Rais Samia ni miongoni mwa wanawake mia moja wenye ushawishi zaidi Duniani. Ndiye kiongozi mwenye uwezo wa kuzungumza na akasikilizwa na Bara zima la Afrika na Dunia nzima kwa ujumla wake. Ndiye kiongozi aliyebeba matumaini na furaha ya watanzania
Hakuna kiongozi mwenye ushawishi hapa Nchini na nje ya Nchi kumpita RAIS Samia mama yetu Mpendwa. Wewe unafikiri ni kazi rahisi kuorodheshwa kuwa Miongoni mwa watu mia moja wenye ushawishi zaidi Duniani Kwote? Uchaguzi Mkuu anakwenda kuzoa na kukomba kura zote za ndio za Urais.Ushawishi Duniani tuache ujinga jinga. Huyu Mama anaiba kura za vijiji ushawishi anatoa wapi kama anaiba kura za vijiji!. Wapinzani wanatekwa kila siku eti ushawishi toeni takataka zenu hapa na vichekesho. Nendeni mitandao ya machawa
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hojaNa kweli wewe unalimwa!.
Anaenda kuongea na mizimuuu ya hukoo ajiimarishe vizr kwa ajili ya uchaguzii Lissu Kiboko ,unafanya watu waende Tanga ,Tanga sio mchezo mchezoo etiiiNdugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga kuanzia Tarehe 23 mwezi huu wa Februari.
Ni ziara ya kihistoria kwa Rais Samia na Mama yetu Mpendwa,Ni ziara ambayo itamkumbusha mambo mengi sana Mama yetu,ni ziara ambayo itagusa hisia na pengine kumbubujisha machozi ya huzuni ndani ya moyo wake ,ni ziara ambayo itakuwa na msisimuko wa kipekee sana,ni ziara ambayo itakuwa tofauti kabisa na ziara zote ambazo amewahi kuzifanya ndani na nje ya Nchi yetu tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.
Kwa sababu Tanga ndio Mkoa ambao Mama yetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.alitakiwa kwa mamlaka aliyopewa kikatiba na kisheria kulitangazia Taifa letu na Dunia nzima kwa ujumla wake Kuwa kwa masikitiko Makubwa sana na huzuni na uchungu wa hali ya juu sana kuwa Rais Daktari John Pombe Joseph Magufuli Amefariki Dunia na Hatunaye tenaa.
Kwa hakika hii ilikuwa ni siku nzito sana na ya giza zito katika moyo na Kifua cha Mama yetu ,Kabla yetu watanzania kupewa Taarifa hizo muda ule wa saa tano usiku. Hata mimi mwenyewe nilipokuwa nikitazama video ya Mama yetu akitangaza jambo hilo zito niliona wazi namna Moyo wa Mama ulivyo elemewa na kujawa na majonzi ,huzuni ,maumivu,uchungu na machozi yasiyokatika katika moyo wake.
Ni ujasiri na ushupavu wa kiuongozi alionao na aliojaliwa na Mwenyezi Mungu ndio uliowezesha Mama kumaliza kusoma taarifa ya kulitangazia Taifa hiyo ya majonzi na masikitiko katika Historia ya Taifa letu ya kuondokewa na Rais aliyepo madarakani.
Kwa hiyo kurejea kwa Mama yetu Mpendwa kwa mara ya kwanza na kuingia ndani ya Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi . Kutamkumbusha Mambo Mengi sana na kile kilichotokea kabla ya kutoa taarifa rasmi na namna moyo na mwili wake vilivyokuwa,,atakumbuka hali aliyokuwa nayo alipopewa taarifa hizo,itamkumbusha namna alivyojihisi pengine hata kuishiwa nguvu mwilini kabla ya kutokea mbele ya Camera kulitangazia Taifa.
Kwa hakika kibinadamu bila shaka ilikuwa ni siku ngumu sana kwa Mama yetu katika Historia yake tangia kuzaliwa kwake, ilikuwa ni siku chungu na yenye kila aina ya maswali yaliyomzunguka kichwani mwake. Hususani juu ya mzigo na msalaba mzito wa kulitumikia na kuliongoza Taifa letu uliokuwa mabegani Mwake kikatiba na kisheria.
Bila shaka Rais wetu alikuwa anawaza mambo mengi sana na kumzunguka kichwani Mwake kuwa ni nini kinakwenda kutokea sasa? Anaanzia wapi? Anaanza na nini? Anaanza na kauli ipi baada ya kuapishwa? Anatoa hotuba ipi kuwaunganisha,kuwafuta machozi na kuwafariji Watanzania ilihali naye anabubujikwa na machozi .lakini yeye sasa kama kiongozi anatakiwa sasa awafute machozi watu,kuwapa matumaini na aongoze njia yenye Mwanga na yenye kuonyesha Matumaini .
