Bwashe kwani hapo ni Tukuyu hadi Bujibuji Simba Nyamaume aonekane?Namuona Bujibuji hapo yuko kiupole zaidi
Kwani ujui kuwa samia anajua kero kuu ya watz wote ni yeye SAMIA, ndiyo maana hataki keroWandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
[emoji1787][emoji28][emoji1787][emoji1787]‘Hili nalo muende mkaliangalie’
Wandugu nawashangaa hawa wananchi wanaotembelewa na Raisi Samia siwasikii wakieleza kero zao wamesimama tu kama makatuni flani hivi,hawajielewi au wametishwa.View attachment 2316818
Ile hotuba wakati wa uzinduzi wa barabara ya Chunya makongorosi watu walikua wamekaa kimya wanasubiri kusikia jambo flani hivi yaani ukiwatazama sura zao utawaelewa.