powercert_Tz
Member
- Jul 19, 2022
- 45
- 44
Baada ya ziara ya Rais Samia nchini China, 98% ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda China zitaingia bila kutozwa ushuru. Hii itatoa fursa kubwa kibiashara kwa wakulima, wafugaji na wafanya biashara wetu kulisha soko jipya la China.
China inaidadi kubwa ya watu kuliko nchi zote duniani hivyo hii ni fursa kubwa sana kwa wafanya biashara wa Tanzania. #mamayukokazini
China inaidadi kubwa ya watu kuliko nchi zote duniani hivyo hii ni fursa kubwa sana kwa wafanya biashara wa Tanzania. #mamayukokazini