Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
😂😂😂nimekaa nao watatu Wana watoto wazuri wa kwanza ila machizi mmoja ni ticha wetu alikuwa anaitwa pallangyo alikuwa na bar mwanae wa kwanza ni zombie.Wale wenye rangi ya Mtume na Sharkani hata mimi nashangaa kila nyumba lazima ukute mtoto mwenye mtindio wa Ubongo au Bibi au Babu.
Hii sio co- incidence
Science 🧪🧪🧪 NDIO unaita uchawi 🤣🤣🤣🤓🤓WAZUNGU NI WACHAWI BALAA
Mbona haitokei kwa Wahindi?Huwa wanafanya mapenz ndugu kwa ndugu wa damu wale ndio mana mazezeta wengi
Mie personally hata mtu aje na magoti siwez kuonyesha hii Siri ,Baharini si ndipo penye kina kirefu?
Afu roho chafu inakufa kufaje nakati tayari ina connection na roho ya shetani (immortal creature)?
Hapa kuna washamba utawadaka PM ili wanase kwenye hiyo no. 3 japo ni uwongo per 100%
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Akipiga kelele tu umekwendaNiliwahi usikia. Kuna stori Moja inafanana na hii hapa Inahitaji roho ngumu sana ya mtu wako wa karibu
Huu umetuliaKuna moja wanatumia kule msumbiji unapewa kijiti unakiweka kwenye mfuko wa kushoto wa shati au suruali kazi yako kila siku uwe unagonga demu mmoja mpya(note: usirudie kufanya mapenzi na mwanamke mmoja) kadiri unavyofanya mapenzi na wanawake wapya kila siku ndivyo utajiri wako unavyokuwa na kuimarika.. hii dunia ni jehanamu sometimess
Hii siwez izungumzia hadharani ,nikimkumbuka rafiki yangu said maturike kilichomtokea , bongo watu waliokaza roho tupo wachache mno jamhuri nzimaOngeza nyama nyama nadhani hizi ndo level za kina jay z
We jamaa unaonekana unayajua mengi hebu eleza kwa kina.Inawezekana ,unaweza muunda Chuma ulete ukitumia nyota ya koo ya majini wa chime au mukhaish ,huyo Chuma ulete hata supermarket iwe kichakani kusiko na Barbara watu wanafurika Ila kumhifadhi inahitaji uwe na roho ngumu sana
mmoja alikuwa anakuja ofisini kwangu na kuniomba tufanye biashara kwa kumsaidia ikiwezekana twende wote China(hapa naongelea kijana mdogo yuko below 35). sikumkubalia wala kumkatalia japo kwenye nafsi yangu sikuwa na amani na biashara inawezekana uwoga wangu ndio umaskini wangu lakini nilikuwa nawaza mtu akuchukue toka hapa mpaka China akugharamie kila kitu ukibebeshwa Unga utamlaumu nani?Weka shuhuda mezani tujifunze
Pesa ina code nyingi sana halafu kuna code nyingine sio hata za uchawi wala ushirikina , Komaa aiseee tengeneza connections ukiwa na mawazo yenye kujenga ipo siku pesa itakuja tu. Tumesubiri ajira toka awamu ya nne, tano na hii ya sita mambo magumu... Do what is right as long as You chase for the money. 🤣 🤣Kwa uoga huu sidhani km naweza kujaribu
Me niliisikia ni mbeya na kigoma hukoHi bwana kyagaraa imesahaulika kbsa hi inafanywa kimafya Sana sehemu za pwani hata mbeyabeya uko
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu ngoja nipambane kihalali.Pesa ina code nyingi sana halafu kuna code nyingine sio hata za uchawi wala ushirikina , Komaa aiseee tengeneza connections ukiwa na mawazo yenye kujenga ipo siku pesa itakuja tu. Tumesubiri ajira toka awamu ya nne, tano na hii ya sita mambo magumu... Do what is right as long as You chase for the money. 🤣 🤣
Kwani shida ipo wapi...hela nitafute kwa tabu na mbususu nayo initoe jasho mtu ambaye namlipa kwa kumkula mbususu.Tako 3 tu walete[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kihalali kama vile? Hebu nipe hata code mbili za kupambana kihalali 🤣Sawa mkuu ngoja nipambane kihalali.
UfuskaWale kina God love Wa TikTok wanatumia upi
Wanaotafuta hela huwa hawapigi nazo picha MkuuWale kina God love Wa TikTok wanatumia upi
Mm pia naweza niende wapi jamaniAise ni balaa Sasa Kuna vijana wadogo wanaamua kutoa pumbu Moja 😀