destroying Russian artillery, rocket systems and command posts far behind the front lines, they can gradually reduce the deficit in firepower.

An Ukrainian serviceman looks on after a strike on a warehouse on the outskirts of Lysychansk in the eastern Ukrainian region of Donbas on June 17, 2022, as the Russian-Ukraine war enters its 114th day. (Photo by ARIS MESSINIS / AFP) (Photo by ARIS MESSINIS/AFP via Getty Images)

Ukraine may have endured its worst week since the fall of Mariupol

But weapons such as the HIMARS rocket system, which has a range of 70 kilometers (43 miles) in the configuration supplied to Ukraine, require several weeks of training. And in Donbas, several weeks is a long time given the current pressure on Ukrainian forces.

That pressure is all the greater because many of the units deployed to the region are among the most experienced that Ukraine has. They have been worn down by the sheer intensity of Russian bombardment and are not easily replaced.

And the Ukrainian military has already lost in combat some of the weapons rushed to the front. Russia’s Ministry of Defense claimed last week that Russian strikes had already eliminated some of the US-supplied M777 howitzers.

The Russian offensive has also learned from mistakes made during the initial and abortive drive towards Kyiv. Air defenses, principally the S-300, have been deployed to provide extensive rather than local cover, making Ukrainian attack drones less effective. Anecdotally, it seems fewer videos have been posted recently on social media showing Ukrainian combat planes in action.

A man inspects a bomb crater after Russian artillery shells hit a district of Kharkiv on June 26, 2022.

A man inspects a bomb crater after Russian artillery shells hit a district of Kharkiv on June 26, 2022.
Metin Aktas/Anadolu Agency/Getty Images

Russia appoints new commanders​

The Russian hierarchy has also been reorganized, with new commanders for the southern and central forces committed to Ukraine under the overall leadership of Deputy Defense Minister Gennady Zhidko.

The Institute for the Study of War said the “Russian high command is reshuffling and restructuring military command in order to better organize operations in Ukraine.”

It’s perhaps no accident that the first reported visit of Russian Defense Minister Sergei Shoigu and senior commanders to forces involved in the “special military operation” came as the tide seemed to flow in Russia’s favor. Victory has a thousand fathers, but defeat is an orphan.
Mkiitwa wajinga mnakasirika, wakati yaonesha kabisa ni ujinga mnao
 
Rais Zelensky wa UKraine na mataifa ya magharibi kwa ujumla wanashangilia sana majeshi ya ukraine kuingia kwenye mji wa kherson wakidai wameukomboa. Lakini ukweli ni kwamba hawajaukomboa ila majeshi ya urusi yalitangaza kitambo kuwa yatauachia mji huo. Kwanza Ukraine wal;ikuwa hawaamini kama urusi ni kweli imeamua kuuachia mji huo na walikuwa wanadhani ni mtego wa warusi. Hii ni kwa sababu majeshi ya ukraine yalikuwa yamefanya majaribio mengi ya kuukomboa mji huo bila mafanikio na yaliingia hasara kubwa sana ya kuuliwa askari wake wengi na vifaa vya kijeshi kuharibiwa katika majaribio hayo. Kwa mazingira hayo ilikuwa ni vigumu kwao kuamini kuwa urusi iliyokuwa imefanikiwa kuulinda mji huo usikombolewe leo inaamua kuuachia "bure" bila kufurushwa kwa nguvu za kijeshi.

Urusi iliamua kuuachia kwa kuzingatia hali halisi ya kijiografia na kuzingatia malengo yake ya muda mrefu. Kiasili jimbo la Kherson limegawanywa katika sehemu mbili zilizotenganishwa na mto. Mji wa kherson uko upande wa magharibi wa mto na upande huo una asilimia 30% ya jimbo la kherson. Upande wa mashariki mwa mto huo kuna asilimia 70% ya jimbo la Kherson. Sehemu hizo mbili zinaunganishwa na madaraja. Katika hali ya kivita madaraja hayo yalikuwa yakishambuliwa mara kwa mara na kuharibiwa na kugharimu kutengeneza madaraja ya muda. Kwa malengo ya muda m,refu ni vigumu kujihakikishia usalama kwa walioko upande wa magharibi ikiwa ni pamoja na uhakika wa kuweza kusafirisha silaha kubwa kubwa upande huo. Ndio maana urusi iliwataka raia wahame maeneo hayo na wengi walihama japo kuna wachache walibaki.

Mfano mzuri ni mto Ruvuma unaotenganisha Tanzania na Msumbiji na tunaunganishwa na daraja. Kama (Mungu apishe mbali) ikitokea tukapigana na Msumbiji kisha tukateka sehemu yao, kazi yao ni nyepesi nayo ni kulivunja tu hilo daraja kwa mabomu na hatutaweza kuwahudumia vizuri wanajeshi wetu walioko huko. Mto ni mpaka wa asili na watu hulazimika kuuheshimu, usipouheshimu huko mbeleni unaweza kuadhirika. Ndivyo alivyoamua Urusi kuwa inabidi arudi nyuma na kujiimarisha upande wa mashariki mwa mto. Hali kadharika Ukraine hata akifanyaje hawezi kuvuka mto akakomboa sehemu iliyo mashariki mwa mto huo! Hapo patakuwa hivyo miaka nenda rudi.
Retreat manaake umeshindwa
 
Back
Top Bottom