Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Mfalme yupo na Malikia , yeye yupo Pekee yake. Protocol ina semaje hapo .View attachment 2902967
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902968
View attachment 2902970
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya mapokezi yake katika Kasri la Kifalme, Oslo nchini Norway tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902976
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mfalme Harald V wa Norway pamoja na Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo kwa ajili ya ziara ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902978
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Mfalme Harald V wa Norway mara baada ya kukabidhiana zawadi katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902979
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akimpa zawadi Malkia Sonja mara baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme, Norway wakati wa ziara yake ya Kitaifa, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902980
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akikagua Gwaride la Heshima kabla ya kuweka shada la maua katika Mnara wa Kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.
View attachment 2902981
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika mnara wa kumbukumbu wa Taifa, Oslo nchini Norway, tarehe 13 Februari, 2024.
kiufupi wapinzani huwa hamueleweki mnataka nini, Magu alipokuwa haendi ulaya mkamsema vibaya, huyu anaenda mnamasema vibaya, Mnaboa Sana, hamna hoja, mnaishi Kwa matukio Tu.Afu anapiga sana misele huyu mama si atulie nyumbani uku.
OSLO ENERGY FORUM 2024The Oslo Energy Forum 2024
Wednesday 14. February
Creating Action for Transformational Change – business and political views
Opening session by
- Jonas Gahr Støre, Prime Minister, Norway
- Samia Suluhu Hassan, President, Tanzania
- John Kerry, Special Presidential Envoy for Climate, USA
- Anders Opedal, Chair OEF / President & CEO of Equinor
Na Bado hakukuwa na shukrani.Kitu magufuli alikosa ni hiyo raha ya uraisi
Sukari ni mbaya inaua, kwa kifupi ni balaa.Mshaambiwa acheni matumizi ya Sukari.
Ndio maana aliwanyoosha….😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kiufupi wapinzani huwa hamueleweki mnataka nini, Magu alipokuwa haendi ulaya mkamsema vibaya, huyu anaenda mnamasema vibaya, Mnaboa Sana, hamna hoja, mnaishi Kwa matukio Tu.