vishikwambi vya sensa.mambo ya kizamani hayo
π€£π€£π€£ Ila wametuchamba watumiaji wa iPhone km kawaida yao
Eeee jamaniπ³π³π³π³Wadanganye auntie wasiokujua [emoji1787]
Shosti wetu wa oppo yupo wapi ππ€£π€£π€£ Ila wametuchamba watumiaji wa iPhone km kawaida yao
Umeandika ujinga tu usio na fact
Kwanini unavaa t shirt ya elf 20 unaacha za Karume za elf 3?Ni kweli.
Ila unanunua simu kwa mahitaji gani?
Unanunua simu ya milion 3 kisa perfomarnce ya kuangalia video tiktok na kusoma umbea kwenye mitandao ya kijamii halafu ndani kwako hauna laptop na una tv nchi 24. Sabufa yenyewe una aborder ya 70k.
Wanapanick sijui wanatafuta nini πNyie kumbe bado simu zinawapelekesha hivyo..??
Kikubwa ni mawasiliano tu vijana
ππ nakaziaaa
Hata sijui anadarukia wapi siku hizi na oppo yake π€£π€£π€£Shosti wetu wa oppo yupo wapi π
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ila wametuchamba watumiaji wa iPhone km kawaida yao
Eeee jamani[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Taja simu yako.Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako
1:IPHONE-watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa Mwanaume anaonekan TAPELI
2.SAMSUNG-Watu wenye hela. kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA
3. TECNO, INFINIX na ITEL-Watu wasio jua Simu na Wanapenda Vya Bei rahisi. Pia ni wafata mkumbo. kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI
4:REDMI, XIAOM, OPPO na VIVO-Watu wanaopenda sifa. kwa Mwanamke anaonekana MCHAPAKAZI, Mwanaume anaonekan MBABE
5.GOOGLE PIXEL-Watu wanaoojua simu. Kwa mwanamke Anaonekan Mvumilivu, kwa Mwanaume anaoneka mtu mwenye MSIMAMAMO
Mwisho
Bila kuhasahau Watumiaji Wa Tekno na infinix Wanaongoza kusindikizana Dukan kwenda Kununua simu zao pendwa, Hii Tabia kwao kama Sheria.