Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

Ziara ya Rais Samia nchini Kenya, Mama anakosea

Unaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!

Monopolistik sijui manini nini!

Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.

Kashampiga bao Bibi SASHA.
Usemavyo ni kweli kabisa, Uhuru Kenyatta mjanja sana, tena amefurahi kakubaliwa hoja zake kirahisi sana, yeye ndiye alipaswa afanye ziara nchini kwa mazungumzo kwa sababu yeye ndiye alikuwa muhitaji.
 
Kuna kiwanda cha Tiles Goodwill kipo hapo mkoa wa Pwani wilaya ya Mkuranga kata ya Nyamato kijiji cha Mkiu mbona kinatumia gas ya Mtwara.
 
Acha kudanganya watu,watanzania wengi tumekuwa masikini kwa sababu ya kutumia nishati duni kama mikaa na kuni. Leo hii umeme ni ghali kwa matumizi ya multpurporse ukija kwenye ges ndo balaa kabisa, laiti kama gesi ingesambazwa majumbani na viwandani tusengekuja hapa kulalamika.gesi ni ya kwetu,itutosheleze kwanza sisi wenye nayo ndo kisha tuitoe nje kama kama itatosheleza . Mfumo ni uleule hatukuwauzia mahindi wakenya kabla hatukujihakikishia kuwa tuna mahindi ya kutosha nchini.
Unadhani wanapenda kutumia mkaa?

Kwa sera za kisenge za kufukarisha wananchi za Jiwe nani angeweza kupata pesa ya kununua gas?

Uchumi wa watu unawekewa mazingira ndio maana mama anakomaa kujenga uchumi wa watu Ili wawe na purchasing power ya kufanya hayo ikiwemo kununua nishati salama.
 
Twendeni hivyo hivyo tu but AKIDI huwa zinatunzwa hata humu jf tunazitunza, siku ikifika tutazifukua makaburi.

Acha tuendelee hivi hivi the day has come 😁!.
 
Uliposema viwanda na gesi, nimekumbuka, Dangote alinyimwa gesi akaamua kutumia Makaa, wakamkatalia pia.

Bakhresa, akanyimwa gesi pale Mwandege.

Gesi ya serikali iliyobaki imesambazwa majumbani kwa staffs wa TPDC na Kinyerezi Tanesco.

Ngoja tuone viwanda vyetu hivi vya mikocheni(TPDC) na Kinyerezi vitakavyoshindana na vile vya urithi vya Kenya vitakavyozalisha kwa urahisi wa gesi yetu wenyewe.
Awamu ya ngapi hiyo ?
 
Jibu wewe uliifanyia nini? Au unafikiri yote tungetumia sisi bila kutafuta masoko??
Hoja nyepesi, viwanda si lazima viwe Dar tu, itengenezwe distribution network kwa nchi nzima halafu ndio lije swali la ULIIFANYIA NINI.

Peleka bomba magharibi watu wakatumie chillers kuhifadhi samaki, peleka kaskazini na kusini, weka provision kila mkoa, fanya makadirio ya matumizi yake, kisha tuambie tunao uwezo wa kuuza kwa nchi jirani baada ya kukidhi mahitaji yetu.

Kuna watu walitaka wazalishe umeme, serikali iwajengee transmission line ya kuupeleka umeme huo Kenya kwa mauzo, hiyo ni miaka 8 nyuma, na mwenye akili hiyo ni mtanzania kiongozi.
 
Nilisikia kwenye hotuba gesi huwa inasafirishwa kwa njia ya barabara kwenda kenya hivyo gharama inakuwa kubwa ndio maana wameomba bomba.
Kumbe biashara ilianza muda mrefu, kitakachobadirika ni jinsi ya kuisafirisha
Nawaomba mkaisikilize tena ile summury ya hotuba .
Tukumbuke Kenya imetuzidi uchumi kwa 80% .
Elfu 10000 ya Kenya more than100000 ya Tz.
Urusi huuza gesi ulaya na china ila hawana viwanda kama ulaya, Iran huuza gesi China ila hawana viwanda kama China.
Japan ilikuwa inatumia resource za mataifa mengine kuzakisha bidhaa na kuzirudisha bidhaa kuwauzia hao wenye material, Japan iliongoza viwanda bara Asia.
Makaa ya mawe ya Njombe yanasafirishwa hadi Nairobi lakini Njombe hakuna kiwanda chochote kinachotumia makaa ya mawe.
Urusi wanauza gesi nje kwa sababu wanayo ya ziada, kila mwananchi urusi na viwanda vyao wqnatumia gesi wakati huku sisi wenyewe hatutumii gesi sanasana imewekwa kwenye nyumba za wqfanyakazi wa TPDC
 
