Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo huyo hata kama wa kike, kikubwa kuna utaratibu wa kuwa karibu na rais siyo kila mtu.Mbona hakuna nilikomuongelea msanii wa kiume?
Acha kodi utafunweInalipa serikali yetu tukufu!
Unakula UTINdio marupurupu yenyewe hayo Mkuu.
Mkuu, hao watu wanategemeana. Haya ni maandalizi ya kampeni, kila mmoja anajitahidi kutumia nafasi yake kupata ushawishi kutoka kwa mwenzie.Sijui Rais aliwaza nini kuamua hili..
Unaenda na wasanii kufanya nn hivi? Hii nchi hela watu hawana uchungu kabisa kuzila, alafu anaibuka mkuu wa mkoa Arusha kumlaumu mtendaji wa wilaya sijui kata kula laki 6, uhanithi mtupu yaani.
Kwanza watu wenyewe wasivyojitqmbua watakuchezea drama mama Rais hautaamini na nakuhakikishia wewe mwenyewe utafuta huu utaratibu
Mapenzi Mabaya Mapenzi Mapenzi Mapenzi Mabaya unaniona Mimi Zoba Zoozoba AyeeeMkurugenzi wa bodi ya filamu nchini Dr. Kiago Kilonzo anatajwa kufanya upendeleo kwa kupoka nafasi ya muigizaji mmoja mwanamama (jina linahifadhiwa kwa sasa) kisha kumuweka mwanadada mwingine anayedaiwa kuwa mpenzi wake.
Kwahy maana ake n kwamba tayari kuna list ya wanaotakiwa kwenda, sasa kama list ipo je n nani aliyeiandaa hiyo list mpaka imfikie Kilonzo hadi aweke watu wake.?Mkurugenzi wa bodi ya filamu nchini Dr. Kiago Kilonzo anatajwa kufanya upendeleo kwa kupoka nafasi ya muigizaji mmoja mwanamama (jina linahifadhiwa kwa sasa) kisha kumuweka mwanadada mwingine anayedaiwa kuwa mpenzi wake.
Walioandaa list ni wengine, ilipomfikia Kilonzo ndio akatumia nafasi yake kuweka mtu wake.Kwahy maana ake n kwamba tayari kuna list ya wanaotakiwa kwenda, sasa kama list ipo je n nani aliyeiandaa hiyo list mpaka imfikie Kilonzo hadi aweke watu wake.?