Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Zelensky: Tumewapa hasara kubwa hurusi

Unawezaje kumlinganisha Mkwawa na Zele? Mkwawa alipigana kwa manufaa ya watu wake!! Zele anapigana kwa manufaa na Marekani na washirikana wake! Zele ni kibaraka wa Marekani!!! Mkwawa hakuwahi kuwa kibaraka wa mzungu!!! Mkwawa alipambana na wakoloni, Zele analea wakoloni ili kuitawala Urusi!! Nadhani bado hujaelewa kinachoendelea! Kwa sababu hiyo nadhani hukuwa na haki ya kuongea! Nyamaza kimya!
Ndivyo walivyo kwambia wa-Ukraine au ramli chonganishi?!
 
Mnaongelea misaada au hasara?.nimetoa twakimu ya jimsi hasara inavyopatikana ila nashangaa unakuwa mgumu kuelewa.kuhusu izo assets zilizokuwa freezing za Urusi zipigwe mdana ili zifidie hasara za ukraine iyo kwanza sahau kabisa maana kuna kampuni nyingi sana zilizojiondoa Urusi zote zimepoteza assets zao sasa zitalipwa na nani.

Warusi wametangaza kabisa kampuni zilizojiondoa Urusi basi asset zao zitabaki kuwa mali ya urusi.kampuni kama Shell ilikuwa imewekeza hisa kwenye miradi mingi katika kampuni ya gazprom zote zimekwenda na maji.ukichukua uwekezaji wake sio chini ya 10 bilion us dollar.sasa hii na kampuni moja tu imepata loose kiasi icho je izo kampuni nyingine nazo zimepata hasara kiasi gani na nani atazipunguzia machungu.

Kuna ndege zaidi ya 100 ambazo zimekatazwa kutoka nnje ya Urusi maana yake zimetaifishwa na kuwa mali ya Urusi.dhamani tu ya izo ndege sio chini ya 30 us bilion.

Kampuni zaidi ya 350 zilitangaza kujiondoka Urusi kwa iyo asset zao zimebaki kuwa mali ya Urusi kwa mujibu wa vikwazo vilivyowekwa na Urusi kuwa kampuni itakayojiondoa basi asset zake zitakuwa mali ya Urusi.sasa unajuq kampuni izo zaidi za 350 zilikuwa zimewekeza kiasi gani Urusi?.
Umekunywa denge mini?
 
Sasa wewe na zelensky nani kilaza? Toka miaka ya 2010 huu mzozo ulikuwepo, na bado Marais wa kipindi hiko walimpinga Putin. Kwani dogo kabla ya vita toka mwaka jana si raia wa uktaine waliambiwa wajiandae na vita? Hukumbuki au? Kama raia wa Ukraine wangempinga Rais wao, walishindwa nini kumpinga? Zele anaungwa mkono na serikali yake yote na wananchi wake, kule kiongozi haongozi taifa kwa utashi wake kama huku Afrika ila maamuzi ya wengi ndo yanaongoza Taifa.
Kama waliambiwa wajiandae mbona wamekimbilia Poland. Si wangebaki maana wamejiandaa
 
Umeongea na kutoa povu sana., Zelensky anasema hatamuachia Mrusi hata Inch 1 kwenye ardhi yake, ndio mana Ukraine inapigana kupambania taifa lao, halafu inaonyesha hujui chochote kwenye hili sakata, Zelensky akisema akubali masharti ya Putini maana yake eneo kubwa tena la kiuchumi akubali liwe sehemu ya Urusi, mfano kule kwenu Tanzania mulikuwa tayari kupeleka majeshi na kupiga na Malawi kwa sababu Malawi walisema lile ziwa Nyasa ni la kwao kwanini sasa mlitaka kuanzisha vita? kwanini?

Ukrean ni Taifa kama ilivyo Tanzania, wana katiba yao, jeshi lao, na kila kitu chao ni nchi yenye mamlaka yake kamili kwanini walazimishwe masharti kutoka nchi nyengine huru ambayo na wao wana maamuzi yao kule na rais wao., enzi za utumwa zimeisha kama wewe bado ni mtumwa hapo ulipo siyo kila mtu na kila nchi

Wacha wapambane mpaka Mrusi atakapomaliza kufurushwa kabisa kabisa na kurudi kwao kama alivyofurushwa Kyiv na kurudi zake Donbas
Tetetee!
Crimea
Luhansky
Donensky
 
Acha kujitoa ufahamu bwashee yaan mwiz akuvamie alafu ukae kimya,Ukraine ni nchi huru ina haki ya kujilinda
Ukiongea sana unazidi kujionedha ulivyo na content chache. Hiyo nchi huru Ukranin ipo angani haina majirani? Ukiwa na majirani maana yake una mipaka na inasheria zinazokuunganisha wrwe na jirani yako. Nchi yako haiwezi kuwa hufu kama inakiuka mapatano na jirani yako ikiwa pamoja na kujiunga na maadui wa jirani yako ambaye mlikubaliana awali kwamba hutojiunga nao.
 
