Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Kazi yao ni kutoa taarifa, watekelezaji ni wengine. Ni kama CAG
 
Unatenganishaje psu na tiss?psu ni sehemu ya tiss hapo ni mgawanyo wa majukumu ndani ya tiss kupitia vitengo mbalimbali ikiwemo hili la psu

Hakuna namna yoyote ya kumtoa psu ndani ya tiss
 
Mkuu mleta mada, bandiko informative kama hili halafu unashindwa ku-cite legal authority yoyote ili kusupport na kuverify narration yako?!

Anyway, ngoja nimuite mkuu Eagle girl aje hapa kusabahi wananzengo. 😎

-Kaveli-
Amezungumza kwa mitazamo binafs ila title na maelezo naona vinapishana inawezekana akawa mtoto wa afisa au wale vijana waliokulia magorofani makumbusho au kuungaunga story za mtandaoni ambapo wengi tu
 
Kila mmoja ana maana yake, kwamimi "shushushu" ni mwenyewe UWT na "informer" ni mtoa habari kwa mashushushu.

Informer anaweza kuwa anatowa habari bila kujuwa anayempa ni UWT.
Mi nijuavyo hao kenge wote ni kitu au mtu mmoja tofaut ni lugha tu yaani shushishi ndo informer hawa kimtaan pia wanaitwa vipenyo sijui hawa ni wakusanya taarifa na wanazipeleka kwa kit3ngo husika zikachakatwe tayar kwa matumizi
 
Unatenganishaje psu na tiss?psu ni sehemu ya tiss hapo ni mgawanyo wa majukumu ndani ya tiss kupitia vitengo mbalimbali ikiwemo hili la psu

Hakuna namna yoyote ya kumtoa psu ndani ya tiss
Mkuu hapa umechanganya mambo ya kiufundi. Usalama wa DOLA na usalama wa RAIS. Usalama wa DOLA ndio intelligence ya nchi (TISS) iliyopo chini ofisi ya DOLA, yaani Ikulu. Usalama wa RAIS ndio PSU ambayo kazi yake ni kuhakikisha rais hashambuliwi kimwili. Rais anapanga mkutano Mwembe yanga kwa mfano, TISS watakuwa wameshamaliza kazi yao hata kabla mkutano haujatangazwa. Wao kazi yao ni kukusanya habari za kintelijensia, kuzichakata, kushauri na kutekeleza. PSU ndio watavamia Mwembe yanga baadae kabla ya mkutano wakiwa na mbwa wa kunusa milipuko na kuliweka eneo la mkutano salama kwa Rais. Hapo tena sio suala la Inteligence bali ni usalama wa rais.

Tatizo wananchi wengi tunadhani kila anayefanyakazi ofisi ya rais ni TISS na kwamba kila mpelelezi ni TISS. Mpishi wa rais tunadhani TISS, anayetumwa akanunue dafu la rais tunadhani TISS, anayemshonea rais nguo tunadhani TISS. Mwisho wa siku tunashusha hadhi na usomi wa taasisi kubwa nchini inayolinda usalama wa dola yetu: TISS.
 
MI ipo ndani ya wigo wa TISS
Hapana hicho ni kitengo maalumu ndani ya jeshi ambacho hakiuhusiani hivyo na idara jeshi linavitengo vyake pia kama ilivyo polis au takukuru nk
Ndani jw kuna kitengo cha upelelezi
Ila mwisho wa siku tiss ipo kila sehemu yaani ni rahis tiss akapachikwa ndani ya jeshi bila jeshi kujua kuliko jeshi kumpachika mpelelezi wake ndani ya tiss


Sababu kubwa ni malengo ya upelelezi na matumiz ya taarifa yako ni yepi
 
iko hivi
Mkurugenzi wa idara ya usalama chini yake kuna hao psu
Ni kwamba psu wanawajibika kwa mkurugenzi wa idara

Ndio mana hata makazi ya psu yapo ndani ya makzi ya idara ya usalama ambapo hukuti polis wala jw pale ila psu wapo kwa sababu ya muunganiko na asili yao

Upatikanaji wao mafunzo yao wanapikwa pamoja mbele ndo wanatenganishwa kulingana na majukumi

Ni kama ccp mafunzo yao mwishoni ndo wanatenganishwa we utakuwa trafik ffu special unit, upelelezi nk
 
Je raia wanalindwa na nani? Kama TISS inalinda dola na PSU wanalinda Rais,
 
Bahatika siku moja ushike id ya psu na huyo unayemwita tiss angalia
Officials id zao

Hakuna namna yoyote ya kumtenganishi psu na usalama boss wao ni rais sponsor usalama wa taifa jukumu lake moja ni kulinda viongozi wakuu wa nchi kupitia kitengo cha psu sasa
 
Nimepata kitu kikubwa tu
 
Jiandae kupugwa angakuwa tss asingeweka hizo details zake, kwa namna yoyote ile ila kimjini mjini inaweza kumsaidia kupata maokoto hawa ndo wale kwenye maofisin wanapiga makaunda na kuweka mazingira waonekane tiss flani wajanja wa mjini
 
Duuu huna ujuacho na inawezekana hata kazi za kibalozo huzijui ndani ya tiss matumiz yake

Kabisa kabisa

Uchumi upo ndani ya idara miaka 30 ijayo tufanye nini tufikie azma flan
 
Jiandae kupugwa angakuwa tss asingeweka hizo details zake, kwa namna yoyote ile ila kimjini mjini inaweza kumsaidia kupata maokoto hawa ndo wale kwenye maofisin wanapiga makaunda na kuweka mazingira waonekane tiss flani wajanja wa mjini
Uko sahihi ila soma maswali yang vzr utaelewa kwann nimeuliza maana naona umekimbilia kusema nitapigwa unafikr mm Natumia mate kufikiri badala ya ubongo

pili unafaham kama kaka yake alikuwa ni mwanachama anayefahamika Kwa kiwango kikubwa Tena sio wa level ndogo,

tatu unafaham pia kama hizo nafas zinaendag pia kifamilia kwasb mwanafamilia Huwa anachunguzika kirahs toka akiwa mdgo
mwisho unajua ni kwanini Uzi wake haujapigwa burn nayeye mwenyew amekuwa mtoa majibu ya kila aina ya swali, na ni platinum member Tena verified what if amekuja pia Kwa kazi maalumu ya kubrain wash wa TZ juu ya dhana mbovu kuhus idara ?

usinijibu majibu Baki nayo mwenyew
 
Sawasawa kaka, hivi wewe una uhusiano Na hayati mheshimiwa Benard Membe au majina tu yamefanana ???
Samahani kaka Steve
Unauliza swali ukiwa una mfahamu vzr mtoa mada mbona umetaja jina la steve wakati yeye hakuna alipotaja jina steve maana kwenye username yake kaandika initial tu Membe S.K?😁😁😁 anyway huyu ni mdogo wake ndio maana unaona Membe na hiyo initial K yanafanana na hayati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…