Bila shaka yalikuwa ni maswali juu ya maswali juu ya nani na nani afanye nao kazi na nani akae wapi na nani abakie wapi na nani akae pembeni yake na nani amsaidie kwenye hili na lile na lile.
Yalikuwa ni maswali juu ya maswali yakimzunguka kichwani mwake juu ya kulivusha Taifa salama . Yalikuwa ni maswali juu ya nini cha haraka kifanyike na kutekelezwa kwa upesi.
Ndugu zangu Watanzania Ni mkoa ambao bila shaka hata hotuba ya kwanza ya Raisi wetu Mpendwa Mama Samia atakapotua ndani ya mkoa huo, itakuwa yenye msisimuko mkali sana na yenye kugusa hisia za wengi sana na itakayofuatiliwa Nchini kwote na ambayo itaacha alama katika mioyo ya mamilioni ya watanzania Nchini.
Ndio Maana nasema kuwa Ni ziara ambayo wewe mtanzania mwenzangu hupaswi kukosa kuifuatilia kupitia vyombo vya habari. Lakini kwa wana Tanga ni muhimu sana kumiminika na kufurika katika kumlaki na kumpokea shujaa wetu aliyelivusha Taifa katika nyakati zote ngumu .ambazo pengine wengine walifikiria pengine tusingeweza kuvuka au tungepasuka na kugawanyika Kama Taifa au Amani na utulivu wetu kuwa mwisho na kubakia historia.
Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.tuendeleee kujinyenyekeza mbele za Mungu kila uchao Kabla ya kulala na baada ya kuamka asubuhi kumuomba Mungu amlinde ,kumtetea na kumpigania Rais wetu. Tukesheni Tukiomba kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa.View attachment 3242014
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi na wewe unaanzia wapi kumfananisha Rais wetu Mpendwa na mtu kama Lissu? Hivi kuna mwenye akili Timamu anaweza mpa lissu kura ya ndio?Anaenda kuongea na mizimuuu ya hukoo ajiimarishe vizr kwa ajili ya uchaguzii Lissu Kiboko ,unafanya watu waende Tanga ,Tanga sio mchezo mchezoo etiii
Hivi na wewe unaanzia wapi kumfananisha Rais wetu Mpendwa na mtu kama Lissu? Hivi kuna mwenye akili Timamu anaweza mpa lissu kura ya ndio?
Angekuwa anapendwa ingeshindikana vipi kupata pesa ya kununua gari alilokuwa analitaka kwa ajili ya starehe zake? Mbona michago imekuwa ya kusuasua tu mpaka amekata tamaa?Hivi na akili zako utalinganisha kupendwa kwa Lissu na huyu Mama!!. Huyu Mama ni kwamba yupo kama Raisi na anawapa pesa watu kila mahali lakini ni mapenzi ya kinafiki. Lissu hakuna wa kumfananisha na Mama anajua hilo. Mama ni Mama wa Dolla sio Mama wa watu huo ndiyo ukweli
Embu andikaga kama mtu ambaye yupo timamu kichwani.Ndiyo Mkoa Alipotangaza
Kifo Cha Jiwe Akiwa Kavaa Hijabu
Umechokaaa sanaa eti unamfananisha na lissu ukapimwe aseeHivi na wewe unaanzia wapi kumfananisha Rais wetu Mpendwa na mtu kama Lissu? Hivi kuna mwenye akili Timamu anaweza mpa lissu kura ya ndio?
Umechokaaa sanaa eti unamfananisha na lissu ukapimwe asee
Huko juzi tu nimetoka, kiufupi kitabu cha Tanga sio cha kwake na asiulize ni kwanini. Wana uchungu mkubwa sana kupeperushiwa koleo lao.Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga kuanzia Tarehe 23 mwezi huu wa Februari.
Ni ziara ya kihistoria kwa Rais Samia na Mama yetu Mpendwa,Ni ziara ambayo itamkumbusha mambo mengi sana Mama yetu,ni ziara ambayo itagusa hisia na pengine kumbubujisha machozi ya huzuni ndani ya moyo wake ,ni ziara ambayo itakuwa na msisimuko wa kipekee sana,ni ziara ambayo itakuwa tofauti kabisa na ziara zote ambazo amewahi kuzifanya ndani na nje ya Nchi yetu tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.
