powercert_Tz
Member
- Jul 19, 2022
- 45
- 44
Bidhaa zipi hizo?
Ahsante! kikwete aliwai kusema ukitaka kula inabidi nawewe uliwe kidogo je wametula Nini kidogo baada ya sisi kutaka kula??πππBaada ya ziara ya Rais Samia nchini China, 98% ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda China zitaingia bila kutozwa ushuru. Hii itatoa fursa kubwa kibiashara kwa wakulima, wafugaji na wafanya biashara wetu kulisha soko jipya la China.
China inaidadi kubwa ya watu kuliko nchi zote duniani hivyo hii ni fursa kubwa sana kwa wafanya biashara wa Tanzania. #mamayukokazini
Wachina wanashika kandarasi nyingi sana za kujenga miundo mbinu ya uchukuzi hapa nchini, hivyo kuruhusu bidhaa zetu kuingia free kwenye nchi yao ni faretrade. Tanzania ni tajiri sana katika sekta ya kilimo hivyo wanalenga kupata mazo mengi ya chakula kutoka kwetu of which ni fursa kwa wakulima wetu.Ahsante! kikwete aliwai kusema ukitaka kula inabidi nawewe uliwe kidogo je wametula Nini kidogo baada ya sisi kutaka kula??πππ
Viema mkuuWachina wanashika kandarasi nyingi sana za kujenga miundo mbinu ya uchukuzi hapa nchini, hivyo kuruhusu bidhaa zetu kuingia free kwenye nchi yao ni faretrade. Tanzania ni tajiri sana katika sekta ya kilimo hivyo wanalenga kupata mazo mengi ya chakula kutoka kwetu of which ni fursa kwa wakulima wetu.
Tangu lini China ilikuwa ikikata kodi kwa pembe za ndovu na nyara zingine za Serikali zinazoingia nchini humo? Tusidanganyane!Baada ya ziara ya Rais Samia nchini China, 98% ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda China zitaingia bila kutozwa ushuru. Hii itatoa fursa kubwa kibiashara kwa wakulima, wafugaji na wafanya biashara wetu kulisha soko jipya la China.
China inaidadi kubwa ya watu kuliko nchi zote duniani hivyo hii ni fursa kubwa sana kwa wafanya biashara wa Tanzania. #mamayukokazini