Zijue mascara na namna ya kupaka

Zijue mascara na namna ya kupaka

hahahahahah uson full vurrugu rangi 4 kwenye jicho hahahaahha jaman mie nachekaga kila nikumbukapo !kha kuna watu jamn wanachafua nyuso za watu

Rangi 4 ?!!, Hahah!, huko ni kuchafua jicho haswa!
Si unajua lakini wengine wanavyopenda vitu vya kuwaka waka, iwe mchana iwe usiku...lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa kuelewa Kwa nini huwa wanadhani mtu unataka kupendeza kwa ajili yao tu.
Mtu akijiweka vizuri hata anajisikia vizuri na kuwaza mazuri.
Basically, kupendeza lift up the mood.




Hahaha!, gaal!, mwisho kuvaa beach wear lini! [emoji2]
Again, all the best na safari! [emoji12]

Naomba dhawadi ya perfume, isiwe Pampula tyuu...lol
Halafu usiwaambie espy Heaven Sent na Neybright
Ntawapea ma empty bottles ikiisha..[emoji124]



Sent using Jamii Forums mobile app

Hizo zawadi zikiletwa ujue ni za ukoo.
 
Back
Top Bottom