Zelesnky ni Rais bora duniani kwa mwaka 2025 na hatokaa atokee

kwamb baada ya kuvamiwa ulitaka afanyej ? hapo kasema aliwai kaa na Putin kutaka kutafuta amani ila Putin akaingia chaka , je bado unamlaumu kwa lipi ? ulitaka amsifir Urusi kwa kuvamia Ukraine ? hv ccmu mna matatizo gan ? nyie hamjui kuipigania nchi zaid ya uchawa
 
Zelenskyy: Tutajiunga na NATO.
Trump: Hakuna kujiunga na NATO.

Sijui vita vya Ukreni vimemsaidia nini Zelenskyy?
kwan nan alianzisha vita ? hv ccmu mna shida gan , uchawa umewaingia hadi kwenye damu , siku kenya akihitaj Arusha nahisi mtampa na Manyara ili msipigane nae
 
Wewe ni punguani,kwani Ukraine walikwambia wanataka kuwa upande wa Russia au Western? Mbona unatoa povu kuliko hata Ukrainians 😆😆👇👇

View: https://x.com/visegrad24/status/1896209829288673281?t=4MXu5cTnFhCmKyvSzLsigA&s=19
Hakuna wa kumshinda Zele kwenye kura ni moja ya Viongozi mashuhuri Kwa Sasa na muongeani mzuri.
 
Marekani vile vichwa vinavyotegemewa vipo Silicon Valey na area 51, hiyo serikali muhuni yeyote kama Trump anaachiwa tu aendeshe.

Hao jamaa ni genious kweli, lakini wa wapumbavu kama Trump na makamu wake humohumo.

Hata huyo Elon Musk ni walewale tu wajingawajinga fulani tu.
 
Dah yaani ungekuwa karibu ningekutemea mate usoni mkuu, yaani wewe ni mjinga ka mavi na ni pimbi sana. Hao wakata viuno mashoga aka punga nao ni wakuwasikiliza????? Yaani wanaharakati wajinga kabisa hawajui chochote hahahah. EU tena kwa taarifa yako ndiyo machoko, USA kawaingiza mkenge ili awauzie energy na limpango lao la Nord Stream likajifia mbali na USA ndiyo anapiga mpunga baada ya kufa Nord Stream, na wakikorofishana naye anawanyima ernegy supply. In fact wewe ni jinga hujui siasa za Ulaya/Usa na Russia, nyamaza kimya. Nisamehe nimekutukana kwa sababu you’re an idiot unashabikia vitu usivyovijua
 
Watu kama nyinyi mko radhi mbakwe familia nzima kisa jambazi lililoingia ndani ya nyumba yenu Lina nguvu na silaha.

Msimamo na kupambana mpaka mwisho ndio sifa ya mwanaume rijali haijalishi adui yako ana nguvu kiasi Gani
Kama ni hivyo basi Ukraine isimame mwenyewe kupigana na Russia tuone. Tangu vita ianze anapewa tu misaada
 
Ukraine kumbuka walikuwa na rais aliyekataa kabisa kuwa kibaraka wa usa na eu, ila alipinduliwa akaja huyu shoga na ndiyo vita unayoiona
Lakini alikubali kuwa kibaraka Russia, Mwamba Zelensky Putin anachezea za uso, Trump naye kachezea na dili zake za kitapeli, hata EU akizingua atachezea pia, kwake yeye ni Ukraine kwanza.
 
Hamna
ULaya wamemwambia arudi akaweke mambo yake sawa na marekani, hao ulaya hawana nguvu na uwezo wa kumsaidia bila ya marekani ,maisha ni hela siyo porojo
 
Lakini alikubali kuwa kibaraka Russia, Mwamba Zelensky Putin anachezea za uso, Trump naye kachezea na dili zake za kitapeli, hata EU akizingua atachezea pia, kwake yeye ni Ukraine kwanza.
Dah siyo hivyo ukiangalia kwa jicho la pembeni. Zelenskyy mpaka sasa hana wapiganaji zaidi ya mercenaries toka EU na USA, na hap mercenaries wanalipwa hela balaa. Pia wananchi wengi wanamchukia Sana Zelenskyy kwa kushindwa kuwashawishi US na Eu kumpa uwezo mkubwa wa kumpiga Russia
 
Unahabari suala la wao kuwa kuwa punga mna lipifia kelele tu nyie ngozi nyeusi? Mbona huko kwao hawana shida nalo? Hali athiri uchumi au utendaje wao wa kazi?

Mbona hawalishpalii kama ngozi nyeusi mnavyolipigia kelele?
 
Hii pumba pia.. vita kaitaka mwenyewe kujipendekeza kwa NATO. Atulie ale makande aloyachemsha mwenyewe. Na marekan ndo alikia anampa msaada mkubwa zaidi kijeshi.. atakoma.
 
Unahabari suala la wao kuwa kuwa punga mna lipifia kelele tu nyie ngozi nyeusi? Mbona huko kwao hawana shida nalo? Hali athiri uchumi au utendaje wao wa kazi?

Mbona hawalishpalii kama ngozi nyeusi mnavyolipigia kelele?
Ni kweli ila kwanini huku wanaweka mawakala ili watoto wetu walawitiwe???
 
Kama ni hivyo basi Ukraine isimame mwenyewe kupigana na Russia tuone. Tangu vita ianze anapewa tu misaada
Huyo Russia mwenyewe mnayemuita supapawa anasaidiwa mpaka wanajeshi alafu unataka Ukraine asimame peke yake?
 
Mkuu alipaswa kuvaa suit huo ujinga wake ni wa huko huko nchini kwake. In fact jifunze, usipende kujionesha/kujisemea matatizo yako kwa watu hakuna wa kukuonea huruma!

Kwa kweli, Angevaa hata Suit nyeusi tii mpaka tai bado angekuwa kwenye msimamo ule ule wa vita.
 
Hivi kwanini watu wanapindisha ukweli juu ya madai ya zelensky? Ukraine inataka kujua kwenye mkataba wa madini kunahakikisho la usalama kwa ukraine na ardhi yake? Sasa jitu linatoka huko linatoa povu eti zelensky hataki kumaliza vita. Yaani mnataka ukraine iachie tu haki yake kirahisi tu? Mustake kuwaambukiza uwoga wenu kwa wengine wenye akili na wanaijua thamani ya nchi Yao.

Watanzanyani waoga muache wenye akili timamu wapiganie haki ya nchi yao wao siyo kama nyinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…