Ziara ya Rais Samia India: Mambo yanayomtofautisha na wapiga porojo wengine

Ziara ya Rais Samia India: Mambo yanayomtofautisha na wapiga porojo wengine

Uwa na shangaa barakala yeyote alijitokeza hapa na kumponda Magu na kusifia Mama Samia
Hata mama Samia akitoka madarakani hawa hawa wataanza kumponda mana wakati Magu yupo madarakani walimsifu na kuponda Kikwete.

Niseme tu CCM ni ile ile, ufisadi ni uleule, rushwa ni zilezile, alipoishia aliyepita huyu aliyepo anaendelea palepale.
Hakuna mwenye nafuu, nafuu yetu watanzania ni kuiondoa CCM madarakani
Kuikataa CCM ni kumkataa shetani na mambo yake
Na kuikubali CCM ni kumkubali shetani.
 
Uwa na shangaa barakala yeyote alijitokeza hapa na kumponda Magu na kusifia Mama Samia
Hata mama Samia akitoka madarakani hawa hawa wataanza kumponda mana wakati Magu yupo madarakani walimsifu na kuponda Kikwete.

Niseme tu CCM ni ile ile ufisadi ni ule rushwa ni zile alipoishia aliyepita huyu aliyepo anaendelea palepale
Hakuna mwenye nafuu, nafuu yetu watanzania ni kuiondoa CCM madarakani
Kuikataa CCM ni kumkataa shetani na mambo yake
Na kuikubali CCM ni kumkubali shetani.
Samia ana nafuu kuliko hao wengine,hakuna mahala ambapo nimetaja jina la huyo unaemsema nimelinganisha tuu na hali ya kipindi kile.

Face the reality hata kama unaumia.Kazi iendelee 👇

View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1712384167655154011?t=TvlVhPLwcjsxsiFAt0iktw&s=19
 
Hatuhitaji ujenzi wa hospital ya Sppoli Tanzania.
Leteni madaktari bingwa kutoka Appolo.
Bungando ipo, muhimbili ipo, KCZmC ipo
Utawalipa wewe? Tanzania Iko kwenye path ya medical Tourism hivyo hicho unachokisema wewe ni ujinga.

Nimekuonesha hapo Kuna nafasi za kusoma unasema ndugu zako wakisoma India wanauwawa 🤣🤣🤣🤣

Chuki zimeharibj ubongo,hovyo kabisa
 
Pumbavu lingine ni hili jamaa lileta uzi
Ligacy imeguswa 😆😆
22112018.jpg
 
 
Mimi mweyewe nimeshawahi kubeba Karanga ya Mohamed enterprise iliyokuwa inaelekea India.

Kutoka Tabora hadi Daresalaam kuna jipya gani?
 
Back
Top Bottom