Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
Hili ndilo jibu sahihi kabisa[emoji818][emoji818][emoji818]Hukusikia kauli ya Rais mwaka Jana hataki kuona bango la Kero Kwa Wananchi ilhali iyo sehemu ina mkuu WA wilaya ,mkuu WA mkoa.Na ikitokea ivo hawana KAZI,so yaweza kuwa Wananchi wanapigwa bt na hao wateule
Sio kwamba habebi watu kwa malori na kulazimisha shule na wanafunzi kuhudhuria?Huyu hana mvuto wa urais kabsa na watu wanajua hawez kuwasaidia ndo maana hata watu hawajai,
Kazi za mbunge na Madiwani ni zipi hasa?Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
Siku hizi ni kama tuko Kanisani/Msikitini. Ni mahubiri kisha tunasifu na kuabudu ibada imekwisha.Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818