Kwa sababu Tanga ndio Mkoa ambao Mama yetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.alitakiwa kwa mamlaka aliyopewa kikatiba na kisheria kulitangazia Taifa letu na Dunia nzima kwa ujumla wake Kuwa kwa masikitiko Makubwa sana na huzuni na uchungu wa hali ya juu sana kuwa Rais Daktari John Pombe Joseph Magufuli Amefariki Dunia na Hatunaye tenaa.
Kwa hakika hii ilikuwa ni siku nzito sana na ya giza zito katika moyo na Kifua cha Mama yetu Kabla yetu watanzania kupewa Taarifa hizo muda ule wa saa tano usiku. Hata mimi mwenyewe nilipokuwa nikitazama video ya Mama yetu akitangaza jambo hilo zito niliona wazi namna Moyo wa Mama ulivyo elemewa na kujawa na majonzi ,huzuni ,maumivu,uchungu na machozi yasiyokatika katika moyo wake.
Ni ujasiri na ushupavu wa kiuongozi alionao na aliojaliwa na Mwenyezi Mungu ndio uliowezesha Mama kumaliza kusoma taarifa ya kulitangazia Taifa taarifa hiyo ya majonzi na masikitiko katika Historia ya Taifa letu ya kuondokewa na Rais aliyepo madarakani.
Kwa hiyo kurejea kwa Mama yetu Mpendwa kwa mara ya kwanza na kuingia ndani ya Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi . Kutamkumbusha Mambo Mengi sana na kile kilichotokea kabla ya kutoa taarifa rasmi na namna moyo na mwili wake vilivyokuwa,,atakumbuka hali aliyokuwa nayo alipopewa taarifa hizo,itamkumbusha namna alivyojihisi pengine hata kuishiwa nguvu mwilini kabla ya kutokea mbele ya Camera kulitangazia Taifa.
Kwa hakika kibinadamu bila shaka ilikuwa ni siku ngumu sana kwa Mama yetu katika Historia yake tangia kuzaliwa kwake, ilikuwa ni siku chungu na yenye kila aina ya maswali yaliyomzunguka kichwani mwake. Hususani juu ya mzigo na msalaba mzito wa kulitumikia na kuliongoza Taifa letu uliokuwa mabegani Mwake kikatiba na kisheria.
Bila shaka Rais wetu alikuwa anawaza mambo mengi sana na kumzunguka kichwani Mwake kuwa ni nini kinakwenda kutokea sasa? Anaanzia wapi? Anaanza na nini? Anaanza na kauli ipi baada ya kuapishwa? Anatoa hotuba ipi kuwaunganisha,kuwafuta machozi na kuwafariji Watanzania ilihali naye anabubujikwa na machozi .lakini yeye sasa kama kiongozi anatakiwa sasa awafute machozi watu,kuwapa matumaini na aongoze njia yenye Mwanga na yenye kuonyesha Matumaini .
Bila shaka yalikuwa ni maswali juu ya maswali juu ya nani na nani afanye nao kazi na nani akae wapi na nani abakie wapi na nani akae pembeni yake na nani amsaidie kwenye hili na lile na lile.
Yalikuwa ni maswali juu ya maswali yakimzunguka kichwani mwake juu ya kulivusha Taifa salama . Yalikuwa ni maswali juu ya nini cha haraka kifanyike na kutekelezwa kwa upesi.
Ndugu zangu Watanzania Ni mkoa ambao bila shaka hata hotuba ya kwanza ya Raisi wetu Mpendwa Mama Samia atakapotua ndani ya mkoa huo, itakuwa yenye msisimuko mkali sana na yenye kugusa hisia za wengi sana na itakayofuatiliwa Nchini kwote na ambayo itaacha alama katika mioyo ya mamilioni ya watanzania Nchini.
Ndio Maana nasema kuwa Ni ziara ambayo wewe mtanzania mwenzangu hupaswi kukosa kuifuatilia kupitia vyombo vya habari. Lakini kwa wana Tanga ni muhimu sana kumiminika na kufurika katika kumlaki na kumpokea shujaa wetu aliyelivusha Taifa katika nyakati zote ngumu .ambazo pengine wengine walifikiria pengine tusingeweza kuvuka au tungepasuka na kugawanyika Kama Taifa au Amani na utulivu wetu kuwa mwisho na kubakia historia.
Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.tuendeleee kujinyenyekeza mbele za Mungu kila uchao Kabla ya kulala na baada ya kuamka asubuhi kumuomba Mungu amlinde ,kumtetea na kumpigania Rais wetu. Tukesheni Tukiomba kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa.View attachment 3242014
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha wivu wako wewe na kuanza kuweweseka. Tanga inakwenda kuvunja historia ya mapokezi mazito kwa Mheshimiwa Rais wetu MpendwaHuko juzi tu nimetoka, kiufupi kitabu cha Tanga sio cha kwake na asiulize ni kwanini. Wana uchungu mkubwa sana kupeperushiwa koleo lao.
