Ziara ya Rais Samia India: Mambo yanayomtofautisha na wapiga porojo wengine

Hizi riwaya zako nakumbuka motivational speakers wanavyotuletaga. Huwa wanahubiri mafanikio tupu, vitendo Sasa ndio utachoka.
Hapa ni vitendo na matokeo sio motivesheni spika
 
Hizi porojo zenu chawa unaweza Kuta Kuna watu wanawaamini!
Kwa nini usiamini? Kwani Mradi wa Maji Miji 28 Dola mil.500 huko kwenu haupo?

Kwani pale Zanzibar Chuo Kikuu Cha India hakijengwi?

Kwani Hatuuzi Mbaazi na Korosho India?

Kamuamini Mbowe usinipigie kelele za kijinga.
 
Kwa nini usiamini? Kwani Mradi wa Maji Miji 28 Dola mil.500 huko kwenu haupo?

Kwani pale Zanzibar Chuo Kikuu Cha India hakijengwi?

Kwani Hatuuzi Mbaazi na Korosho India?

Kamuamini Mbowe usinipigie kelele za kijinga.
Huku kwetu wapi Kuna mradi wa miji 28 ya maji ya $500m? Sielewi hata umeandika nini hapa chawa.

Korosho na mbaazi zinauzwa huko India miaka dahari, Wala sio jambo geni.

Nimuamini Mbowe kutokana na hizi porojo zako ama? Yaani umeona sikubalini na hizi ngonjera zako unaishia kupanick?!
 
We mpumbavu nini,huko kwenu Mimi nakujua? Taja huko kwenu.

Pili Tanzania Ina mamia kama sio maelfu ya Miji so miradi Iko kwenye Miji 28 tuu

View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1712458481062772917?t=rmWnWnr7B9sCyJMU22xbOA&s=19
 
Usilinganishe Mzungu na Mwafrika.

Ziara ipi ilifanywa na JK India? Tayari zimeshaonesha mafanikio hata kabla ya hii ziara maana biashara kati ya Tanzania na India imeongezeka mara 2 ndani ya miaka 2 ya Samia.

Samia sio wa level za nyie nyumbu,Kwa miaka 3 Amewapa Tanesco bil.700 vs bil.500 za Mwendazake miaka 5.

Narudia kukwambia usije kurudia kumlinganisha Samia na wapiga porojo utaaibika.

View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1711254216507863280?t=zMBaCbYc3-VN-jCr43S9kQ&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…