Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, Februari 13, 2024

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya mapokezi yake katika Kasri la Kifalme, Oslo nchini Norway tarehe 13 Februari, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo kwa ajili ya ziara ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kukabidhiana zawadi katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme, Norway wakati wa ziara yake ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.
 
Habari picha zikimuonesha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme lililoko jijini Oslo Februari 13.2024









 

State visit of Tanzanian President Samia Suluhu Hassan to Norway​

byHelen-February 13, 20241 Comments


President of the United Republic of Tanzania, Samia Suluhu Hassan is making a State visit to Norway on February 13 and 14 at the invitation the King and Queen. The visit is made on the occasion of the 60th anniversary of the establishment of diplomatic relations between the two countries and is the first Tanzanian state visit to Norway since 1976.


On February 13, King Harald and Queen Sonja received President Samia Suluhu Hassan after a welcoming ceremony held at the Palace Square in Oslo. Crown Prince Haakon, Crown Princess Mette-Marit and Princess Astrid were also present at the welcoming ceremony. In the evening of February 13, King Harald and Queen Sonja will hold a gala dinner at the Royal Palace in honour of President Samia Suluhu Hassan.



 
Enyi wazungu kwa huyu pigeni muwezavyo. Yupo hapa kuwanufaisha nyinyi na si Watanzania. Kafanya ziara nyingi kwenu kuliko hata ndani ya nchi.
 

The Oslo Energy Forum 2024​

Wednesday 14. February​


Creating Action for Transformational Change – business and political views
Opening session by
  • Jonas Gahr Støre, Prime Minister, Norway
  • Samia Suluhu Hassan, President, Tanzania
  • John Kerry, Special Presidential Envoy for Climate, USA
  • Anders Opedal, Chair OEF / President & CEO of Equinor
Moderated by Siri Lill Mannes

Oslo Energy Forum connects leaders in global energy-related industry and other businesses with representatives from authorities, regulators and institutions influencing the companies’ framework conditions and opportunities.

Through open and trust-based discussions, the Forum creates a basis for companies and authorities to develop solutions that in various ways contribute to the development of a sustainable low-carbon society.

The Oslo Energy Forum is the meeting place speakers and participants want to return to, because it inspires and offers learning and opportunities for networking, as well as it creates business opportunities with real value for their daily work.

Read more : OEF 2024: ACTION FOR TRANSFORMATIONAL CHANGE – Oslo Forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…