Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mihela unaweza kuipata hata kwa bahati nasibu tu, kwa hivyo hiyo si hoja.Lkn wengi ndo wenye MIHELA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mihela unaweza kuipata hata kwa bahati nasibu tu, kwa hivyo hiyo si hoja.Lkn wengi ndo wenye MIHELA
Hawataki damu za watu kweliMkuu hapa umeuma nje ,inategemea kopera ni WA mbinu gani ,wapo aina saba Ila tatu ndo muhimu Sana :
1: Kuna wakutengezwa na miti shamba
2: wa talasimu
3: huyu unamtengeza kichawi kutumia duara
Wa pili na tatu wanaiba siyo chini ya millioni hamsini kwa wiki .
Ila utafuga mifugo wanakunywa damu hatari Sana
Na ukichoka naye hasa watatu unamtupa kwenye maji yenye kina kirefu na Mali unabaki nayo bila bughudha
Unaungana na EINSTEIN112Nisaidie nimpate huyo wa kupunguza nguvu za kiungo changu. Nachagua pu.. bu. Hazina kazi zaidi ya kuleta shida mtaani.
Baharini si ndipo penye kina kirefu?Mkuu hapa umeuma nje ,inategemea kopera ni WA mbinu gani ,wapo aina saba Ila tatu ndo muhimu Sana :
1: Kuna wakutengezwa na miti shamba
2: wa talasimu
3: huyu unamtengeza kichawi kutumia duara
Wa pili na tatu wanaiba siyo chini ya millioni hamsini kwa wiki .
Ila utafuga mifugo wanakunywa damu hatari Sana
Na ukichoka naye hasa watatu unamtupa kwenye maji yenye kina kirefu na Mali unabaki nayo bila bughudha
Kuna Uzi unasema atheist Wana matatizo ya akili, huamini mungu huamini pia ibilisiDamn right, kwa sababu zile zile tu.
Mpaka sasa hakuna aliyethibitisha Mungu yupo, wala hakuna aliyethibitisha uchawi upo.
Hapa JF hata jibu la swali "Uchawi ni nini?" tu sijapata.
sisi wengine oxygen siyo inshu. Kuishi miaka mitatu ya raha ni bora kuliko miaka 100 ya mateso.Tatizo ni miaka michache ya kuishi. Kila mtu anapenda hii Oxygen ya Mungu.
Jua keshamaliza kuzaa 🤣🤣Unaungana na EINSTEIN112
Msumbiji hiyo ndipo unakatwa kidole kidogo cha mwisho mguuni kisha unatajirika balaa.Mi nataka hiyo ya kiungo...kidole kimoja kikishindwa kufanya kazi sio kesi
Huu niliskia kidonda hakiponi😀 kinaanza kuoza na unaota mandoto ya ajabu ajabuMsumbiji hiyo ndipo unakatwa kidole kidogo cha mwisho mguuni kisha unatajirika balaa.
Za kuambiwa changanya na zako [emoji119][emoji4]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hahahhaha sio mbaya maana unataka ku outshine , jaribu huenda mambo yaka bur bur 🤣Kama haina madhara mi nautaka. Nimechoka kupigika
Hapo kwenyre kujaribu sasa ndo naogopa sana.Hahahhaha sio mbaya maana unataka ku outshine , jaribu huenda mambo yaka bur bur 🤣
1. Bahati ni nini?Mihela unaweza kuipata hata kwa bahati nasibu tu, kwa hivyo hiyo si hoja.
Tembea uone mambo ya ajabu yaliyopo Tanzania hii, yaani ukiwa mtanzania tayari umeshajiunganisha na mambo ya shirki Moja Kwa moja[emoji3] neema ya mungu ikuokoe tu. Usione mtu ana push ndinga kali ana drip na ni kijana mdogo tu, we jua utajiri una Siri nyingi sana. Hizi ni baadhi ya aina ya utajiri watu wanatumia.
[emoji117]Utajiri wa Shilingi: Hapa unapewa coin inakuwa inakuingizia pesa ukikosea mashariti inapotea unarudi kapuku (rupee hizi wakinga ndo wanazo) hapa utaanza na kafara za kuku mwisho damu itahitajila
[emoji117]Utajiri wa nyoka: Hapa unapewa kanyoka kadogo kadiri kanavokua ndo utajiri wako unaongezeka na Kila mwaka inabidi utoe sadaka kurenew huyo nyoka ukibugi unarudi katika ufukara
[emoji117]Utajiri wa kafara: Huu wengi hawautaki siku hizi na hata wakitumia hawataki kuua ndugu zao siku hizi mtu ana magari anatoa kafara gari linaanguka watu wanateketea ova. Au mtu anafunga ofisi au taasisi halafu watumishi ndo wanateketea.
[emoji117]Utajiri wa kidonda: Hapa unakua na kidonda ambacho akiponi na kadiri unavotumia Mali zako ndo kinaongezeka. Unachagua wewe kidonda kiwe sehemu Gani ya mwili.
[emoji117]Utajiri wa kupunguzwa nguvu: Hapa unachagua kiungo kimoja ambacho kinatolewa nguvu kichawi, unakua nacho ila hakifanyi kazi. Mfano jicho, mtu anakua na macho yote mawili ila ni Moja ndo linafanya kazi kidole, mkono hata pumbu.
[emoji117]Misukule: Hapa unamiliki Misukule ambayo inakua inakufanyia shughuli zako zote huku wewe umekaa umekunja nne, huu upo vijijini Kwa shughuli za shamba
[emoji117]Utajiri wa punje: Hapa inaenda Kwa mganga anakupa jogoo lililoshiba usishangae likala punje mbili tatu tu na hio ndo inakua miaka yako ya kusumbua ukiwa tajiri
[emoji117]Utajiri wa Chuma ulete: Huu nao watu hawautaki siku hizi maana kuumbuka nje nje. Kuna mzee mmoja aliwahi vutishwa mavi duka lake lilinuka kinyesi watu walichezesha mkeka[emoji1787][emoji1787].
[emoji117]Utajiri wa kafara ya ndugu wa damu unaempenda: Hapa utake utamtoa usitake utamtoa ama ufe wewe[emoji3][emoji3] ibilisi anakuchagulia
Jamani zinatosha ila mambo ni mengi muda mchache watu wana macho lakini hawaoni mtu anamasikio lakini hasikii yaani kwa kifupi hakuna pesa ya shortcut yenye mwisho mzuri.
Nawasilisha.
Lakini anaamini "bahati nasibu" katika kupata utajiri...[emoji847]Kuna Uzi unasema atheist Wana matatizo ya akili, huamini mungu huamini pia ibilisi
Bora hii sikio moja linatoshaa last kusikilizia simu za deal?Kuna jamaa alitumia ya kiungo sikio Moja halisikii[emoji3][emoji3]
Sioo kujaribu ni kufanya kazi aiseeHapo kwenyre kujaribu sasa ndo naogopa sana.
Sasa kuwa nao makini hao; ukiona mmoja wao anakupenda sana shituka, maana atakutoa kafara, si umesema wanawatoa wanaowapenda?!Boss mimi siaminii kabisa ila Nina jamaa zangu ni walozi ile mbaya[emoji3]