Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, Februari 13, 2024

Ziara ya Rais Samia Nchini Norway baada ya kuwasili katika Kasri la Kifalme Jijini Oslo, Februari 13, 2024

Tazama mapokezi ya Rais Samia huko Norway,ni zaidi ya heshima.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C3SuhXUtjvI/?igsh=NWpoOXFkNTd0cDho

Swali.
Wale wanaosemaga Ulaya hakuna msafara wa Magari mengi ya Viongozi Huwa wanamdanganya nani?

View: https://www.instagram.com/reel/C3Se67KqP69/?igsh=MTdqOHd4dW9xZGxldg==

Happy ndo mtu mweusi huuzwa!! Ni kama waliopewa goroli wakagawa maeneo. Hapo unaona umepata sana sio? Hakika ngozi nyeusi evolution yetu haijakamilika!
 
Shajara ya ziara hii muhimu :

13.02.2024

A Norwegian - Tanzanian Business Forum

State visit from Tanzania: His Royal Highness The Crown Prince and Her Excellency President Samia Suluhu Hassan visit a Norwegian – Tanzanian Business Forum at Næringslivets Hus in Oslo (16:00).

14.02.2024

Klimahuset​

State visit from Tanzania: His Royal Highness The Crown Prince and Her Excellency President Samia Suluhu Hassan attend the seminar “Tanzania-Norway collaboration on Climate and Food Security” at Klimahuset in Oslo (15:00).

Klimahuset

Oslo, Norway
A new museum for climate change is being established in Norway under the umbrella of Oslo University Natural History Museum: The Climate House. A cross-disciplinary team made up of scientists, science communicators, architects, exhibition designers, and interactive exhibit designers were given this task. Our challenge was to create enthusiasm for the climate challenge amongst the youths of Norway. This museum should be the center for scientific proof of climate change, a space engendering debate on the best ways to combat climate change and be a catalyst for change
 
Watu hawana umeme waangalie kwa Koroboi ?!!!

Ndio haya haya kuwa out of touch Marie-Antoinette's inasemekana huko France alivyoambiwa wananchi wanalalamika hawana mkate akasema waambie wale keki - Let them eat Cake....
 
wakati mama yupo Oslo anakula kuku
hali ya Mvuti iko namna hii hapa
 

Attachments

  • DSC_0001.JPG
    DSC_0001.JPG
    97.1 KB · Views: 2
Happy ndo mtu mweusi huuzwa!! Ni kama waliopewa goroli wakagawa maeneo. Hapo unaona umepata sana sio? Hakika ngozi nyeusi evolution yetu haijakamilika!
Umelenga mulemule, hao wa Norway wanafukuzia mradi wa gesi ya LNG plant huko kusini Mtwara na Lindi kwenye bahari. Wana kampuni ya Equinor iko inataka gesi. Lazima wampokee ili Mradi wa gesi ufufuke. Magu aliukataa huo mradi kabisa 🤣🤣
 
Mazingira ya Mikataba, Sera za kiuchumi ktk killimo na nishati , pia mahusiano kati ya Uongozi na uwekezaji za Tanzania zachambuliwa kwa undani

Tanzania - An East African Success Story ?
Key trend stories, In feb 2024 H.E President Samia Sukuhu Hassan will be hosting a business forum in Oslo Norway. Main discussion, why Tanzania is now more attractive to investors than before 2021? Also importantly the Gas LNG, Host Government Agreement HGA issues

View: https://m.youtube.com/watch?v=sbKXI4knhWY

On this episode of NABA Perspectives we discuss what's driving growth in Tanzania, how it can tackled economic headwinds, and why the country should be on the radar for investors. Our guests are Razia Khan, Head of Research for Africa, Middle East at Standard Chartered, and Sarah Baynton-Glen, Economist with Standard Chartered.
Source : Norwegian-African Business Association
 
Wanakupa heshima, wanakufungulia kiwanda cha kuku wa broiler nchini kwako ili mapunga yazaliwe kwa wingi kisha wanachukua gas na wananchi wako wanaendelea kutumia kuni na mkaa miaka nenda rudi na hapo nchi yako inageuka jangwa na kuwa gizani sababu hakuna umeme. Wanachukua madini yote na wananchi wanabaki kuamini kuwa hayo madini yanatumika kutengenezea vito vya thamani. Wananchi wanaendelea kutaabika kuhusu vyanzo vya maji huku nchi yako ikiwa na mito na maziwa mwishowe wanapata magonjwa ya mlipuko.
Baada ya hapo unarudi tena kwao wanakupa heshima ile ile km ya mwanzo; awamu hii unaenda kuomba msaada wakusaidie kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi, wasaidie nchi yako kupambana na malaria ba umasikini, na mwisho kabisa unachukua mkopo wa kukabiliana na mdororo wa nishati ambao utalipwa vizazi na vizazi na hizo hela unawapa Tanesco wanazitia mifukoni.
Nchi ngumu sana hii.
 
Back
Top Bottom