Kuwa chawa hakuondoi huo ukweli,najua hapa ni kufunikwa Kwa ligacy ndio inawasumbua ππππMim mtu akiianza kusema raisi huyu ni bora kuliko yule naona ni CHAWA KAMA MACHAWA WENGINE PUMBAVU KABISA
Samia ana nafuu kuliko hao wengine,hakuna mahala ambapo nimetaja jina la huyo unaemsema nimelinganisha tuu na hali ya kipindi kile.Uwa na shangaa barakala yeyote alijitokeza hapa na kumponda Magu na kusifia Mama Samia
Hata mama Samia akitoka madarakani hawa hawa wataanza kumponda mana wakati Magu yupo madarakani walimsifu na kuponda Kikwete.
Niseme tu CCM ni ile ile ufisadi ni ule rushwa ni zile alipoishia aliyepita huyu aliyepo anaendelea palepale
Hakuna mwenye nafuu, nafuu yetu watanzania ni kuiondoa CCM madarakani
Kuikataa CCM ni kumkataa shetani na mambo yake
Na kuikubali CCM ni kumkubali shetani.
BBT umefikia wapi nao ni utapeli mkubwa umeanzishaPika na wewe type zako bwashee
Wekeni hayo makubaliano hapa tuyaone na kuyasoma. Msije kuzalisha DP world nyingineUzuri unaleta povu na makasiriko ya chuki bila facts πππ
Kula chuma nyingine hapa π
View: https://www.instagram.com/p/CyOXBm6qA10/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Msamiati mpya mnemba
Pumbavu lingine ni hili jamaa lileta uziMim mtu akiianza kusema raisi huyu ni bora kuliko yule naona ni CHAWA KAMA MACHAWA WENGINE PUMBAVU KABISA
Samia ana nafuu kuliko hao wengine,hakuna mahala ambapo nimetaja jina la huyo unaemsema nimelinganisha tuu na hali ya kipindi kile.
Face the reality hata kama unaumia.Kazi iendelee π
View: https://twitter.com/mamanafanikisha/status/1712384167655154011?t=TvlVhPLwcjsxsiFAt0iktw&s=19
Utawalipa wewe? Tanzania Iko kwenye path ya medical Tourism hivyo hicho unachokisema wewe ni ujinga.Hatuhitaji ujenzi wa hospital ya Sppoli Tanzania.
Leteni madaktari bingwa kutoka Appolo.
Bungando ipo, muhimbili ipo, KCZmC ipo
Ligacy imeguswa ππPumbavu lingine ni hili jamaa lileta uzi
Kazi inaendelea πBBT umefikia wapi nao ni utapeli mkubwa umeanzisha
Kama JPMMama Samia tunakuombea killa la heri.
Nchi inaendeshwa kwa maneno tena kupitia watu wachache kama wewe Bashe
Kiboko Yako ni Mimi,nakupopoa Kwa facts mpaka unatafuta pa kujificha ππKama JPM
Kiboko Yako ni Mimi,nakupopoa Kwa facts mpaka unatafuta pa kujificha ππ
Hospitali ya π ππππUmmy Mwalimu: Hospitali maalum ya watoto inayoitwa Rainbow kujengwa Tanzania
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Zuhura Yunus akizungumza na Waandishi wa Habari leo tarehe 12 Oktoba, 2023. https://www.youtube.com/live/dTZZ4o97U3A?si=HNAVFRFRzHn0H5y5 Akizungumza kwenye Mkutano na waandishi wa Habari ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Waziri...www.jamiiforums.com