Zijue aina za utajiri wa kichawi zinazoshika kasi kwa sasa

Hawataki damu za watu kweli
 
Baharini si ndipo penye kina kirefu?

Afu roho chafu inakufa kufaje nakati tayari ina connection na roho ya shetani (immortal creature)?

Hapa kuna washamba utawadaka PM ili wanase kwenye hiyo no. 3 japo ni uwongo per 100%

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Kama utani utani ila watu wengi wanaishi humo
 
Hiyo mganga nae anakuwa tajiri au anaendelea kutaabika na umaskini akisubiri mumpelelee kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…