Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,672
- 9,806
Wewe mwenye roho nzuri kahubiri dini..mambo ya uchumi waachie wenyewe.Sioni sababu ya kuzua gesi isiuzwe eti kwa ajili ya kulinda viwanda hii roho mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenye roho nzuri kahubiri dini..mambo ya uchumi waachie wenyewe.Sioni sababu ya kuzua gesi isiuzwe eti kwa ajili ya kulinda viwanda hii roho mbaya
Hakuna alienyimwa, hata Dangote kapewa mbona, 😂😂Kiwanda gani kimenyimwa gesi au unajisemea vitu usivyovijua??
Hakuna alienyimwa, hata Dangote alipeww kwa ushirikiano wote, bila vikwazo vyovyote vile 😂😂😂Unauza nje unataka $ sio Tsh. Viwanda gani vilinyimwa na kwa sababu zipi lazima tuwe specific sio kuongelea kiujumla tu.
Wewe usha wekeza huko? Au uko una implement Idea ya wanaume wenzako then unasema twende tukawekeze kenya
NIMEWEKAZA GARAGE NAIROBI KARIBUNI KENYA MNAITAJI TOYOTA STOUT?Wewe usha wekeza huko? Au uko una implement Idea ya wanaume wenzako then unasema twende tukawekeze kenya
Hata TBL wanatumia gas katika uzalishaji wa kilaji chetu pendwaKuna kiwanda cha Tiles Goodwill kipo hapo mkoa wa Pwani wilaya ya Mkuranga kata ya Nyamato kijiji cha Mkiu mbona kinatumia gas ya Mtwara.
Ndiyo maana nimesema tuna viongozi wasiokuwa na maono.Tanzania iko mikono salama chini ya SSH. Ila Wasukuma wengi mulimezeshwa propaganda mbovu na mungu wenu Magufuli, hili litawasumbua Sana.
Mbona korosho tunalima Sana lakini tunakula 5% tu na nyingine zote wananunua akina Olam na Mohamed Enterprise s na kwenda kuzichakata na kuziuza Korea.
Kuna nadharia ya Adam Smith kwenye kitabu cha Wealth of Nations ya comparative advantage ndiyo inatawala biashara.
Hivi mume wake hana mamlaka ya kushauri vitu hivi akaepuka kuiweka Tanzania Mahal si sahihi?Unaandika vizungu viiingiii ushuzi mtupu!
Monopolistik sijui manini nini!
Uhuru Kenyatta ni mjanja wa mjini yule.
Kashampiga bao Bibi SASHA.
Hakuna mtu anayepinga Gesi kuuzwa nje ya nchi, ila swali tunalojiuliza ni Je, viwanda vyetu vimepewa Gesi hiyo? Na kama havijapewa ni kwanini?Thread ya kiwaki kuwahi tokea
Hivi nyie nyumbu mnajua maana ya biashara kimataifa?..