Zijue mascara na namna ya kupaka

Zijue mascara na namna ya kupaka

hahaha bimafs mie hata kbl sijaolewa sijawah kupendeza nivutie mwanamume !yaan mie hata km nna masizi uson huwa natongozwaga tu hata niende shamba natongozwa tu na jssho langu ! ni kweli unakuwa na moody nzur tu !pole zenu sana nyie wanaume!

yes my dear nna safari babu kubwa ! hahahaa nitakuletea hata kabikin mweeeeeeeee!au ka bra kadhuri dhuri!hao usiwaambie kbsss

Hahah!, umepinda shosti eti unatongozwa hata na masizi!...Saaantee! [emoji1]

Ntashukuru sana kwa hiyo dhawadi shoga na siwaambii!...lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahahah naenda kuposwa upyaaaaaaaaaaa! hahahahahhaah chezea wewe !hv najifunza grammar mama! hahaha past tense ,past participle,future et al! tunalia lia humu weee kumbe tunadai bado kumbe !ngj nikatolewe mahari mie hahahah

Haha mwalimu Nalendwa yupo mbona. Me siku ya harusi ntajitolea kutoa show ya bureeer


Hahah!, mweehh!, hayawi sasa yamekuwa! [emoji28] [emoji23] [emoji23]
You go girl!, This's what am talkin' bout! [emoji126]
 
hahahaha nitajimake km huyu DC aloolewa majuz hahah ngj nitafte pic yake ! qwi qwi! uje tu jaman !mnitie nguv na moyo wa kupondeka teh!kuwa na ndoa 2 ni KIPAWA

Asee!, hongera sana na moyo wa kutopondeka..

Kabla ya kutolewa mahari ya pili hakikisha ya kwanza umerudisha . au ulichukuliwa kwa mkopo kama naniliuu? [emoji23] [emoji23]


Tunamuaminia shosti! [emoji2]



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah!, mweehh!, hayawi sasa yamekuwa!
Alilililiiiii! [emoji28] [emoji23] [emoji23]

You go girl!, This's what am talkin' bout! [emoji126]



Sent using Jamii Forums mobile app



hahahah nna kzi 1 tu kubwa mbele yangu natakiwa KUSLIM !anzen kunichagulia jina !i like name goes by SALHA! tutaheshimiana tu kwakwel hahha !its vry serious
 
Latipha.
.
.
Kule umenicheka mie kutamani kuolewa mara ya pili. Haya wewe ni nini hiki?
Naombea uwe mke wa nne.

Mie napendekeza Noor, Jasmine..na mengine yanakuja..

Haha, Demi acha hizo akiwa wa nne halafu mashosti wenyewe ndo nyie, mbona hao wengine wataachia ngazi bila kupenda...[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom