Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini Marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi, Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayo yapo siku za mbele. Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa Rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi,Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayoa yapo siku za mbele.Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Ulikuwa nao na kuona walivyokuwa wanafanya?
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi,Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayoa yapo siku za mbele.Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Silku hizi sijui nimekuwaje,

Ninachukia sana WATU wanaoongea sana kama CHIRIKU.

Watu wenye MAONI na hoja KWENYE kila kitu. I HATE THEM TO THE CORE
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi,Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayoa yapo siku za mbele.Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
'Pinga pinga FC' una uhakika wapo 'idle' huko ?
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi,Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayoa yapo siku za mbele.Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Enzi za utawala wa Magufuli, mlikuwa mnasifia kila kitu! Hata yale mambo ya kijinga kabisa, na yenye kuleta maumivu na mateso makubwa kwa baadhi ya Watanzania! bado mlisifia tu na kutukejeli wote tulio lalamika!

Leo hii eti ndiyo mnajifanya kukosoa! Ni kwa sababu hampo kwenye mfumo wa ulaji bila shaka. Hii ni awamu ya watoto wa mjini kufaidi keki ya Taifa. Hivyo kuweni tu wapole.
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi,Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayoa yapo siku za mbele.Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
Mzee Mwinyi alishasema kila zama na kitabu chake. Vumilia tu mkuu zama zenu zimepita
 
Ndugu zangu,

Mnamo tarehe 13.04.2022 Rais Samia amekuwa katika ziara nchini marekani akiambatana na "delegation" kubwa sana ya watumishi wa serikali.

Kama Rais alipaswa aende US kwa mambo ambayo ni "specific " na sio kukaa huko akisubiri matukio.

Kuna udhaifu mkubwa kwa wizara ya mambo ya nje wanaoratibu ziara hizi,Rais anakosa cha kufanya akisubiri matukio ambayoa yapo siku za mbele.Wao wanaangalia posho zao na sio tija ya ziara ya Rais.

Siku zaidi ya tano kwa rais kuzuru nchi moja humfanya kuwa "iddle" muda mwingi asiwe na cha kufanya.

Ni matumaini yangu udhaifu huu utarekebishwa.
hata sijui hii report ya CAG ataiosoma saa ngapi na kutoa maamuzi saa ngapi!!!
alale pema peponi kamandaaaa!R.I.P ChumaJPM
 
Enzi za utawala wa Magufuli, mlikuwa mnasifia kila kitu! Hata yale mambo ya kijinga kabisa, na yenye kuleta maumivu na mateso makubwa kwa baadhi ya Watanzania! bado mlisifia tu na kutukejeli wote tulio lalamika!

Leo hii eti ndiyo mnajifanya kukosoa! Ni kwa sababu hampo kwenye mfumo wa ulaji bila shaka. Hii ni awamu ya watoto wa mjini kufaidi keki ya Taifa. Hivyo kuweni tu wapole.

Watanzania wengi hawapendi Safari za rais ambazo hazina tija Kwa taifa,

Hata wakati wa jk watu walikuwa wanafilia hatua mpaka ya kuhesabu kila akipita airport

Kulikuwa na Uzi kabisa hapa watu wanahesabu mpaka zikafika 300,

So ishu ni kusafiri Sana na unasafiri kwenda kufanya nn?
 
Atakuwa ameenda kuomba aungwe mkono 2025 iwapo atagombea coz kuna manyang'au yameonyesha need a ya kutaka kumkwamisha!!nadhani akataka aonane na Joe Biden Ili amhakikishie ushindi 2025 kwa msaada wa FBI kupika matokeo pale Kura zisipo tosha!!kama msoga alivoomba msaada kwa mjaluo 2015 Ili mwendazake ashinde dhidi ya mamvi!!!
 
Enzi za utawala wa Magufuli, mlikuwa mnasifia kila kitu! Hata yale mambo ya kijinga kabisa, na yenye kuleta maumivu na mateso makubwa kwa baadhi ya Watanzania! bado mlisifia tu na kutukejeli wote tulio lalamika!

Leo hii eti ndiyo mnajifanya kukosoa! Ni kwa sababu hampo kwenye mfumo wa ulaji bila shaka. Hii ni awamu ya watoto wa mjini kufaidi keki ya Taifa. Hivyo kuweni tu wapole.
Mzee Mwinyi alishasema kila zama na kitabu chake. Vumilia tu mkuu zama zenu zimepita
Wale wasifiaji wamegeuka wakosoaji baada ya kutemwa kwenye fursa za ulaji.
 
Rais na msafara wake wanakuwa redundant kwenye nchi ya kigeni huku kodi za wananchi maskini zikiendelea kuteketea, kwa hiyo hayo masaa ya bure ni kuzurura huku na huko kufanya shopping maana miposho ni ya kumwaga tu.......
 
Enzi za utawala wa Magufuli, mlikuwa mnasifia kila kitu! Hata yale mambo ya kijinga kabisa, na yenye kuleta maumivu na mateso makubwa kwa baadhi ya Watanzania! bado mlisifia tu na kutukejeli wote tulio lalamika!

Leo hii eti ndiyo mnajifanya kukosoa! Ni kwa sababu hampo kwenye mfumo wa ulaji bila shaka. Hii ni awamu ya watoto wa mjini kufaidi keki ya Taifa. Hivyo kuweni tu wapole.
Wewe ni mpumbavu unaongozwa kwa hisia na sio uhalisia
 
Back
Top Bottom