Atakachokaribishwa nacho ni machawa wa kukodi, ofisi za CCM zilizopakwa rangi mpya huku majengo yanayozizunguka yamepauka ajabu, ofisi za serikali zimechoka ni za kikoloni kuanzia kituo cha olisi, hospitali ya mkoa, uwanja wa ndege wa kikoloni, wafanya biashara kushindikana kuhamia stendi ya Kange, uchafu mwingi kwenye mitaro, manung;uniko mengi yasiyo na tiba......haya karibu Tanga......Muheza.....Pongwe.......Kange.........mpaka mji mkongwe
Duh, wewe Lucas, hayo majina unayompatia mh. Rais, mbona ni ya Mungu? Asee,angalia sana, maana hata madam president sidhani kama anayakubali.?Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga kuanzia Tarehe 23 mwezi huu wa Februari.
Ni ziara ya kihistoria kwa Rais Samia na Mama yetu Mpendwa,Ni ziara ambayo itamkumbusha mambo mengi sana Mama yetu,ni ziara ambayo itagusa hisia na pengine kumbubujisha machozi ya huzuni ndani ya moyo wake ,ni ziara ambayo itakuwa na msisimuko wa kipekee sana,ni ziara ambayo itakuwa tofauti kabisa na ziara zote ambazo amewahi kuzifanya ndani na nje ya Nchi yetu tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.
Kwa sababu Tanga ndio Mkoa ambao Mama yetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.alitakiwa kwa mamlaka aliyopewa kikatiba na kisheria kulitangazia Taifa letu na Dunia nzima kwa ujumla wake Kuwa kwa masikitiko Makubwa sana na huzuni na uchungu wa hali ya juu sana kuwa Rais Daktari John Pombe Joseph Magufuli Amefariki Dunia na Hatunaye tenaa.
Kwa hakika hii ilikuwa ni siku nzito sana na ya giza zito katika moyo na Kifua cha Mama yetu Kabla yetu watanzania kupewa Taarifa hizo muda ule wa saa tano usiku. Hata mimi mwenyewe nilipokuwa nikitazama video ya Mama yetu akitangaza jambo hilo zito niliona wazi namna Moyo wa Mama ulivyo elemewa na kujawa na majonzi ,huzuni ,maumivu,uchungu na machozi yasiyokatika katika moyo wake.
Ni ujasiri na ushupavu wa kiuongozi alionao na aliojaliwa na Mwenyezi Mungu ndio uliowezesha Mama kumaliza kusoma taarifa ya kulitangazia Taifa taarifa hiyo ya majonzi na masikitiko katika Historia ya Taifa letu ya kuondokewa na Rais aliyepo madarakani.
Kwa hiyo kurejea kwa Mama yetu Mpendwa kwa mara ya kwanza na kuingia ndani ya Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi . Kutamkumbusha Mambo Mengi sana na kile kilichotokea kabla ya kutoa taarifa rasmi na namna moyo na mwili wake vilivyokuwa,,atakumbuka hali aliyokuwa nayo alipopewa taarifa hizo,itamkumbusha namna alivyojihisi pengine hata kuishiwa nguvu mwilini kabla ya kutokea mbele ya Camera kulitangazia Taifa.
Kwa hakika kibinadamu bila shaka ilikuwa ni siku ngumu sana kwa Mama yetu katika Historia yake tangia kuzaliwa kwake, ilikuwa ni siku chungu na yenye kila aina ya maswali yaliyomzunguka kichwani mwake. Hususani juu ya mzigo na msalaba mzito wa kulitumikia na kuliongoza Taifa letu uliokuwa mabegani Mwake kikatiba na kisheria.
Bila shaka Rais wetu alikuwa anawaza mambo mengi sana na kumzunguka kichwani Mwake kuwa ni nini kinakwenda kutokea sasa? Anaanzia wapi? Anaanza na nini? Anaanza na kauli ipi baada ya kuapishwa? Anatoa hotuba ipi kuwaunganisha,kuwafuta machozi na kuwafariji Watanzania ilihali naye anabubujikwa na machozi .lakini yeye sasa kama kiongozi anatakiwa sasa awafute machozi watu,kuwapa matumaini na aongoze njia yenye Mwanga na yenye kuonyesha Matumaini .
