Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, Februari 13, 2024

Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, Februari 13, 2024

View attachment 2902967
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902968
View attachment 2902970
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya mapokezi yake katika Kasri la Kifalme, Oslo nchini Norway tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902976
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo kwa ajili ya ziara ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902978
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kukabidhiana zawadi katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902979
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme, Norway wakati wa ziara yake ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902980
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.​


yule jamaa msukuma alijifanya hataki kutembea kujifunza kwa wengini akaishia kaburini kabla ya siku zake.daah.maisha bana
 
Viongozi wote wanaalikwa....hata ma dictator waliokubuhu....huyu wetu kazidi kijitembeza....ushamba ni mzigo sana
JPM sijui alikuwa ana mkosi gani, alikuwa haalikwi kabisa daniani
 
13 February 2024
Oslo, Norway

DIPLOMASIA YA UCHUMI, ZIARA YA RAIS SAMIA HASSAN NCHINI NORWAY

Rais aongozana na wafanyabishara zaidi ya 50 katika ziara yake Norway ili kuongoza fursa za kibiashara na kiuchumi kupitia ushirikiano


View: https://m.youtube.com/watch?v=EZylCpjjSrk

Rais Samia Hassan na mwana wa mfalme wa Norway watahudhuria Kongamano la Biashara linalohudhuriwa na wafanyabishara wa Norway na wenzao zaidi ya 50 kutoka Tanzania linafanyika Næringslivets Hus jijini Oslo Norway leo.
 
View attachment 2902967
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902968
View attachment 2902970
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya mapokezi yake katika Kasri la Kifalme, Oslo nchini Norway tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902976
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo kwa ajili ya ziara ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902978
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kukabidhiana zawadi katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902979
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme, Norway wakati wa ziara yake ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902980
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.​
Mheshimiwa sana Rais SSH je unajifunza nini kwenye hizo nchi za wenzetu na pia ukilitizama jeshi lao na la kwako umejifunza nini!

Kate ulikopita kuko vizuri na kiheshimq kwako umefuga wapigaji kila kona nchi ni ngumu mno hii! Huhitaji 5 tena wanakudanganya tuuh.
 

State visit of Tanzanian President Samia Suluhu Hassan to Norway​

byHelen-February 13, 20241 Comments

Crown Princess Mette-Marit wore a green floral print silk dress by H&M Conscious Exclusive. Queen Sonja and Princess Astrid
President of the United Republic of Tanzania, Samia Suluhu Hassan is making a State visit to Norway on February 13 and 14 at the invitation the King and Queen. The visit is made on the occasion of the 60th anniversary of the establishment of diplomatic relations between the two countries and is the first Tanzanian state visit to Norway since 1976.
Crown Princess Mette-Marit wore a green floral print silk dress by H&M Conscious Exclusive. Queen Sonja and Princess Astrid

On February 13, King Harald and Queen Sonja received President Samia Suluhu Hassan after a welcoming ceremony held at the Palace Square in Oslo. Crown Prince Haakon, Crown Princess Mette-Marit and Princess Astrid were also present at the welcoming ceremony. In the evening of February 13, King Harald and Queen Sonja will hold a gala dinner at the Royal Palace in honour of President Samia Suluhu Hassan.
Crown Princess Mette-Marit wore a green floral print silk dress by H&M Conscious Exclusive. Queen Sonja and Princess Astrid
Crown Princess Mette-Marit wore a green floral print silk dress by H&M Conscious Exclusive. Queen Sonja and Princess Astrid
Crown Princess Mette-Marit wore a green floral print silk dress by H&M Conscious Exclusive. Queen Sonja and Princess Astrid
Crown Princess Mette-Marit wore a green floral print silk dress by H&M Conscious Exclusive. Queen Sonja and Princess Astrid
STATE na mtoe mrejesho wa kundi analosafiri nalo gharama hizi zinaifaidisha vipi nchi hii ya maziwa na mtindi.
 
View attachment 2902967
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902968
View attachment 2902970
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya mapokezi yake katika Kasri la Kifalme, Oslo nchini Norway tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902976
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo kwa ajili ya ziara ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902978
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kukabidhiana zawadi katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902979
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme, Norway wakati wa ziara yake ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902980
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.​
Yupo vizuri kwenye hizi ziara sio kuenda Nyakapanya au Tandahima kusikiliza matatizo ya wananchi kama umeme, maji, bei za daladala, chakula, matatizo ya ardhi, halmashauri, mahakama.

Angekuwa anapenda kusikiliza matatizo ya wananchi kama anavyopenda ziara za nje, red carpet, holiday tungepata watendaji bora, umeme, maji, angesikilliza shida za wananchi kama mfumuko wa bei.
 
Tazama mapokezi ya Rais Samia huko Norway,ni zaidi ya heshima.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C3SuhXUtjvI/?igsh=NWpoOXFkNTd0cDho

Swali.
Wale wanaosemaga Ulaya hakuna msafara wa Magari mengi ya Viongozi Huwa wanamdanganya nani?

View: https://www.instagram.com/reel/C3Se67KqP69/?igsh=MTdqOHd4dW9xZGxldg==


View: https://www.instagram.com/p/C3UWuHTKXXt/?igsh=aHAzdXFicnV6bDhl
-2116173413.jpg
 
Umelenga mulemule, hao wa Norway wanafukuzia mradi wa gesi ya LNG plant huko kusini Mtwara na Lindi kwenye bahari. Wana kampuni ya Equinor iko inataka gesi. Lazima wampokee ili Mradi wa gesi ufufuke. Magu aliukataa huo mradi kabisa 🤣🤣
Sio wanafukuzia ndio waliogindua hiyo gas.

Wewe hata ukiachiwa kipi Cha maana unaweza fanya kwenye hiyo gas?

Bila mzungu wewe mtu mweusi Kuna Madini yeyote unayajua au Imewahi gundua? Unalo soko? Una takenojia? Una pesa? 🤣🤣🤣🤣
 
Mbona ya kawaida tu kwa mkuu yoyote wa nchi,hata kama mkimchagua Gigy Money kuwa rais akienda huko angepata mapokezi kama hayo
 
Tazama mapokezi ya Rais Samia huko Norway,ni zaidi ya heshima.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C3SuhXUtjvI/?igsh=NWpoOXFkNTd0cDho

Swali.
Wale wanaosemaga Ulaya hakuna msafara wa Magari mengi ya Viongozi Huwa wanamdanganya nani?

View: https://www.instagram.com/reel/C3Se67KqP69/?igsh=MTdqOHd4dW9xZGxldg==

Kinachosemwa ni viongozi wa huko katika maisha yao ya kila siku hawana misafara, wewe unadhani kila siku huwa wanambeba Samia!
Chawa ni wadudu wajinga sana kwani maisha yake anategemea mwili wako, lakini mwili huohuo anauuma bila kujua kwa kufanya hivyo naye utamuua!
 
Back
Top Bottom