Atoe kwanza boriti kwenye jicho lake ndipo aone kibanzi kwenye jicho la mwenzake! Yeye hakupata hasara? Haoni hasara aliyoipata? Angenyamaza kimya, sidhani kama ana haki ya kusema chochote katika hili! Upumbavu wake umeisababishia hasara kubwa nchi yake kwa faida za mabeberu wa magharibi!
Jambazi linapokuvamia likavunja na kuiba hata redio limekutia hasara kubwa tu lakini ukilikata hata TAKO moja likakimbia likivuja damu ni faraja kubwa sana.
 
Huyu jamaa ni mjinga na ujinga wake ndio umepelekea wananchi wake kufa kwa sababu zisizo na msingi.
Masharti ya russia yasingekuwa na madhara yoyote makubwa kwa taifa lake lakini kwa sababu ya pride na kushikiwa akili na westerners sasa hivi anakula hasara na wasio na hatia.

Kiongozi thabiti angetambua kwamba taifa sio rais tu bali kuna wananchi na angecalculate risk na madhara ambayo yangetokea baadae basi moja kwa moja angefanya maamuzi sahihi.

Wasanii wote naona hawapaswi kuwa viongozi sababu hawana nafsi ya uongozi.
Inashangaza wewe uliyeko nchi ya giza unamwona hafai lkn raia wake wanamuunga mkono na amewaunganisha kupigana.
Vinginevyo wangemgeuka na kumtoa madarakani au hata kumsaliti kwa Russia au hata kuandamana.

Hivi nyie ndio mnaakili kuliko wa Ukreniani wote?
Watu wana uchungu na nchi yao wako tayari kuifia.
 
Inashangaza wewe uliyeko nchi ya giza unamwona hafai lkn raia wake wanamuunga mkono na amewaunganisha kupigana.
Vinginevyo wangemgeuka na kumtoa madarakani au hata kumsaliti kwa Russia au hata kuandamana.

Hivi nyie ndio mnaakili kuliko wa Ukreniani wote?
Watu wana uchungu na nchi yao wako tayari kuifia.
Aiseee
FRpJjsyVUAA-Ek1.jpg
 
Huyu comedian sijui anamdanganya nani sijui anajua dunia haioni nchi yake ilivyo chakaa
Unatakaje Idawa, je aikimbie?
Aisalimishe kwa Putin?
Hivi aliomba vita au amevamiwa?

Watu ni wazalendo kwa nchi yao wako radhi kufa kuliko kuishi na kunenepeana wakitawaliwa.

Tusijilinganishe na Wayukreni sisi Sirro na vifaranga vyake wakipiga bomu la machozi tunasahau agenda zetu zote za maandamano.

Umeona mtu hata mmoja wa Yukreni anaandamana kumpinga Zelensky juu ya vita?.

Ndio wanakufa
Ndio majengo yameharibiwa
Ndio wana dhiki kubwa.

Lakini kwa mioyo yao yote hawajutii kupigana kwani wanapinga uonevu.

Zelensky na watu wakee ni mashujaa bila kujali watashinda ama laa.
 
... Katiba za nchi haziko hivyo wewe; hata Katiba ya JMT hairuhusu Amiri Jeshi Mkuu ku-surrender nchi kwa nchi vamizi kasome Katiba uelewe.
@idawa
Uione hiii uache kumlaum Zelensky.
Ameapa kuilinda Ukraine
 
Jambazi linapokuvamia likavunja na kuiba hata redio limekutia hasara kubwa tu lakini ukilikata hata TAKO moja likakimbia likivuja damu ni faraja kubwa sana.
Sasa hapo jambazi ni nani kama siyo Marekani na washirika wake??? Ulichosema ni sahihi kabisa lakini lazima uelewe kuwa majambazi ni hao unaowatetea!! Anachotafuta Marekani Urusi kupitia Ukraine ni nini??
 
Back
Top Bottom