Bila shaka yalikuwa ni maswali juu ya maswali juu ya nani na nani afanye nao kazi na nani akae wapi na nani abakie wapi na nani akae pembeni yake na nani amsaidie kwenye hili na lile na lile.
Yalikuwa ni maswali juu ya maswali yakimzunguka kichwani mwake juu ya kulivusha Taifa salama . Yalikuwa ni maswali juu ya nini cha haraka kifanyike na kutekelezwa kwa upesi.
Ndugu zangu Watanzania Ni mkoa ambao bila shaka hata hotuba ya kwanza ya Raisi wetu Mpendwa Mama Samia atakapotua ndani ya mkoa huo, itakuwa yenye msisimuko mkali sana na yenye kugusa hisia za wengi sana na itakayofuatiliwa Nchini kwote na ambayo itaacha alama katika mioyo ya mamilioni ya watanzania Nchini.
Ndio Maana nasema kuwa Ni ziara ambayo wewe mtanzania mwenzangu hupaswi kukosa kuifuatilia kupitia vyombo vya habari. Lakini kwa wana Tanga ni muhimu sana kumiminika na kufurika katika kumlaki na kumpokea shujaa wetu aliyelivusha Taifa katika nyakati zote ngumu .ambazo pengine wengine walifikiria pengine tusingeweza kuvuka au tungepasuka na kugawanyika Kama Taifa au Amani na utulivu wetu kuwa mwisho na kubakia historia.
Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.tuendeleee kujinyenyekeza mbele za Mungu kila uchao Kabla ya kulala na baada ya kuamka asubuhi kumuomba Mungu amlinde ,kumtetea na kumpigania Rais wetu. Tukesheni Tukiomba kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa.View attachment 3242014
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Soon kuna raia watabubujikwa na machozi 🤒Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga kuanzia Tarehe 23 mwezi huu wa Februari.
Ni ziara ya kihistoria kwa Rais Samia na Mama yetu Mpendwa,Ni ziara ambayo itamkumbusha mambo mengi sana Mama yetu,ni ziara ambayo itagusa hisia na pengine kumbubujisha machozi ya huzuni ndani ya moyo wake ,ni ziara ambayo itakuwa na msisimuko wa kipekee sana,ni ziara ambayo itakuwa tofauti kabisa na ziara zote ambazo amewahi kuzifanya ndani na nje ya Nchi yetu tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.
Kwa sababu Tanga ndio Mkoa ambao Mama yetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.alitakiwa kwa mamlaka aliyopewa kikatiba na kisheria kulitangazia Taifa letu na Dunia nzima kwa ujumla wake Kuwa kwa masikitiko Makubwa sana na huzuni na uchungu wa hali ya juu sana kuwa Rais Daktari John Pombe Joseph Magufuli Amefariki Dunia na Hatunaye tenaa.
Kwa hakika hii ilikuwa ni siku nzito sana na ya giza zito katika moyo na Kifua cha Mama yetu Kabla yetu watanzania kupewa Taarifa hizo muda ule wa saa tano usiku. Hata mimi mwenyewe nilipokuwa nikitazama video ya Mama yetu akitangaza jambo hilo zito niliona wazi namna Moyo wa Mama ulivyo elemewa na kujawa na majonzi ,huzuni ,maumivu,uchungu na machozi yasiyokatika katika moyo wake.
Ni ujasiri na ushupavu wa kiuongozi alionao na aliojaliwa na Mwenyezi Mungu ndio uliowezesha Mama kumaliza kusoma taarifa ya kulitangazia Taifa taarifa hiyo ya majonzi na masikitiko katika Historia ya Taifa letu ya kuondokewa na Rais aliyepo madarakani.
Kwa hiyo kurejea kwa Mama yetu Mpendwa kwa mara ya kwanza na kuingia ndani ya Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi . Kutamkumbusha Mambo Mengi sana na kile kilichotokea kabla ya kutoa taarifa rasmi na namna moyo na mwili wake vilivyokuwa,,atakumbuka hali aliyokuwa nayo alipopewa taarifa hizo,itamkumbusha namna alivyojihisi pengine hata kuishiwa nguvu mwilini kabla ya kutokea mbele ya Camera kulitangazia Taifa.
Kwa hakika kibinadamu bila shaka ilikuwa ni siku ngumu sana kwa Mama yetu katika Historia yake tangia kuzaliwa kwake, ilikuwa ni siku chungu na yenye kila aina ya maswali yaliyomzunguka kichwani mwake. Hususani juu ya mzigo na msalaba mzito wa kulitumikia na kuliongoza Taifa letu uliokuwa mabegani Mwake kikatiba na kisheria.
