Zielewe kazi za Usalama wa Taifa (TISS) na mipaka yake

Duuu huna ujuacho na inawezekana hata kazi za kibalozo huzijui ndani ya tiss matumiz yake

Kabisa kabisa

Uchumi upo ndani ya idara miaka 30 ijayo tufanye nini tufikie azma flan
Sijasema najua kila kitu. Nikuhakikishie tu kwamba sujui kwamba mikataba mibovu inatengenezwa na TISS. Kama wewe unalijuwa tuambie kwa mapana tujuwe na tuelimike, ikiwezekana njoo na mifano ya mikataba iliyotengenezwa na TISS.
 
Mi nijuavyo hao kenge wote ni kitu au mtu mmoja tofaut ni lugha tu yaani shushishi ndo informer hawa kimtaan pia wanaitwa vipenyo sijui hawa ni wakusanya taarifa na wanazipeleka kwa kit3ngo husika zikachakatwe tayar kwa matumizi
hakuna tatizo.
 
Unej
Ukijuwa kwa upana maana ya Intelligence na application zake katika usalama wa nchi utajuwa utofauti wa kumlinda rais na kulinda Dola. Vilevile ujuwe kwamba UTOFAUTI WA KIKAZI haina maana ya UTOFAUTI WA KIMUUNDO AU USHIRIKA. Ukishayajuwa hayo utajuwa kwamba PSU sio TISS ingawa TISS ina PSU ndani.

Mfano: Wizara SIO serikali, kwasababu serikali ni RAIS kujumlisha wizara zote. Sasa tusipoelewana hapo, sina namna tena ya kukuelewesha.
 
Chosen from God? Like seriously?

Unless kama unamfanyia utani mshikaji.
 
Shida yangu ni moja tu, Kama TISS hawasaidii kulinda rasilimali za nchi, faida yao ni kwa WATAWALA wala Siyo faida kwa Watanzania.

Ndiyo sababu kila wakati unasisitiza WANALINDA DOLA!

Hawajishughulishi kuona ustawi wa Watanzania mmoja mmoja, wamewaachia wanasiasa kufanya maamuzi, wanasiasa wanajali matumbo yao. Na TISS hawaoni kwamba ni tatizo!
 
Kwa elimu yangu ya darasa la 2 mlaji wa taarifa za kijasusi si rais pekee note that kuna mambo mengi rais mwenyewe hayajui na yanafanyiwa au yalishafanyiwa maamuzi na hawa jamaa.

Nikukumbushe na kukurekebisha kuwa walaji wengine wa taarifa za kijasusi ni wizara za ulinzi na mambo ya ndani na vyombo vyote vya ulinzi.

Refer kwenye barua zenye chapa hii "SIRI"
 
Maswali yako ni muhimu sana. Majukumu ya TISS yamewekwa wazi kwenye mitandao ya serikali, nimesoma huko na kuchanganya na uelewa wangu na bado sijaona wapi TISS wamepewa jukumu la moja kwa moja la kulinda rasilimali za nchi. Naona jukumu lao ni kulinda DOLA. Tunaopiga kelele za Katiba mpya tukaonekana hatufai tulikusudia kuuandika tena "msahaf/bibilia" ya namna ya kuongoza nchi kadri tunavyotaka kulingana na mahitaji na matarajio yetu.
 
Samahani mkuu, na wale MI ni miongoni mwa TISS ama wao wana kitengo chao jeshini na sponsor wao sio Rais?

Je, ukiacha wale MI ambao huwa wana uniform zao kabisa za jeshi, vipi kuhusu TISS wana vazi / uniform yao inayowatambulisha kama ilivyo kwa MI?
 
nikijiita kikwete manake na mimi mnaweza amini ni mdogo wake au mwanae? Sio ishu sana

Ni kwamba unaweza kuwa na mzazi kabisa na asikujuze lolote na ukajifunza mengi kupitia watu wa mbali au wengine kabisa kulingana na ukaribu tu

Membe
Niliwah sikia pia mdogo wa kikwete

So jamaa kama kweli anandugu wa maana sana
 
Sijasema najua kila kitu. Nikuhakikishie tu kwamba sujui kwamba mikataba mibovu inatengenezwa na TISS. Kama wewe unalijuwa tuambie kwa mapana tujuwe na tuelimike, ikiwezekana njoo na mifano ya mikataba iliyotengenezwa na TISS.
Ukiona uchumi wa taifa unayumba aubkuimarika

Tambua inatokana na uimara wa idara ya usalama wa taifa
Usalama wa taifa unagusa nyanja zote
Kiuchumi
Kisiasa
Na kijamii

Kulinda viongozi wa umma
Kufanya ujasusi mataifa mengine na hapo kwa kivuli cha diplimasia au baloz zetu
(Espionage)
 
Uingereza wana vitengo viwili; MI5 na MI6. Moja ni ya ndani na nyingine ni ya nje. Mimi ninadhani kuwa hata sisi tunacho pia kitengo cha ndani cha MI ambacho kinafanya kazi sawa na TISS. Jeshi ni lazima liwe na taarifa zote za TISS ili nchi iweze kuwa salama
 
Narudia, MI ipo ndani ya himaya ya TISS. Vinginevyo dola yeyeto haiwezi kudumu zaidi ya masaa 48.
Mimi ninahisi kuwa mfumo huo unaohusiana na kitengo unachokiongelea tayari upo incorporated kwenye mfumo mama wa TISS; kwa sababu naamini hiki kitengo hakikuaznsihwa tu kutoka hewani ila lazima kuna utafiti ulifanyika kwanza na kwa kuangalia mifumo ya mataifa mengine ilivyo

Kama kwa upande wako umeshaoona kuwa kitengo hiki kazi zake hazionekani, basi kinaweza kuwa kinapata upinzani kutoka kwa maadui walio ndani au nje ya nchi. Kuwa mwangalifu sana na wanadamu

Wanadamu washushie hata Yesu leo kwa mara nyingine ya pili, kama ikitokea akaja mihili ya alivyowahi kuja mwanzo, watamrudisha tena Msalabani kwa mara ya pili
 
Yaani watu wanaohatarisha maisha yao kwa ajili yenu kila siku ili kuhakikisha kuwa wewe uko salama siku zote na unalala usingizi wa pono, mnawaita nyoka wakati nyoka ni yule wanayemzuia asikudduru wewe! Thisi is very stupid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…