Zijue hoe phase, panic phase na toxic phase katika lifecycle ya mwanamke wa kisasa

Hahaha yani hadi wewe nawe umeoa basi kweli nazidi kuamini ule msemo kwamba wanawake wana huruma, yani hivyo hivyo ulivyo nawe kuna mwanamke kakubali kuolewa na wewe bila shaka naye atakuwa mpumbavu kama wewe tu, narudia wewe huwajui wanawake wala huna elimu yoyote kuhusu mahusiano mimi sihitaji phd ya saikolojia kulijua hilo we endelea kujifariji tu..we niite majina yote utakayo haibadili ukweli na wala sitaacha kuwasema!!
 
Wewe mbona haujaolewa? hauwezi ukajiweka kwenye mzani sawa na mwanamke ambae ameolewa. Kitendo cha yeye kuolewa maana yake amekuzidi akili. Anajua kwenye mahusiano anatakiwa kukaa wapi na wajibu wake ni nini ndio maana akaolewa. Wewe haujui chochote ndio maana bado u msimbe. Thread ya 11 hakuna mwanamke aloejitokeza kukuunga mkono wewe unafikiri hawapiti humu? Wenzako wanapita hapa na wanakuchora tu uko kwenye mahusiano yao ni watiifu sababu wanajua iyo ndio nguzo kuu ya kuishi na mwanaume. Feminism imewaaribu sana akili imefika hatua wasimbe mnajiweka kwenye mzani wa juu zaidi ya waliolewa.! what the fuvk.!
 
Uchambuzi wa maana sana huu kwa vijana, una mashiko.
 
I don't know your age but you talked the fact. If these girls see this useful they may follow this article so that they maybe able to overcome their ego
 
Niko hapo katikati 😜
 
I don't know your age but you talked the fact. If these girls see this useful they may follow this article so that they maybe able to overcome their ego
Unfortunately most of women in this forum belong to toxic phase, and they are very reluctant to accountability as you see jadda's comments above. As parents/future parents we must focus on our young daughters at the age of hoe phase, because that is the path period which will determine woman's value and how she will be respected.
 
Japo siyo mshabiki sana wa hizi mada Ila vijana naona mnazidi kujitia nguvu katika mchakato wa kutokuona sana umuhimu wa wanawake
Wanawake ni viumbe visivyotakiwa kupewa kipa umbele,hawa watu ni Taka taka kabisa,Tena huyo Jada ni Mafi kabisa,itakuwa chini kwake kaota sugu na kumevunda kwa Fangas na UTI sugu
 
Mchumba amtoe wapi, kuna mwanaume mwenye akili timamu achukue kichomi hicho?
 
It's two way traffic mkuu, balance elimu yako iwafikie ke na me kama unataka matokeo chanya. Naona umejikita kuhubiria wanawake kana kwamba mahusiano yao ni ke+ke wakati sio hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…