Bila shaka Rais wetu alikuwa anawaza mambo mengi sana na kumzunguka kichwani Mwake kuwa ni nini kinakwenda kutokea sasa? Anaanzia wapi? Anaanza na nini? Anaanza na kauli ipi baada ya kuapishwa? Anatoa hotuba ipi kuwaunganisha,kuwafuta machozi na kuwafariji Watanzania ilihali naye anabubujikwa na machozi .lakini yeye sasa kama kiongozi anatakiwa sasa awafute machozi watu,kuwapa matumaini na aongoze njia yenye Mwanga na yenye kuonyesha Matumaini .
Bila shaka yalikuwa ni maswali juu ya maswali juu ya nani na nani afanye nao kazi na nani akae wapi na nani abakie wapi na nani akae pembeni yake na nani amsaidie kwenye hili na lile na lile.
Yalikuwa ni maswali juu ya maswali yakimzunguka kichwani mwake juu ya kulivusha Taifa salama . Yalikuwa ni maswali juu ya nini cha haraka kifanyike na kutekelezwa kwa upesi.
Ndugu zangu Watanzania Ni mkoa ambao bila shaka hata hotuba ya kwanza ya Raisi wetu Mpendwa Mama Samia atakapotua ndani ya mkoa huo, itakuwa yenye msisimuko mkali sana na yenye kugusa hisia za wengi sana na itakayofuatiliwa Nchini kwote na ambayo itaacha alama katika mioyo ya mamilioni ya watanzania Nchini.
Ndio Maana nasema kuwa Ni ziara ambayo wewe mtanzania mwenzangu hupaswi kukosa kuifuatilia kupitia vyombo vya habari. Lakini kwa wana Tanga ni muhimu sana kumiminika na kufurika katika kumlaki na kumpokea shujaa wetu aliyelivusha Taifa katika nyakati zote ngumu .ambazo pengine wengine walifikiria pengine tusingeweza kuvuka au tungepasuka na kugawanyika Kama Taifa au Amani na utulivu wetu kuwa mwisho na kubakia historia.
Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.tuendeleee kujinyenyekeza mbele za Mungu kila uchao Kabla ya kulala na baada ya kuamka asubuhi kumuomba Mungu amlinde ,kumtetea na kumpigania Rais wetu. Tukesheni Tukiomba kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa.View attachment 3242014
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi marehemu mzee kibao aliyeuawa na ccm alikuwa mwenyeji wa mkoa gani vileNdugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga kuanzia Tarehe 23 mwezi huu wa Februari.
Ni ziara ya kihistoria kwa Rais Samia na Mama yetu Mpendwa,Ni ziara ambayo itamkumbusha mambo mengi sana Mama yetu,ni ziara ambayo itagusa hisia na pengine kumbubujisha machozi ya huzuni ndani ya moyo wake ,ni ziara ambayo itakuwa na msisimuko wa kipekee sana,ni ziara ambayo itakuwa tofauti kabisa na ziara zote ambazo amewahi kuzifanya ndani na nje ya Nchi yetu tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.
Kwa sababu Tanga ndio Mkoa ambao Mama yetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.alitakiwa kwa mamlaka aliyopewa kikatiba na kisheria kulitangazia Taifa letu na Dunia nzima kwa ujumla wake Kuwa kwa masikitiko Makubwa sana na huzuni na uchungu wa hali ya juu sana kuwa Rais Daktari John Pombe Joseph Magufuli Amefariki Dunia na Hatunaye tenaa.
Kwa hakika hii ilikuwa ni siku nzito sana na ya giza zito katika moyo na Kifua cha Mama yetu Kabla yetu watanzania kupewa Taarifa hizo muda ule wa saa tano usiku. Hata mimi mwenyewe nilipokuwa nikitazama video ya Mama yetu akitangaza jambo hilo zito niliona wazi namna Moyo wa Mama ulivyo elemewa na kujawa na majonzi ,huzuni ,maumivu,uchungu na machozi yasiyokatika katika moyo wake.
Ni ujasiri na ushupavu wa kiuongozi alionao na aliojaliwa na Mwenyezi Mungu ndio uliowezesha Mama kumaliza kusoma taarifa ya kulitangazia Taifa taarifa hiyo ya majonzi na masikitiko katika Historia ya Taifa letu ya kuondokewa na Rais aliyepo madarakani.
Kwa hiyo kurejea kwa Mama yetu Mpendwa kwa mara ya kwanza na kuingia ndani ya Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi . Kutamkumbusha Mambo Mengi sana na kile kilichotokea kabla ya kutoa taarifa rasmi na namna moyo na mwili wake vilivyokuwa,,atakumbuka hali aliyokuwa nayo alipopewa taarifa hizo,itamkumbusha namna alivyojihisi pengine hata kuishiwa nguvu mwilini kabla ya kutokea mbele ya Camera kulitangazia Taifa.
