Ziara yangu ofisi za JamiiForums

Mheshimiwa Dkt. Gwajima D shikamoo... nimechoka sana baada ya kuona mtaala mpya wa elimu yetu hakuna somo la saikolojia! Hivi Saikolojia watu wanaichukuliaje Kwa mfano!? Hivi kama serikali imeweza kuanzisha michepuo ya masomo ya dini, inashindwa nini kuanzisha na michepuo ya masomo ya Saikolojia!?....

Binafsi naona Somo la Saikolojia liwe la lazima kuanzia kidato Cha kwanza Hadi kidato Cha nne...Saikolojia inatibu akili, dini/Imani inaponya roho na chakula kinatibu mwili ....tusichanganye hivi vitu! Changamoto ya afya ya akili yaweza kumpata Mtu yeyote na hasa asipokuwa na maarifa ya elimu ya Saikolojia na utambuzi.....Dini haiwezi kuchukua nafasi ya Saikolojia na ingekuwa hivyo basi tusingeona vituko Kwa baadhi ya watumishi wa Mungu. Chonde Chonde tunaangamia Kwa kukosa maarifa......
 
Huna baya mama ngoja nimalize kula nikupe kero yangu
 
Uko serious sana mkuu punguza kidogo
 
Maza,
Mh Nawanda kazingua halafu Side akataka kuua soo, naomba simamia haki itendeke kila muhusika apate haki yake.
 
Umekua kiongozi mfano wa kuigwa humu jukwaani jinsi unavyojitahidi kufanyia kazi changamoto za Watanzania wenzetu, Hongera sana Mama.
 
Kama haqapati ruzuku,wanajiendeahaje?
 
Boss Melo kaajiri mpaka wazungu , salute kwako Mzee baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…