Ziara hii ya Waziri Mkuu mbona haina utulivu?

Ahsante mkuu kwa taarifa
 
Tarehe 14 mwezi March anatakiwa MBEYA na watu wameshajiandaa
 

Usidhani unaongea na wanao hapa, ficha huu ujinga huenda utakufaa huko mbeleni.
 
Inaonyesha kuna tatizo kubwa mahala.
 
Anayesebabisha huo upumbavu ni huyo jamaa yenu anayejiita Jiwe na kuwaambia wenzie waache mavi nyumbani hadharani. The most stupid president ever!! Na hilo linalosemwa kama ni kweli basi na iwe hivyo.
Hebu muache mheshimiwa rais amalizie kwaresima yake nyie wapagani mnaleta shida. Rais yuko kwenye mfunga wa kwaresima nyie na lucife wenu mnapiga kelele zisizo na staha. Rais ni chaguo la wananchi na wananchi ni sauti ya Mungu.
 
Tuendelee kujifukiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…