Kwa hakika kibinadamu bila shaka ilikuwa ni siku ngumu sana kwa Mama yetu katika Historia yake tangia kuzaliwa kwake, ilikuwa ni siku chungu na yenye kila aina ya maswali yaliyomzunguka kichwani mwake. Hususani juu ya mzigo na msalaba mzito wa kulitumikia na kuliongoza Taifa letu uliokuwa mabegani Mwake kikatiba na kisheria.
Bila shaka Rais wetu alikuwa anawaza mambo mengi sana na kumzunguka kichwani Mwake kuwa ni nini kinakwenda kutokea sasa? Anaanzia wapi? Anaanza na nini? Anaanza na kauli ipi baada ya kuapishwa? Anatoa hotuba ipi kuwaunganisha,kuwafuta machozi na kuwafariji Watanzania ilihali naye anabubujikwa na machozi .lakini yeye sasa kama kiongozi anatakiwa sasa awafute machozi watu,kuwapa matumaini na aongoze njia yenye Mwanga na yenye kuonyesha Matumaini .
Bila shaka yalikuwa ni maswali juu ya maswali juu ya nani na nani afanye nao kazi na nani akae wapi na nani abakie wapi na nani akae pembeni yake na nani amsaidie kwenye hili na lile na lile.
Yalikuwa ni maswali juu ya maswali yakimzunguka kichwani mwake juu ya kulivusha Taifa salama . Yalikuwa ni maswali juu ya nini cha haraka kifanyike na kutekelezwa kwa upesi.
Ndugu zangu Watanzania Ni mkoa ambao bila shaka hata hotuba ya kwanza ya Raisi wetu Mpendwa Mama Samia atakapotua ndani ya mkoa huo, itakuwa yenye msisimuko mkali sana na yenye kugusa hisia za wengi sana na itakayofuatiliwa Nchini kwote na ambayo itaacha alama katika mioyo ya mamilioni ya watanzania Nchini.
Ndio Maana nasema kuwa Ni ziara ambayo wewe mtanzania mwenzangu hupaswi kukosa kuifuatilia kupitia vyombo vya habari. Lakini kwa wana Tanga ni muhimu sana kumiminika na kufurika katika kumlaki na kumpokea shujaa wetu aliyelivusha Taifa katika nyakati zote ngumu .ambazo pengine wengine walifikiria pengine tusingeweza kuvuka au tungepasuka na kugawanyika Kama Taifa au Amani na utulivu wetu kuwa mwisho na kubakia historia.
Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.tuendeleee kujinyenyekeza mbele za Mungu kila uchao Kabla ya kulala na baada ya kuamka asubuhi kumuomba Mungu amlinde ,kumtetea na kumpigania Rais wetu. Tukesheni Tukiomba kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa.View attachment 3242014
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
TangaHivi marehemu mzee kibao aliyeuawa na ccm alikuwa mwenyeji wa mkoa gani vile
Mungu anaitwa Mungu . Na ni yule wa jana ,leo na hata Milele. Ndiye Alfa na omegaDuh, wewe Lucas, hayo majina unayompatia mh. Rais, mbona ni ya Mungu? Asee,angalia sana, maana hata madam president sidhani kama anayakubali.?
Ipo siku utakemewa. Dhihaka za namna hii huwa tunafanya Kwa wanetu wa chekechea.Ndugu zangu Watanzania,
Rais Wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi mkoani Tanga kuanzia Tarehe 23 mwezi huu wa Februari.
Ni ziara ya kihistoria kwa Rais Samia na Mama yetu Mpendwa,Ni ziara ambayo itamkumbusha mambo mengi sana Mama yetu,ni ziara ambayo itagusa hisia na pengine kumbubujisha machozi ya huzuni ndani ya moyo wake ,ni ziara ambayo itakuwa na msisimuko wa kipekee sana,ni ziara ambayo itakuwa tofauti kabisa na ziara zote ambazo amewahi kuzifanya ndani na nje ya Nchi yetu tangia alipoapishwa kuwa Rais wetu na Amiri Jeshi Mkuu wetu wa Majeshi ya ulinzi na usalama.
Kwa sababu Tanga ndio Mkoa ambao Mama yetu Mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.alitakiwa kwa mamlaka aliyopewa kikatiba na kisheria kulitangazia Taifa letu na Dunia nzima kwa ujumla wake Kuwa kwa masikitiko Makubwa sana na huzuni na uchungu wa hali ya juu sana kuwa Rais Daktari John Pombe Joseph Magufuli Amefariki Dunia na Hatunaye tenaa.
