Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Vipi kuhusu Profesa mkubwa Lipumbazami, naskia hata mke kakimbia nyumbani.
Yaani Nipo Singo.
Yaani Nipo Singo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asihusishwe na mchezo wenu vijana wa kujichua ,maana najua kwa mwanaume rijali anayekula vizuri kama hana pa kupeleka hizo kitu lazma ajichue.Vipi kuhusu Profesa mkubwa Lipumbazami, naskia hata mke kakimbia nyumbani.
Yaani Nipo Singo.
Hajasema hivyo lazima tukubali duniani kuna opportunities nyingi wasomi wana opportunities zao na hata wasiosoma wana opportunities zao na mungu pia huwa anaamua nani ampe na nani asimpe, huyu diamond ingekuwa riziki anatoa binaadamu tusingekubali awe na pesa alizokuwa nazo ukiangalia ulivyopata tabu shule na chuo halafu maokoto yako mwisho wa mwezi na ukijilinganisha na diamond huwezi kukubali apate anachopata ila ndio hivyo mungu ndio anaamua haya yote u cant complainKwahiyo unataka kusema shule na mfumo wa elimu ufutwe,ili wasiosoma Kama kina zembwela waendelee kuwa na maisha mazuri?
Maza ako alitoa u.chafu tumboni
we umeishi kwa hao maprofesa? Au unawashwa sehemu gani ya mwili wako. Km ulishindwa shule acha kuleta upumbavu wako humu JF. mburula mkubwa.Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Yeye lengo la bandiko lake ni kudharau wasomi,kisa ye hajasoma Kama kina zembwela na manara ungaunga.Hajasema hivyo lazima tukubali duniani kuna opportunities nyingi wasomi wana opportunities zao na hata wasiosoma wana opportunities zao na mungu pia huwa anaamua nani ampe na nani asimpe, huyu diamond ingekuwa riziki anatoa binaadamu tusingekubali awe na pesa alizokuwa nazo ukiangalia ulivyopata tabu shule na chuo halafu maokoto yako mwisho wa mwezi na ukijilinganisha na diamond huwezi kukubali apate anachopata ila ndio hivyo mungu ndio anaamua haya yote u cant complain
Hapana tusi personalize vitu mimi nina degree mbili lakini nakubali kuwa kusoma na kufanikiwa ni vitu viwili tofauti , ingawa kama binaadamu kusoma au kuelimika ni wajibu ila haiguarantee mafanikio especially nchi hizi za africa, mimi nimeenda nchi fulani hapa africa kuna demu ana degree tatu lakini hadi leo hajawahi kupata kazi ya maana zaidi ya kuhangaika tu , africa kuna kitu hakipo sawa,Yeye lengo la bandiko lake ni kudharau wasomi,kisa ye hajasoma Kama kina zembwela na manara ungaunga.
[emoji3][emoji3][emoji3]Sup SUA kawaida usichukie professa.
Tajiri nyumba yake tofali analaza hasimamishi na cement mfuko mmoja tofali 24/25/27 zimezidi sana 28 hapo kupiga ufa au nyufa ni mkatabaPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Sawa kila mtu apambane na mechi zakeHapana tusi personalize vitu mimi nina degree mbili lakini nakubali kuwa kusoma na kufanikiwa ni vitu viwili tofauti , ingawa kama binaadamu kusoma au kuelimika ni wajibu ila haiguarantee mafanikio especially nchi hizi za africa, mimi nimeenda nchi fulani hapa africa kuna demu ana degree tatu lakini hadi leo hajawahi kupata kazi ya maana zaidi ya kuhangaika tu , africa kuna kitu hakipo sawa,
Uchawa unalipa sana ndiyo maana hata vyuo vikuu vinajitahidi kuzalisha machawa badala ya wasomi wanaoweza tatua changamoto za kijamiiPamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Sio kweli mbona ndio wanafanya consultancy ya miradi mikubwa. Nadhani wasomi ni washauri zaidi kuliko watendaji usichanganye hayo mambo mawili.Hakuna kitu kama hicho mtoe hata professor wa uchumi mpe biashara kama ataweza kufanya kama kishimba au bakhressa , maprofessor wengi ni bookworm ukiwatoa kwenye kufundisha huwa hata social life zao za shida sana
😂 aiseeSup SUA kawaida usichukie professa.
Siyo anajilipia,analipiwa na makampuni na huwa wanakua na nyumba zao,ila wamepangisha.Sasa mkuu, unatoa ujumbe gani?
Kapanga nyumba ya M.8 kwa mwezi? Japo figure haina ukweli ila pia sasa hii ni akili au matope?
Huyu jamaa yetu mbona kama inaki-dis chuo chetu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1787]SUA wamekufanya nini mkuu mpaka uwafanye mfano?.
Tatizo social media ndio mnaona success wapo maprofessor kibao UDSM wana hisa kwenye makampuni malubwa, wanamiliki real estates n.k ila kwakuwa hawana fujo basi unadhani hawana hela.Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
Mkuu ukiachana na social media nimekaa sana vyuoni nayajua maisha kwa angle zote hizoTatizo social media ndio mnaona success wapo maprofessor kibao UDSM wana hisa kwenye makampuni malubwa, wanamiliki real estates n.k ila kwakuwa hawana fujo basi unadhani hawana hela.
Mimi ni academician, I teach so najua mabosi wangu walivyo na ukwasi ila tu hawapendi makubwa ila pesa tu kama pesa wanazo hasa wanaofanya consultancy.Mkuu ukiachana na social media nimekaa sana vyuoni nayajua maisha kwa angle zote hizo