Siasa za ki magufuli za kishamba zilishapitwa na wakati huu sio muda wake, haya miaka yote hiyo alifanya figisu nini cha maana alikipata?waulize wakulima wa mikoa ya kaskazini nini kiliwapata baada ya mazao yao kukuosa soko, kisa wakenya hawaji kuyanunua!!nchi ya tano duniani kwa kuwekeza Tz, badala ya kuweka mikakati ili uone na wewe unatoka vipi, unawaza kumkwamisha!!sasa rafiki yako awe burundi kuna faida gani hapo?
Mama hana mawazo hayo ya kizamani, hivyo ndio maana umeona heshima aliyopewa, mtu ameajiri watu 50, 000 nchini kwako bado, unamuona tishio?
Kwani wakenya wqkinunua mazao wanatumia wao, maparachichi wanauza ulaya, mahindi wanauza Sudan kusini
 
UZI WA VILAZA HUU,WENYE POOR I.Q SHOULD BE IGNORED....!
*GES ITAUZWA KENYA
*UMEME TUTAUZA KENYA
*MAMA AMESISITIZA UJAZO WA KIBIASHARA
BAINA YA NCHI ZETU.
*KUONDOA MAKWAZO MIPAKANI
*KODI ZA MIPAKANI KUANGALIWA UPYA
*KAMATI ZA BIASHARA KUKUTANA MARA KWA MARA
*TWENDENI TUKAWEKEZE KENYA,SIONI UBAYA MOJA YA BANK ZETU KUFUNGUA TAWI KENYA KURAHISISHA BIASHARA ZA WATANZANIA KENYA KAMA WAO NA KCB YAO HAPA.A
Wewe usha wekeza huko? Au uko una implement Idea ya wanaume wenzako then unasema twende tukawekeze kenya
 
Kazi ya gesi si kupikia, kujaza Ac, pia kuna gari sasa hivi zinatumia gesi
Urusi wanauza gesi ulaya nzima na wanawauzia mpaka waliowazidi warusi kiuchumi ina maana waache kuwauzia halafu wakae nayo kwa faida gani.? Hayo mawazo ya kichoyo yanaonyesha tabia yako. Unakuta mtu anakataa kukodishia mwingine shamba kisha mwaka jana alivuna mazao mengi kuliko yeye na analiacha shamba linalala na kutengeneza msitu.
 
Kwa hiyo bidhaa zinazotoka nje kuja Tanzania huko nazo zimezalishwa za ziada ndio zimekuja huku kwetu Japan inaongoza kwa kuuza magari nje ya Nchi ila wapo wajep kibao tuu wapo na baiskel zao hawataki hata kujua kuhusu Raum ungekua wewe magari yauzwe Afrika na wewe hauna ungeandamana...
 
Kinacholalamikiwa ni viwanda vya ndani kunyimwa gesi halafu unaenda kumpa mtu wa nje, kwani ukatumia hata 1% tu ya ubongo wako, utapungukiwa na nini?
Kiwanda gani kimenyimwa gesi au unajisemea vitu usivyovijua??
 
Kwa taarifa yako gas tuliyonayo ni nyingi sana inakadiriwa kutumika kwa takribani miaaka miatano acheni roho mbaya za mwendazake kila alichokifanya yeye ndiyo kilionekana kizuri
Shida sio kuuza nje..Tunauza nje kwa faida ipi je sisi wenyewe imetutosheleza kwanza?
Kama uwekejazi wa gas ulitokana na kodi za watanzania basi watanzania hao hao kwanza ndio wafaidike na kodi zao..
Tuuze gas baada ya sisi kuwa imetutosheleza kile kinachozidi (surplus)ndio kiuuzwe..
Viwanda vyetu wenyewe vinahitaji gas lakini gas hiyo hiyo hawapewi..inakuwaje unakwenda kumpa jirani yako!..
 
Shida sio kuuza nje..Tunauza nje kwa faida ipi je sisi wenyewe imetutosheleza kwanza?
Kama uwekejazi wa gas ulitokana na kodi za watanzania basi watanzania hao hao kwanza ndio wafaidike na kodi zao..
Tuuze gas baada ya sisi kuwa imetutosheleza kile kinachozidi (surplus)ndio kiuuzwe..
Viwanda vyetu wenyewe vinahitaji gas lakini gas hiyo hiyo hawapewi..inakuwaje unakwenda kumpa jirani yako!..
Kama kuuza nje kutaingiza fedha za kigeni na kuleta faida zaidi kwanini isiuzwe nje, mi nashauri ipelekwe tu hata Israel
 
Wabongo tuache woga na maneno mengi, tufanye kazi kwa bidii, Kumnyima mwenzako rasilimali ambayo wewe huwezi itumia yote kwa hofu kwamba atakupiga gape ni akili za kimaskini.

Kama hiyo gasi tinashindwa kuitumia kwenye viwanda umesema bei ni juu bora uuze kuliko ikae tuu.

Sera yetu ya viwanda no sanaa tu ipo kwenye makaratasi tu hatujawahi kuwa serious.
 
Back
Top Bottom