Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okee kesho unipe michapo
Nambie komaaaashoga umenishika patamuu nimecheka kwa ngv kha ! nimechoka shogangu ! ngj tu niolewe hahahahah ! ndo nakuta majanga zaid hahahahaha dah we demi wewe !
hahahah nna kzi 1 tu kubwa mbele yangu natakiwa KUSLIM !anzen kunichagulia jina !i like name goes by SALHA! tutaheshimiana tu kwakwel hahha !its vry serious
Hafai kuwa mke mkubwa nakwambia. Awe wa nne, mashoga ndio sieMie napendekeza Noor, Jasmine..na mengine yanakuja..
Haha, Demi acha hizo akiwa wa nne halafu mashosti wenyewe ndo nyie, mbona hao wengine wataachia ngazi bila kupenda...[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nambie komaaaa
Mie napendekeza Noor, Jasmine..na mengine yanakuja..
Haha, Demi acha hizo akiwa wa nne halafu mashosti wenyewe ndo nyie, mbona hao wengine wataachia ngazi bila kupenda...[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh si unajua mkoa napotokea?ahahaah Hs mbeaaaaaaaaaaaaaaaaa hahaha eti nambie koma!yeah nimelia vya kutosha sasa niwakat wa kula mema ya dunia !
Teh si unajua mkoa napotokea?
Sie tutakunywa tu hata ufunge harusi na sheik au mchungaji, tunaingia na bampa zetu
Naanzaje kutokuwa nayo sasa hahaahahhaha ila nahakika huna sauti ile nzito haaaajjaa !jaman had raha !nawapenda sana wanyak km nna stress natakaga kukaa na mnyaki nitacheka had machozi lol
yeah sikuamin !namwamini Nalendwa zaid hahahah!
Hafai kuwa mke mkubwa nakwambia. Awe wa nne, mashoga ndio sie
Sie tutakunywa tu hata ufunge harusi na sheik au mchungaji, tunaingia na bampa zetu
[emoji1] [emoji16] [emoji28]
Haha!, Full Pampula haswa halafu na lemba! [emoji3]
Hii ya kumfichia bi harusi wine, tehe!
Menikumbusha mbali! [emoji72]
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahah nimecheka !i cant imagine jaman dah !ngj nianze kujisinga mie na mapumba
ewaaaa somo yangu !kitu softyyyyyyy