Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
😅😅😅😅Ila ni sawa..Infinix to ze wolidi🤣🤣
Mimi mtu mzima nimekuelewa....
Hatutaki show off😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Ila ni sawa..Infinix to ze wolidi🤣🤣
Halafu unajua upo jukwaa la chit chat. Nothing serious here.Hakuna ukomavu wowote boss, ni maoni yangu kuwa aina ya simu haikupi identity. Au kuna aina za maoni ambazo ndo zinatakiwa?
Sure sometime mtu ananunua simu kulingana na matumizi mfano mtu ni bank signatory inabidi ainstall bank apps kwenye simu, anatumia sana applications kama teams, outlook na nyingi za kazi zaidi na hapend kuwa na simu ya ofisi sasa huyu atalazimika kununua iphone/samsung maana ndo simu salama na zinazokubali apps nilizotaja hapo juu kufanya kazi vizuri na zina security features nzuri na pia utakuta mwajiri ndo anarecommend hizo kwenye policies zake.Wala siyo ubahili,ninamfahamu jamaa anamiliki yard ya magari anatumia Tecno wala hana habari.
Huko kushindana kununua simu za gharama kubwa wakati mwengine mtu anaishia kutumia apps zile zile anazotumia mwenye Tecno huwa ni dalili za ugonjwa.
Hizi simu za sasa za mchina Redmi/Xiamo,OPPO,vivo na Huawei zina utofauti flan mkuu.Wana system yao mpya [emoji91] inaitwa Xiaomi HyperOS
Weeeeeh😳😳😅😅😅😅Ila ni sawa..
Mimi mtu mzima nimekuelewa....
Hatutaki show off😃
Nipo serious kwani nimekupa assessment report boss?Halafu unajua upo jukwaa la chit chat. Nothing serious here.
Mshamba tu wewe.Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako
1:IPHONE-watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan HAJATULIA Mambo Mengi, kwa Mwanaume anaonekan TAPELI
2.SAMSUNG-Watu wenye hela. kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA
3. TECNO, INFINIX na ITEL-Watu wasio jua Simu na Wanapenda Vya Bei rahisi. Pia ni wafata mkumbo. kwa Mwanamke Anaonekan AMETULIA Hana Mambo mengi, Kwa Mwanaume anaonekana BAHILI
4:REDMI, XIAOM, OPPO na VIVO-Watu wanaopenda sifa. kwa Mwanamke anaonekana MCHAPAKAZI, Mwanaume anaonekan MBABE
5.GOOGLE PIXEL-Watu wanaoojua simu. Kwa mwanamke Anaonekan Mvumilivu, kwa Mwanaume anaoneka mtu mwenye MSIMAMAMO
Mwisho
Bila kuhasahau Watumiaji Wa Tekno na infinix Wanaongoza kusindikizana Dukan kwenda Kununua simu zao pendwa, Hii Tabia kwao kama Sheria.
Nikiangalia hii note 10plus nimeharibu display… bei ya kubadilisha sasa aah😂😂😂2.SAMSUNG-Watu wenye hela. kwa Mwanamke anaonekan ANAJIELEWA, Mwanaume anaonekan ANAJIWEZA
tuoneshe na yako,android version Yake ngapi. maana now tupo version ya 14. sizani kama umefika uko
Mboni unapendi maneni lakino?(soma kwa kiswahili cha Bambo)[emoji1787]
Mimi kifaa changu ninachotumia si umekisoma hapo...naona kuna ka Ukweli[emoji1787]
Tulieni matapeli nyie [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo usimwamini sana Auntie...[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ebu tufanye mnunulie