Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Mheshimiwa umebarikiwa shape
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dkt.Upm nani tena lo🤨🤔??
Utakuta anatembeza ban kama kichaa..Mh hongera Kwa kazi nzuri unayofanya!
Mama huyo binti aliesimama jirani yako(picha number tatu) ana nusu ya Moyo wangu na nusu iliyobaki kwangu yote inampenda yeye
Uyo ashawahia kakaHongera sana Mama Dkt. Gwajima D kwa kazi nzuri
Ila Mama hukufanikiwa kuchukua namba za huyo mdada pembeni yako kwenye picha mliyosimama??
Kama unayo naomba unitumie au umwambie msaidizi wako afanye hivyo. PM yangu iko wazi Mama
Hunaubaya mama Yetu Allah akupee neema yake utukumbukee kina pdidy hukombelen ammen
Wasalaam Wanajukwaa wenzangu.
Mapema tarehe 12 Julai, 2024 nimetembelea Ofisi za Jamii Forums kama mojawapo ya taasisi inayojihusisha na habari za kijamii. Lengo la ziara ni kuweza kufahamu shughuli za taasisi hii na kuona namna ya kushirikiana Ili kupanua wigo wa kuifikia jamii kidigitali.
Kama Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, tumejadiliana kuhusu umuhimu wa kushirikiana kwenye mada za kuifikia jamii katika masuala mbalimbali ya maendeleo na ustawi wa jamii kwa ujumla na hususan, kupambana kutokomeza ukatili wa kijinsia na kwa watoto.
Kama mwanachama hai wa JF na aliyethibitishwa, niko tayari kuendelea kupokea mawazo na changamoto kutoka kwa wananchi kupitia mitandao ya kidigitali ambayo kimsingi inarahisisha sana mawasiliano na wananchi.
Hivyo, nawakaribisha nyote kunitumia mawazo mbalimbali na changamoto kwani, ushirikiano wa jamii ni muhimu kwa maendeleo.
Ahsante sana Mkurugenzi wa JamiiForums Maxence Melo (ninayesalimiana naye) na timu yako yote🤝
Mungu awabariki 🤝🇹🇿 na awabariki wanajukwaa wote🤝
Na mvua hii npo tayar Kwa lolote kutoka kwakeUtakuta anatembeza ban kama kichaa..
Nataka unifanyie surgery uniweke curve kama ya mheshimiwa
Wewe punguza tumbo tu.Nataka unifanyie surgery uniweke curve kama ya mheshimiwa
Mkuu, hapo umemtambua member gani wa JF wa kike ambaye anapenda kushinda MMU 😃😃😃😃😃Sema hii bonge moja la picha..
View attachment 3040641
Kama kwenye hii picha Active upo, Jumapili mnapigwa na Spain. Shahidi Greatest Of All Time na Dr Restart
Yatajipaje wakati nyuma nimepigwa pasiWewe punguza tumbo tu.
Mengine yatajipa.
Sasa huna helaYatajipaje wakati nyuma nimepigwa pasi