Kwa hakika hii ilikuwa ni siku nzito sana na ya giza zito katika moyo na Kifua cha Mama yetu Kabla yetu watanzania kupewa Taarifa hizo muda ule wa saa tano usiku. Hata mimi mwenyewe nilipokuwa nikitazama video ya Mama yetu akitangaza jambo hilo zito niliona wazi namna Moyo wa Mama ulivyo elemewa na kujawa na majonzi ,huzuni ,maumivu,uchungu na machozi yasiyokatika katika moyo wake.
Ni ujasiri na ushupavu wa kiuongozi alionao na aliojaliwa na Mwenyezi Mungu ndio uliowezesha Mama kumaliza kusoma taarifa ya kulitangazia Taifa taarifa hiyo ya majonzi na masikitiko katika Historia ya Taifa letu ya kuondokewa na Rais aliyepo madarakani.
Kwa hiyo kurejea kwa Mama yetu Mpendwa kwa mara ya kwanza na kuingia ndani ya Mkoa wa Tanga katika ziara yake ya kikazi . Kutamkumbusha Mambo Mengi sana na kile kilichotokea kabla ya kutoa taarifa rasmi na namna moyo na mwili wake vilivyokuwa,,atakumbuka hali aliyokuwa nayo alipopewa taarifa hizo,itamkumbusha namna alivyojihisi pengine hata kuishiwa nguvu mwilini kabla ya kutokea mbele ya Camera kulitangazia Taifa.
Kwa hakika kibinadamu bila shaka ilikuwa ni siku ngumu sana kwa Mama yetu katika Historia yake tangia kuzaliwa kwake, ilikuwa ni siku chungu na yenye kila aina ya maswali yaliyomzunguka kichwani mwake. Hususani juu ya mzigo na msalaba mzito wa kulitumikia na kuliongoza Taifa letu uliokuwa mabegani Mwake kikatiba na kisheria.
Bila shaka Rais wetu alikuwa anawaza mambo mengi sana na kumzunguka kichwani Mwake kuwa ni nini kinakwenda kutokea sasa? Anaanzia wapi? Anaanza na nini? Anaanza na kauli ipi baada ya kuapishwa? Anatoa hotuba ipi kuwaunganisha,kuwafuta machozi na kuwafariji Watanzania ilihali naye anabubujikwa na machozi .lakini yeye sasa kama kiongozi anatakiwa sasa awafute machozi watu,kuwapa matumaini na aongoze njia yenye Mwanga na yenye kuonyesha Matumaini .
Bila shaka yalikuwa ni maswali juu ya maswali juu ya nani na nani afanye nao kazi na nani akae wapi na nani abakie wapi na nani akae pembeni yake na nani amsaidie kwenye hili na lile na lile.
Yalikuwa ni maswali juu ya maswali yakimzunguka kichwani mwake juu ya kulivusha Taifa salama . Yalikuwa ni maswali juu ya nini cha haraka kifanyike na kutekelezwa kwa upesi.
Ndugu zangu Watanzania Ni mkoa ambao bila shaka hata hotuba ya kwanza ya Raisi wetu Mpendwa Mama Samia atakapotua ndani ya mkoa huo, itakuwa yenye msisimuko mkali sana na yenye kugusa hisia za wengi sana na itakayofuatiliwa Nchini kwote na ambayo itaacha alama katika mioyo ya mamilioni ya watanzania Nchini.
Ndio Maana nasema kuwa Ni ziara ambayo wewe mtanzania mwenzangu hupaswi kukosa kuifuatilia kupitia vyombo vya habari. Lakini kwa wana Tanga ni muhimu sana kumiminika na kufurika katika kumlaki na kumpokea shujaa wetu aliyelivusha Taifa katika nyakati zote ngumu .ambazo pengine wengine walifikiria pengine tusingeweza kuvuka au tungepasuka na kugawanyika Kama Taifa au Amani na utulivu wetu kuwa mwisho na kubakia historia.
Tuendelee kumuombea afya njema Rais wetu na nguvu za kuendelea kututumikia watanzania.tuendeleee kujinyenyekeza mbele za Mungu kila uchao Kabla ya kulala na baada ya kuamka asubuhi kumuomba Mungu amlinde ,kumtetea na kumpigania Rais wetu. Tukesheni Tukiomba kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa.View attachment 3242014
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja.Ipo siku utakemewa. Dhihaka za namna hii huwa tunafanya Kwa wanetu wa chekechea.