Nyamaza, wewe ni mweupe katika masuala hayaMama Samia anafungua Nchi kitu ambacho ni kizuri Watu wenye mawazo ya Ujamaa jinyongeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyamaza, wewe ni mweupe katika masuala hayaMama Samia anafungua Nchi kitu ambacho ni kizuri Watu wenye mawazo ya Ujamaa jinyongeni
Tunahitaji gesi kwa mambo mengi sana ni vile tu hata mitaala yetu ni ya ajabu haiwafunzi watoto kujua taifa lao lina rasilimali za aina ngapi na zina matumizi gani.....Kazi ya gesi si kupikia, kujaza Ac, pia kuna gari sasa hivi zinatumia gesi
Na wajinyonge maana hatuwezi kukaa na akiba ya gesi ambayo haina faida watu wanaakili gani?Mama Samia anafungua Nchi kitu ambacho ni kizuri Watu wenye mawazo ya Ujamaa jinyongeni
Isome hoja yake tena kwa kawaida ru utaona mantikiMama anachofanya anafungua uchumi wetu ambao ulikuwa umejifungia.hiyo gesi kwenda Kenya mleta mada unadhani inakwenda bure?
Tunaweza kuanza na mitungi tu halafu tushushe bei ya refilling ili supply na demand vikue kwa kasi wakati tunabadili kutoka mitundi kuingia mifumo ya pipes za gesi, hii itawezekana kabisa.Hii gas unayozungumzia wewe haitoki hapa kwetu bali inatoka nje, ili tuwe na gas iyo unayosema inabidi kuwe na kiwanda cha ku compress hii gas yetu into liquid ndiyo iwekwe kwenye mitungi, kupata kiwanda cha kufanya hivyo inabidi uwe na si chini ya $25bn au $30bn, huo mpango wa kujenga hicho kiwanda ndio unaendelea maana muwekezaji keshapatikana km ambavyo wanatuambia.
Sasa swali lng ni je ule mpango wa kutandaza mabomba kwa wananchi ili waweze kufaidika na gesi yao uliishia wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sindano tayari sio kwa povu hiliHilo liswahili lako limeshapigwa!
Chezea Kenyatta wewe!
He is a business-oriented politician, sio kama huyo kikongwe wa pwani.
Ndio maana wakenya wanamchekea usoni na kumzoza kisogoni maana wanajua wameshapata GOIGOI la kulichuna.
Acha upumbavu wewe.Sioni sababu ya kuzua gesi isiuzwe eti kwa ajili ya kulinda viwanda hii roho mbaya
Mapimbi haoNaona umeandika ujinga tu. Ni kama kusema timu fulani tusiwauzie mipira watafanya mazoezi halafu watatufunga. Kwanini una mpira usifanye na wewe mazoezi ushindane? Ukizima mshumaa wa jirani wako ndio utaongeza mwanga?
Gesi iko kwetu nani katukataza kutumia? Uvivu tu wa kufikiri na zile 60% alizosema asad ndio zinazotusumbua.
Tunaweza kufanya vizuri kuliko Kenya ila lazima tuondoe wajinga bungeni ndio tutapata mawaziri competent. Mnachagua wajinga wengi inabido rais achague mawaziri katikati ya wajinga.
Chapili kuwe na katiba inayowajibisha watu na hii inaanza na wewe sio kulialia chukua hatua sasa.
Watu wenye mentality za magufuli mtateseka awamu hii.mambo ya kujifungia ndani kuhusu maendeleo hayana nafasi tena mama anafanya vema tena kwa speed. Katoka Uganda tumesaini bomba la mafuta ,kaenda kenya tutauza gesi Kenya.nyie kufeni tu hamna faidaUnaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!
Monopolistik sijui manini nini!
Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.
Kashampiga bao Bibi SASHA.
Yeye ndio alivinyima?Kinacholalamikiwa ni viwanda vya ndani kunyimwa gesi halafu unaenda kumpa mtu wa nje, kwani ukatumia hata 1% tu ya ubongo wako, utapungukiwa na nini?
Tena uzoefu unatuambia bidhaa zinazozalishwa humu nchini zina bei kubwa kuliko vya njeSioni sababu ya kuzua gesi isiuzwe eti kwa ajili ya kulinda viwanda hii roho mbaya
Mkuu tuna akili za kichoyo na kimaskini zinazotutesa.Yeye ndio alivinyima?
Huu uoga uoga na kutokujiamini kutatuchelewesha ndugu zangu maendeleo yanakuja katika win win situation msiwe na hofu samia a a speed tulichelewa sanaa.Kwahili kweli tutamkumbuka JPM
Mama Samia asijilegeze kwa Wakenya, Hawa watu sio wazuri wanataka tuendelee kuwa soko la viwanda vyao ilihali products zingine tunaweza kuzitengeneza wwnyewe
Mama awe makini sana na aendelee kuwapiga pini kama JPM alivyofanya.
Shauri yetu Wadanganyika
Kwako wazuri ni akina nani? Usiwe mpumbavu nduguKwahili kweli tutamkumbuka JPM
Mama Samia asijilegeze kwa Wakenya, Hawa watu sio wazuri wanataka tuendelee kuwa soko la viwanda vyao ilihali products zingine tunaweza kuzitengeneza wwnyewe
Mama awe makini sana na aendelee kuwapiga pini kama JPM alivyofanya.
Shauri yetu Wadanganyika
Huwezi weka kiwanda ambako hakuna consumer lazima uuze malighafi la sivyo ujenge uanze kusafirisha kwenye masoko tena kitu ambacho ni ghali kwa biasharaNilisikia kwenye hotuba gesi huwa inasafirishwa kwa njia ya barabara kwenda kenya hivyo gharama inakuwa kubwa ndio maana wameomba bomba.
Kumbe biashara ilianza muda mrefu, kitakachobadirika ni jinsi ya kuisafirisha
Nawaomba mkaisikilize tena ile summury ya hotuba .
Tukumbuke Kenya imetuzidi uchumi kwa 80% .
Elfu 10000 ya Kenya more than100000 ya Tz.
Urusi huuza gesi ulaya na china ila hawana viwanda kama ulaya, Iran huuza gesi China ila hawana viwanda kama China.
Japan ilikuwa inatumia resource za mataifa mengine kuzakisha bidhaa na kuzirudisha bidhaa kuwauzia hao wenye material, Japan iliongoza viwanda bara Asia.
Makaa ya mawe ya Njombe yanasafirishwa hadi Nairobi lakini Njombe hakuna kiwanda chochote kinachotumia makaa ya mawe.