Siasa za ki magufuli za kishamba zilishapitwa na wakati huu sio muda wake, haya miaka yote hiyo alifanya figisu nini cha maana alikipata?waulize wakulima wa mikoa ya kaskazini nini kiliwapata baada ya mazao yao kukuosa soko, kisa wakenya hawaji kuyanunua!!nchi ya tano duniani kwa kuwekeza Tz, badala ya kuweka mikakati ili uone na wewe unatoka vipi, unawaza kumkwamisha!!sasa rafiki yako awe burundi kuna faida gani hapo?
Mama hana mawazo hayo ya kizamani, hivyo ndio maana umeona heshima aliyopewa, mtu ameajiri watu 50, 000 nchini kwako bado, unamuona tishio?