Hoja nyepesi, viwanda si lazima viwe Dar tu, itengenezwe distribution network kwa nchi nzima halafu ndio lije swali la ULIIFANYIA NINI.
Peleka bomba magharibi watu wakatumie chillers kuhifadhi samaki, peleka kaskazini na kusini, weka provision kila mkoa, fanya makadirio ya matumizi yake, kisha tuambie tunao uwezo wa kuuza kwa nchi jirani baada ya kukidhi mahitaji yetu.
Kuna watu walitaka wazalishe umeme, serikali iwajengee transmission line ya kuupeleka umeme huo Kenya kwa mauzo, hiyo ni miaka 8 nyuma, na mwenye akili hiyo ni mtanzania kiongozi.