Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Moyo upondeke tena!! Aku!Demi huna moyo wa kupondeka kabisa
Khaa wapi huko tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo upondeke tena!! Aku!Demi huna moyo wa kupondeka kabisa
Khaa wapi huko tena?
Make up hatere, kama mdoli, uzuri nao unachangia
Uwiii eti zwazwa..kha! Umenishinda we mtu
hahaha bimafs mie hata kbl sijaolewa sijawah kupendeza nivutie mwanamume !yaan mie hata km nna masizi uson huwa natongozwaga tu hata niende shamba natongozwa tu na jssho langu ! ni kweli unakuwa na moody nzur tu !pole zenu sana nyie wanaume!
yes my dear nna safari babu kubwa ! hahahaa nitakuletea hata kabikin mweeeeeeeee!au ka bra kadhuri dhuri!hao usiwaambie kbsss
Hahah!, umepinda shosti eti unatongozwa hata na masizi!...Saaantee! [emoji1]
Ntashukuru sana kwa hiyo dhawadi shoga na siwaambii!...lol
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahah naenda kuposwa upyaaaaaaaaaaa! hahahahahhaah chezea wewe !hv najifunza grammar mama! hahaha past tense ,past participle,future et al! tunalia lia humu weee kumbe tunadai bado kumbe !ngj nikatolewe mahari mie hahahah
Haha mwalimu Nalendwa yupo mbona. Me siku ya harusi ntajitolea kutoa show ya bureeer
Piga makwenzi mpaka kieleweke.hahaha ni zwazwa ndio labda nisionane nae
Piga makwenzi mpaka kieleweke.
hahahaha nitajimake km huyu DC aloolewa majuz hahah ngj nitafte pic yake ! qwi qwi! uje tu jaman !mnitie nguv na moyo wa kupondeka teh!kuwa na ndoa 2 ni KIPAWA
Kabla ya kutolewa mahari ya pili hakikisha ya kwanza umerudisha . au ulichukuliwa kwa mkopo kama naniliuu? [emoji23] [emoji23]
Hahah!, mweehh!, hayawi sasa yamekuwa!
Alilililiiiii! [emoji28] [emoji23] [emoji23]
You go girl!, This's what am talkin' bout! [emoji126]
Sent using Jamii Forums mobile app
Latipha.hahahah nna kzi 1 tu kubwa mbele yangu natakiwa KUSLIM !anzen kunichagulia jina !i like name goes by SALHA! tutaheshimiana tu kwakwel hahha !its vry serious
Penzi niteketeze
View attachment 572720 hahahha penzi nilaze mtaron
hahahah nna kzi 1 tu kubwa mbele yangu natakiwa KUSLIM !anzen kunichagulia jina !i like name goes by SALHA! tutaheshimiana tu kwakwel hahha !its vry serious
Latipha.
.
.
Kule umenicheka mie kutamani kuolewa mara ya pili. Haya wewe ni nini hiki?
Naombea uwe mke wa nne.
Damnn!, Gaaal!..[emoji12] [emoji1] [emoji106]
Me speechless! [emoji8]
Sent using Jamii Forums mobile app
Latipha.
.
.
Kule umenicheka mie kutamani kuolewa mara ya pili. Haya wewe ni nini hiki?
Naombea uwe mke wa nne.
hahahha nimeona demi amesifia nikawa mdg hahaha wewe nilijua una akili km yangu !hahahahaahhha very hatariuios
hahahah marafk mnaanza kukwepa hehehe mabig